-
Uturuku kuufanyia majaribio mfumo wa S-400 licha ya vitisho vya US
Nov 26, 2019 00:45Jeshi la Uturuki limesema karibuni hivi litaanza kuufanyia majaribio mfumo wake wa ulinzi wa makombora wa S-400 ulionunuliwa kutoka Russia, licha ya vitisho vya kuwekewa vikwazo na Marekani.
-
Uturuki katika muamala wa hila na ujanja wa kupora maliasili za Syria
Nov 21, 2019 04:20Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema, amelikataa pendekezo la kugawana utajiri wa mafuta ya Syria lililotolewa na baadhi ya madola ya kigeni.
-
Kuwarejesha wanachama wa Daesh raia wa Ulaya; wenzo wa mashinikizo mapya wa Uturuki
Nov 16, 2019 23:05Wizara ya Mambo ya Ndani ya Uturuki imewafukuza Istanbul raia saba wa nchi za nje wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh.
-
Marekani yatishia kuiwekea vikwazo Misri kwa kununua ndege za kivita za Russia
Nov 16, 2019 07:47Mitazamo ya upande mmoja ya Marekani na juhudi za nchi hiyo za kuimarisha ubeberu wake duniani, ambazo zimepata kasi kubwa katika utawala wa Rais Donald Trump, imechukua muelekeo mpya ambao ulikuwa haujawahi kushuhudiwa huko nyuma.
-
Sisitizo la Marekani la kuvunja kikamilifu mkataba wake na Uturuki kuhusu ndege za kivita za F-35
Nov 16, 2019 02:40Uhusiano wa Marekani na Uturuki haujatengenea tangu mwaka 2016 baada ya kutokea jaribio la mapinduzi nchini Uturuki na hasa kitendo cha Marekani cha kukataka kumkabidhi kwa Uturuki, Fethullah Gülen, anayetuhumiwa na Ankara kuwa muhusika mkuu wa jaribio hilo la mapinduzi.
-
Uturuki yamrejesha mwanachama wa ISIS nchini Marekani
Nov 11, 2019 07:54Uturuki imesema imemrejesha mwanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika nchi yake ya Marekani, huku Ankara ikianza kuwarejesha makwao magaidi wa genge hilo la ukufurishaji iliowakamata.
-
Mousavi: Iran inapinga ukiukwaji wowote ule wa mamlaka ya kujitawala mataifa ya eneo
Nov 10, 2019 09:54Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, taifa hili linapinga ukiukaji wowote ule wa mamlaka ya kujitawala mataifa ya eneo hili.
-
Sisitizo jingine la Uturuki la kuendeleza operesheni za kijeshi kaskazini mwa Syria
Nov 10, 2019 07:56Licha ya makubaliano ya hivi karibuni kati ya Uturuki na Russia juu ya kuhitimishwa uvamizi wa kijeshi katika maeneo ya kaskazini na kaskazini mashariki mwa Syria, Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki hajakanusha suala la nchi yake kuendeleza operesheni za kijeshi kaskazini mwa nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Rais Emmanuel Macron: Shirika la kijeshi la NATO limekufa ubongo
Nov 08, 2019 04:48Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa sambamba na kuonyesha wasi wasi wake kuhusiana na iwapo Marekani itaendeleza ahadi zake katika Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi NATO amesema kuwa, shirika hilo limekumbwa na kifo cha ubongo.
-
Uturuki yasema imemtia mbaroni dadake Abu Bakr Baghdadi
Nov 05, 2019 03:57Uturuki imetangaza habari ya kumtia mbaroni dada ya Abu Bakr al-Baghdadi, kinara wa kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) aliyejiua katika operesheni ya Marekani hivi karibuni.