Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Tahadhari ya Josep Borrell kwa Uturuki na kushadidi mivutano baina ya EU na Ankara

    Tahadhari ya Josep Borrell kwa Uturuki na kushadidi mivutano baina ya EU na Ankara

    Sep 08, 2020 02:34

    Kushadidi hitilafu baina ya Ugiriki na Uturuki juu ya suala la kutafuta mafuta na gesi katika Bahari ya Aegean ambako kumeziweka nchi hizo mbili katika ncha ya kutumbukia kwenye vita, kumefuatiwa na ukosoaji wa Umoja wa Ulaya ambao umetoa tahadahri kali kwa serikali ya Uturuki.

  • Utovu wa ubinadamu wa Uturuki wa kuwafungia maji Wasyria wa Al Hasakah katika msimu wa joto kali

    Utovu wa ubinadamu wa Uturuki wa kuwafungia maji Wasyria wa Al Hasakah katika msimu wa joto kali

    Aug 24, 2020 11:24

    Uturuki na magaidi inaowaunga mkono wanaendeleza malengo yao ya kujipanua kijiopolitiki ndani ya ardhi ya Syria kwa kutumia mbinu isiyo na chembe ya ubinadamu ya kuwafungia maji raia wa nchi hiyo katika mkoa wa Al Hasakah.

  • Kushadidi tofauti baina ya Uturuki na UAE na hatari ya kuharibika zaidi uhusiano wa nchi mbili

    Kushadidi tofauti baina ya Uturuki na UAE na hatari ya kuharibika zaidi uhusiano wa nchi mbili

    Aug 23, 2020 08:03

    Uhusiano wa Uturuki na Umoja wa Falme za Kiarabu unaelekea kuharibika zaidi baada ya Mkuu wa Mashtaka wa serikali ya Ankara kuiomba Polisi ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai INTERPOL imtie nguvuni Mohammed Dahlan, mshauri wa Mohammed bin Zayed, mrithi wa ufalme wa Imarati.

  • Uturuki, Qatar na Libya kushirikiana kijeshi

    Uturuki, Qatar na Libya kushirikiana kijeshi

    Aug 18, 2020 14:43

    Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya imesema imefikiana na Uturuki na Qatar juu ya kutia saini mkataba wa pande tatu wa ushirikiano wa kijeshi na kwamba miongoni mwa nukta muhimu za ushirikiano huo ni kujenga kituo cha kijeshi cha Uturuki katika Bandari ya Misrata nchini Libya.

  • Matukio ya Uturuki na mashariki mwa Mediterania

    Matukio ya Uturuki na mashariki mwa Mediterania

    Aug 17, 2020 13:28

    Mawaziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Uturuki na Marekani wamekutana katika Jamhuri ya Dominican na kujadiliana kuhusu matukio ya eneo la mashariki mwa Bahari ya Mediterania na nchi ya Libya.

  • Kuongezeka mvutano kati ya Uturuki na Ufaransa mashariki mwa Bahari ya Mediterania

    Kuongezeka mvutano kati ya Uturuki na Ufaransa mashariki mwa Bahari ya Mediterania

    Aug 15, 2020 04:07

    Umoja wa Ulaya umetoa radiamali hasi kuhusu hatua ya Uturuki ya kutekeleza miradi ya kugundua mafuta na gesi katika maji ya mashariki mwa Bahari ya Mediterania.

  • Erdogan: Safari ya Macron nchini Lebanon ilikuwa na malengo ya kikoloni

    Erdogan: Safari ya Macron nchini Lebanon ilikuwa na malengo ya kikoloni

    Aug 14, 2020 11:02

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema kuwa Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, ana malengo ya kikoloni nchini Lebanon na kwamba safari yake ya siku chache zilizopita mjini Beirut ilifanyika kwa shabaha ya kutunisha misuli.

  • Kushadidi malumbano ya kisiasa ya Umoja wa Ulaya na Uturuki

    Kushadidi malumbano ya kisiasa ya Umoja wa Ulaya na Uturuki

    Jul 29, 2020 02:29

    Kufuatia kushadidi taharuki baina ya Uturuki na Jordan, Kansela Angela Merkel wa Ujerumani, ambaye nchi yake inashikilia uwenyekiti wa kimzunguko wa Umoja wa Ulaya, amefanya mazungumzo na Rais Reccep Tayyib Erdogan wa Uturuki na kumtahadharisha kuwa, matatizo aliyonyao na Ugiriki hayataishia tu katika nchi hiyo bali atakumbana na matatizo na bara zima la Ulaya.

  • Kufanyika swala ya kwanza ya Ijumaa katika msikiti wa Hagia Sophia

    Kufanyika swala ya kwanza ya Ijumaa katika msikiti wa Hagia Sophia

    Jul 26, 2020 06:32

    Sala ya kwanza ya Ijumaa ilisaliwa Ijumaa katika msitiki wa Hagia Sophia nchini Uturuki tarehe 24 mwezi huu wa Saba baada ya miaka 86 kwa kuhudhuriwa na rais, viongozi wa serikali na pia wananchi wa nchi hiyo.

  • Swala ya kwanza ya Ijumaa yaswaliwa Hagia Sophia Uturuki baada ya zaidi ya miaka 85 +VIDIO

    Swala ya kwanza ya Ijumaa yaswaliwa Hagia Sophia Uturuki baada ya zaidi ya miaka 85 +VIDIO

    Jul 24, 2020 12:44

    Swala ya kwanza ya Ijumaa imefanyika leo katika jengo la Hagia Sophia mjini Istanbul baada ya jumba hilo la makumbusho kubadilishwa na kuwa msikiti.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS