• Video: Hasara waliyopata wanajeshi wa Saudia nchini Yemen ndani ya ardhi ya Saudia (2)

    Video: Hasara waliyopata wanajeshi wa Saudia nchini Yemen ndani ya ardhi ya Saudia (2)

    Sep 03, 2016 17:15

    Wakati Saudi Arabia na kundi lake wanaendelea kushambulia maeneo ya raia na kuharibu miundombinu nchini Yemen, jeshi la nchi hiyo kwa kushirikiana na vikosi vya wananchi wanaendelea kupata ushindi katika medani za mapigano katika eneo la Najran, ndani ya ardhi ya Saudi Arabia. Video hii inaonesha sehemu ndogo ya uhakika huo. Hii ni sehemu ya pili.

  • Video: Vita si lele mama, mashambulizi makali dhidi ya ngome ya Saudia Yemen (1)

    Video: Vita si lele mama, mashambulizi makali dhidi ya ngome ya Saudia Yemen (1)

    Sep 03, 2016 17:11

    Wakati Saudi Arabia na kundi lake wanaendelea kushambulia maeneo ya raia na kuharibu miundombinu nchini Yemen, jeshi la nchi hiyo kwa kushirikiana na vikosi vya wananchi wanaendelea kupata ushindi katika medani za mapigano. Video hii inaonesha sehemu ndogo ya uhakika huo.

  • Aokoka chupuchupu kusagwa na treni

    Aokoka chupuchupu kusagwa na treni

    Aug 30, 2016 08:38

    Mtu hafi ila kwa ahadi yake kufika hata wakikusanyika viumbe wa mbinguni na ardhi kutaka kukumalizia maisha hawawezi kama siku yako haijafika. Video hii inathibitisha namna mtu alivyookolewa sekunde ya mwisho kabla ya kusagwasagwa na treni.

  • Usidhani ni mwadanamu tu ndiye awezaye kuendesha baskeli

    Usidhani ni mwadanamu tu ndiye awezaye kuendesha baskeli

    Aug 30, 2016 08:23

    Kinachompambanua mwanadamu na mnyama ni akili na maarifa yanayomfanya awe mbunifu, si utendaji wa matendo, kwani kuna matendo mengi tu yafanywayo na binadamu huweza kufanywa pia na wanyama kama kinavyoonesha kipande hiki cha video.

  • Ndege anayezungumza na watu kwa vitendo

    Ndege anayezungumza na watu kwa vitendo

    Aug 30, 2016 08:18

    Ndege anayesikiliza analoambiwa na kuonesha kuwa ameelewa alichoambiwa kupitia vitendo.

  • Kunguru mzungumzaji

    Kunguru mzungumzaji

    Aug 30, 2016 08:09

    Kila kitu dunia hii kimekuwa ni maslahi. Kunguru ameamua kuzungumza ili maslahi yake ya kupewa chakula yatimie

  • Mashambulizi makali ya jeshi la Syria wakati mwandishi akiwa LIVE hewani

    Mashambulizi makali ya jeshi la Syria wakati mwandishi akiwa LIVE hewani

    Aug 14, 2016 09:41

    Ni mara chache kuona matukiio kama haya ya mashambulizi ya moja kwa moja katika medani za vita. Habari nyingi zinazoripotiwa na vyombo vya habari ni za picha na video zilizorekodiwa kabla ya kuhaririwa na kurushwa hewani, lakini kipande hiki cha video kinaonesha mashambulizi yakitokea wakati kamera ya mwandishi ikiwa moja kwa moja hewani...

  • Maisha yaendelea kama kawaida Halab Syria, utadhani hakuna vita

    Maisha yaendelea kama kawaida Halab Syria, utadhani hakuna vita

    Aug 10, 2016 10:12

    Makundi ya kigaidi na nchi zinazoyaunga mkono zimekuwa zikifanya propaganda kubwa za kudai kuwa hali ya kimaisha katika mji wa Halab Syria ni mbaya mno kiasi kwamba watu hawatoki nje, hakuna huduma hata za dharura n.k. Hata hivyo kamera ya televisheni ya al Alam iliyotembelea mji huo inaakisi kinyume kabisa na madai hayo ya uongo ya maadui wa taifa la Syria

  • Video: Vita kaskazini mwa Syria

    Video: Vita kaskazini mwa Syria

    Aug 10, 2016 10:05

    Jeshi la Syria na waitifaki wake linaendelea kupambana vikali na magenge ya kigaidi yanayopata uungaji mkono wa madola ya kigeni ikiwemo Marekani, Israel baadhi ya nchi za Ulaya na baadhi ya nchi za Kiarabu na nyingine zinazopakana na Syria. Kipande hiki cha video kinaonesha sehemu ndogo ya vita hivyo vinavyoendelea Halab, kaskazini mwa Syria.

  • Video: Mapigano makali mjini Halab Syria

    Video: Mapigano makali mjini Halab Syria

    Aug 07, 2016 04:05

    Jana Jumamosi, makundi ya kigaidi yaliyounganisha nguvu zao zote kujaribu kujitoa katika mzingiro huko Halab, Syria yalieneza propaganda kubwa kudai kuwa yamefanikiwa kujitoa kwenye mzingiro huo. Kipande hiki cha video sambamba na kukanusha madai hayo, kinaonesha sehemu ndogo ya mapigano makali yaliyotokea jana katika pembe zote za kusini magharibi mwa mji wa Halab.