Mar 19, 2019 08:09
Wakati mgogoro wa kisiasa nchini Venezuela ukiwa unaendelea hasa "Vita vya Umeme" na huku kinara wa upinzani Juan Guaido hakiwa ameshahidisha uchochezi wake baada ya kujitangaza kuwa rais kwa lengo la kuidhoofisha serikalii halali, Rais Nicholas Maduro ambeye ni rais halali wa nchi hiyuo imechukua hatua za kuleta uthabiti na kuimarisha serikali ya nchi hiyo.