Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Venezuela

  • Maduro afichua mpango wa Marekani na Colombia wa kutaka kumuuwa

    Maduro afichua mpango wa Marekani na Colombia wa kutaka kumuuwa

    Sep 23, 2019 02:47

    Rais wa Venezuela amefichua mpango wa kutaka kumuuwa unaofanywa kwa siri na rais wa zamani wa Colombia kwa kushirikiana na Marekani.

  • Venezuela: Tutaichukulia hatua Colombia katika Umoja wa Mataifa

    Venezuela: Tutaichukulia hatua Colombia katika Umoja wa Mataifa

    Sep 02, 2019 04:06

    Serikali ya Venezuela imesema kuwa itawasilisha ushahidi kwa Umoja wa Mataifa kuhusu misaada na uungaji mkono unaotolewa na Colombia kwa makundi yanayobeba silaha ya upinzani dhidi ya serikali ya Rais Maduro.

  • Mazungumzo ya Marekani na serikali ya Venezuela; kulegeza kamba Trump kuhusu mpango wake wa kuipindua serikali ya Maduro

    Mazungumzo ya Marekani na serikali ya Venezuela; kulegeza kamba Trump kuhusu mpango wake wa kuipindua serikali ya Maduro

    Aug 22, 2019 06:28

    Baada ya miezi kadhaa ya njama za Marekani za kutaka kuipindua serikali ya Rais Nicolas Maduro wa Venenzuela, hivi sasa Washington imekata tamaa na siasa zake za kibabe na imebadilisha msimamo wake kikamilifu kwa kufanya mazungumzo na viongozi kadhaa wa Caracas.

  • Maduro akosoa hatua za Trump dhidi ya Venezuela

    Maduro akosoa hatua za Trump dhidi ya Venezuela

    Aug 20, 2019 02:33

    Kufuatia kuendelea vitisho na mashinikizo ya Marekani dhidi ya Venezuela, Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo amekosoa hatua za Rais Donald Trump dhidi ya nchi yake na kusema: "Hatua ambazo Rais wa Marekani anachukua dhidi ya Venezuela ni sawa na zile ambazo kiongozi wa Wanazi alichukua katika Vita Vikuu vya Pili vya Dunia."

  • Maduro afichua: Marekani na Colombia zimepanga njama ya kuniua

    Maduro afichua: Marekani na Colombia zimepanga njama ya kuniua

    Aug 15, 2019 09:35

    Rais Nicolás Maduro wa Venezuela amefichua kwamba, rais wa zamani wa Colombia ameajiri makumi ya mamluki waliopewa jukumu la kumuua yeye.

  • Serikali ya Venezuela yasimamisha mazungumzo na wapinzani kulalamikia vikwazo vya Marekani

    Serikali ya Venezuela yasimamisha mazungumzo na wapinzani kulalamikia vikwazo vya Marekani

    Aug 10, 2019 01:17

    Marekani ikiwa ni nchi inayoingilia wazi wazi masuala ya ndani ya Venezuela imefanya juhudi nyingi za kuipigisha magoti serikali ya mrengo wa kushoto ya nchi hiyo na pia kujaribu kumng'oa madarakani Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo lakini bila mafanikio yoyote.

  • John Bolton aingilia tena masuala ya ndani ya Venezuela

    John Bolton aingilia tena masuala ya ndani ya Venezuela

    Aug 07, 2019 01:19

    Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Marekani amesema kuwa Washington inapinga kufanyika uchaguzi mpya nchini Venezuela madhali Rais wa sasa wa nchi hiyo ataendelea kusalia madarakani.

  • Tuhuma za Marekani dhidi ya Russia kwa kuisaidia Venezuela

    Tuhuma za Marekani dhidi ya Russia kwa kuisaidia Venezuela

    Jul 23, 2019 07:33

    Katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani, siasa za upande mmoja za Washington dhidi ya nchi tofauti zinazopinga ubeberu na kupenda makubwa kwa Marekani, ikiwemo Venezuela , zimebadilika kuwa moja ya tofauti za msingi kati ya serikali ya Moscow na Washington.

  • Jumuiya ya NAM yasisitiza kuheshimiwa mitazamo ya pande kadhaa na sheria za kimataifa

    Jumuiya ya NAM yasisitiza kuheshimiwa mitazamo ya pande kadhaa na sheria za kimataifa

    Jul 22, 2019 05:55

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote NAM, wamekutana huko Caracas, mji mkuu wa Venezuela na kusisitiza umuhimu wa kuzingatiwa mitazamo ya pande kadhaa na kueshimiwa sheria za kimataifa.

  • Kuendelea mazungumzo ya serikali ya Venezuela na wapinzani licha ya vitisho vya Wamagharibi

    Kuendelea mazungumzo ya serikali ya Venezuela na wapinzani licha ya vitisho vya Wamagharibi

    Jul 21, 2019 07:49

    Mashinikizo na vitisho vya Marekani na nchi za Ulaya dhidi ya Venezuela, vimeongezeka huku mazungumzo ya kutafuta njia ya kuiodoa nchi hiyo kwenye mgogoro wa kisiasa yakiwa yanaendelea kati ya serikali na wapinzani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS