Aug 10, 2016 10:12 UTC

Makundi ya kigaidi na nchi zinazoyaunga mkono zimekuwa zikifanya propaganda kubwa za kudai kuwa hali ya kimaisha katika mji wa Halab Syria ni mbaya mno kiasi kwamba watu hawatoki nje, hakuna huduma hata za dharura n.k. Hata hivyo kamera ya televisheni ya al Alam iliyotembelea mji huo inaakisi kinyume kabisa na madai hayo ya uongo ya maadui wa taifa la Syria

Tags