-
Uchaguzi Mkuu wa Mei 14 nchini Uturuki na ahadi za wanasiasa
May 05, 2023 22:05Ahadi za kila namna za wanasiasa zimepamba moto hivi sasa katika wakati huu wa kukaribia chaguzi mbili muhimu mno na za wakati mmoja za rais na bunge nchini Uturuki.
-
Waziri Mkuu wa Ugiriki: Uchaguzi wa Uturuki utaainisha uhusiano wa nchi mbili
May 01, 2023 21:54Waziri Mkuu wa Ugiriki amesisitiza kuwa uchaguzi wa Rais wa Uturuki uliopangwa kufanyika Mei 14 mwaka huu utaainisha mustakbali wa uhusiano baina ya Athens na Ankara.
-
Kiongozi wa Daesh auawa katika operesheni ya jeshi la Uturuki nchini Syria
May 01, 2023 03:25Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan alitangaza jana Jumapili jioni kwambau kiongozi wa kundi la kigaidi la ISIS (Daesh), ameuawa katika operesheni ya kijasusi ya Uturuki nchini Syria.
-
Rais wa Uturuki akasirishwa na balozi wa Marekani, amtaka 'aijue mipaka yake'
Apr 03, 2023 22:41Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema, kuanzia sasa "milango yake imefungwa" kwa balozi wa Marekani mjini Ankara, Jeffry Flake na akakemea mkutano wa hivi karibuni aliofanya mwanadiplomasia huyo na mpinzani wake katika uchaguzi ujao wa rais.
-
Uturuki yawasilisha malamiko rasmi kuhusu kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu huko Denmark
Apr 01, 2023 23:36Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki imemwita balozi wa Denmark nchini humo ili kutoa malalamiko yake ya kupinga kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi hiyo ya Ulaya.
-
Mgombea urais wa Uturuki: Nikishinda uchaguzi tutajitoa katika shirika la kijeshi la NATO
Mar 24, 2023 06:30Dogu Princek, kiongozi wa Chama cha Kizalendo (Patriotic Party) na mgombea urais wa Uturuki kwa tiketi ya chama hicho ametoa ahadi kwamba, ikiwa atashinda uchaguzi huo, nchi hiyo itajitoa katika shirika la kijeshi la nchi za Magharibi, NATO.
-
Matemeko mawili mapya ya ardhi yatikisa Uturuki na Syria, yaua watu kadhaa na kujeruhi mamia
Feb 21, 2023 10:25Matetemeko mawili mapya ya ardhi yenye ukubwa wa 6.4 na 5.8 katika kipimo cha Rishta yamekumba jimbo la Hatay kusini ya Uturuki na kaskazini mwa Syria.
-
Wazayuni waliojifanya kusaidia wahanga wa matetemeko Uturuki kumbe ni wezi!
Feb 20, 2023 22:59Katibu Mkuu wa Harakati ya Ubunifu wa Kitaifa ya Palestina amefichua kuwa, timu ya utawala wa Kizayuni iliyojipeleka Uturuki kwa madai ya kusaidia wahanga wa mitetemeko ya ardhi, wameiba nyaraka za kihistoria ya Uturuki.
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa Tehran akosoa mienendo ya Wamagharibi kuhusu tetemeko la ardhi nchini Syria
Feb 17, 2023 10:02Imam wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amekosoa mienendo ya nchi za Magharibi kuhusiana na tetemeko la ardhi nchini Syria.
-
Walionusurika 'kimiujiza' kwenye zilzala ya Uturuki waendelea kupatikana, vifo vyakaribia 44,000
Feb 17, 2023 04:23Taarifa za uokokaji wa 'kimiujiza' zinaendelea kutolewa kutoka maeneo yaliyokumbwa na tetemeko la ardhi la Februari 6 katika nchi za Uturuki na Syria, huku watu wengine wanne wakitolewa wakiwa hai kwenye majengo yaliyoporomoka nchini Uturuki zikiwa zimepita zaidi ya siku 10 tokea lilipotokea tetemeko hilo.