Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Kiongozi wa Daesh auawa katika operesheni ya jeshi la Uturuki nchini Syria

    Kiongozi wa Daesh auawa katika operesheni ya jeshi la Uturuki nchini Syria

    May 01, 2023 06:55

    Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan alitangaza jana Jumapili jioni kwambau kiongozi wa kundi la kigaidi la ISIS (Daesh), ameuawa katika operesheni ya kijasusi ya Uturuki nchini Syria.

  • Rais wa Uturuki akasirishwa na balozi wa Marekani, amtaka 'aijue mipaka yake'

    Rais wa Uturuki akasirishwa na balozi wa Marekani, amtaka 'aijue mipaka yake'

    Apr 04, 2023 02:11

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema, kuanzia sasa "milango yake imefungwa" kwa balozi wa Marekani mjini Ankara, Jeffry Flake na akakemea mkutano wa hivi karibuni aliofanya mwanadiplomasia huyo na mpinzani wake katika uchaguzi ujao wa rais.

  • Uturuki yawasilisha malamiko rasmi kuhusu kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu huko Denmark

    Uturuki yawasilisha malamiko rasmi kuhusu kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu huko Denmark

    Apr 02, 2023 03:06

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki imemwita balozi wa Denmark nchini humo ili kutoa malalamiko yake ya kupinga kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi hiyo ya Ulaya.

  • Mgombea urais wa Uturuki: Nikishinda uchaguzi tutajitoa katika shirika la kijeshi la NATO

    Mgombea urais wa Uturuki: Nikishinda uchaguzi tutajitoa katika shirika la kijeshi la NATO

    Mar 24, 2023 10:00

    Dogu Princek, kiongozi wa Chama cha Kizalendo (Patriotic Party) na mgombea urais wa Uturuki kwa tiketi ya chama hicho ametoa ahadi kwamba, ikiwa atashinda uchaguzi huo, nchi hiyo itajitoa katika shirika la kijeshi la nchi za Magharibi, NATO.

  • Matemeko mawili mapya ya ardhi yatikisa Uturuki na Syria, yaua watu kadhaa na kujeruhi mamia

    Matemeko mawili mapya ya ardhi yatikisa Uturuki na Syria, yaua watu kadhaa na kujeruhi mamia

    Feb 21, 2023 13:55

    Matetemeko mawili mapya ya ardhi yenye ukubwa wa 6.4 na 5.8 katika kipimo cha Rishta yamekumba jimbo la Hatay kusini ya Uturuki na kaskazini mwa Syria.

  • Wazayuni waliojifanya kusaidia wahanga wa matetemeko Uturuki kumbe ni wezi!

    Wazayuni waliojifanya kusaidia wahanga wa matetemeko Uturuki kumbe ni wezi!

    Feb 21, 2023 02:29

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Ubunifu wa Kitaifa ya Palestina amefichua kuwa, timu ya utawala wa Kizayuni iliyojipeleka Uturuki kwa madai ya kusaidia wahanga wa mitetemeko ya ardhi, wameiba nyaraka za kihistoria ya Uturuki.

  • Imamu wa Swala ya Ijumaa Tehran akosoa mienendo ya Wamagharibi kuhusu tetemeko la ardhi nchini Syria

    Imamu wa Swala ya Ijumaa Tehran akosoa mienendo ya Wamagharibi kuhusu tetemeko la ardhi nchini Syria

    Feb 17, 2023 13:32

    Imam wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amekosoa mienendo ya nchi za Magharibi kuhusiana na tetemeko la ardhi nchini Syria.

  • Walionusurika 'kimiujiza' kwenye zilzala ya Uturuki waendelea kupatikana, vifo vyakaribia 44,000

    Walionusurika 'kimiujiza' kwenye zilzala ya Uturuki waendelea kupatikana, vifo vyakaribia 44,000

    Feb 17, 2023 07:53

    Taarifa za uokokaji wa 'kimiujiza' zinaendelea kutolewa kutoka maeneo yaliyokumbwa na tetemeko la ardhi la Februari 6 katika nchi za Uturuki na Syria, huku watu wengine wanne wakitolewa wakiwa hai kwenye majengo yaliyoporomoka nchini Uturuki zikiwa zimepita zaidi ya siku 10 tokea lilipotokea tetemeko hilo.

  • UN yawasilisha ombi la msaada wa dola bilioni moja kusaidia waathirika wa Zilzala Uturuki

    UN yawasilisha ombi la msaada wa dola bilioni moja kusaidia waathirika wa Zilzala Uturuki

    Feb 17, 2023 07:32

    Umoja wa Mataifa umezindua ombi la dola bilioni moja kwa ajili ya usaizidi wa kibinadamu kwa wananchi wa Uturuki wanaokumbwa na machungu kufuatia tetemeko kubwa zaidi la ardhi kuwahi kukumba taifa hilo katika kipindi cha karne.

  • Wananchi wa Uturuki waliokumbwa na mitetemeko walishukuru Jeshi la Iran kwa msaada wa tiba

    Wananchi wa Uturuki waliokumbwa na mitetemeko walishukuru Jeshi la Iran kwa msaada wa tiba

    Feb 15, 2023 12:30

    Wananchi wa eneo lililokumbwa na mitetemeko mikubwa ya ardhi la Adıyaman nchini Uturuki wamelishukuru Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu kwa kujenga hospitali ya muda inayowahudumia waathirika katika eneo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS