-
Ripoti ya UN yataka askari wa kulinda amani watumie nguvu
Jan 23, 2018 04:07Ripoti ya wataalamu wa Umoja wa Mataifa imetoa pendekezo kwa askari wa kulinda amani wa umoja huo kutumia 'nguvu' kuzima tishio dhidi yao wanapolazimika kufanya hivyo wakiwa katika operesheni zao.
-
Askari 8 wa UN wauawa, kujeruhiwa katika mripuko nchini Mali
Sep 24, 2017 11:01Wanajeshi watatu wa Kikosi cha Kusimamia Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Mali MINUSMA wameuawa katika mripuko wa bomu uliotokea kaskazini mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Makumi wauawa katika mapigano mjini Galkayo, Somalia
Nov 08, 2016 03:52Watu karibu 30 wameuawa na wengine zaidi ya 50 kujeruhiwa katika mapigano mapya yaliyozuka kati ya vikosi vya majimbo mawili hasimu yenye mamlaka ya ndani nchini Somalia.
-
Uganda yatangaza tarehe ya kuondoa askari wake Somalia
Jun 24, 2016 09:56Uganda imetangaza kuwa itaondoa askari wake walioko nchini Somalia chini ya mwavuli wa Kikosi cha Kusimamia Amani cha Umoja wa Afrika AMISOM kufikia mwishoni mwa mwaka ujao 2017.