Aug 10, 2016 10:05 UTC

Jeshi la Syria na waitifaki wake linaendelea kupambana vikali na magenge ya kigaidi yanayopata uungaji mkono wa madola ya kigeni ikiwemo Marekani, Israel baadhi ya nchi za Ulaya na baadhi ya nchi za Kiarabu na nyingine zinazopakana na Syria. Kipande hiki cha video kinaonesha sehemu ndogo ya vita hivyo vinavyoendelea Halab, kaskazini mwa Syria.

Tags