-
Zimbabwe yasikitishwa na vikwazo vipya vya Marekani dhidi yake
Mar 06, 2019 10:21Zimbabwe imeeleza kusikitishwa kwake na hatua ya Marekani ya kurefusha vikwazo dhidi ya nchi hiyo ya kusini mwa Afrika, inayokabiliwa na mgogoro wa kiuchumi.
-
Spika wa Bunge la Kuwait ataka kupigwa marufuku kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel
Mar 04, 2019 04:37Spika wa Bunge la Kuwait ametoa wito wa kupigwa marufuku suala la kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel na kuzuiwa kuweko uhusiano wa kisiasa na utawala huo ghasibu unaotenda jinai kila leo dhidi ya Wapalestina.
-
Iraq: Tutaendeleza zaidi uhusiano mwema na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Feb 21, 2019 01:10Mshauri wa Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa, licha ya vikwazo na mashinikizo ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Baghdad itaendeleza uhusiano wake na Iran ikiwemo sekta ya nishati.
-
Rais Rouhani: Marekani inatiwa kiwewe na ustawi na maendeleo ya Iran
Jan 16, 2019 12:01Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Wamarekani wameamua kuliwekea taifa la Iran vikwazo vikubwa mno kwa sababu wana kiwewe na maendeleo, ustawi na uwezo wa taifa hili la Kiislamu.
-
Rais Rouhani: Tunajifakharisha kwa makombora yetu ya kiulinzi na kielimu
Jan 10, 2019 12:33Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, makombora leo hii ni zana ya kujilinda Iran na taifa letu leo hii linajivunia na linaona fakhari kubwa kuwa na nguvu za kiulinzi za makombora.
-
Kushadidi mivutano baina ya Russia na Ukraine; vikwazo na makabiliano ya kijeshi
Dec 26, 2018 05:05Tangu mwaka 2014 wakati hatamu za uongozi wa nchi ya Ukraine ziliposhikwa na serikali yenye mielekeo ya Kimagharibi na kuunganishwa eneo la Cremia na ardhi ya Russia, uhusiano wa Moscow na Kiev uliporomoka sana na kutawaliwa na mivutano mingi.
-
Kampeni ya "Susia Bidhaa za Saudi Arabia" yaanzishwa katika nchi za Kiislamu
Dec 24, 2018 11:30Wadau wa mitandao ya kijamii katika nchi za Kiarabu na Kiislamu wameanzisha kampeni ya "Susia Bidhaa za Saudi Arabia" wakilaani jinai za kivita zinazoendelea kufanywa na utawala huo wa kifalme dhidi ya Waislamu wa Yemen.
-
Iran: Lugha ya heshima inapaswa kuchukua nafasi ya lugha ya vikwazo na vitisho
Dec 19, 2018 04:23Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema taifa hili limeishi chini ya vikwazo kwa miaka mingi na hata kupata mafanikio makubwa chini ya vikwazo hivyo, na kwa msingi huo, lugha ya heshima inapaswa kuchukua nafasi ya lugha ya vikwazo na vitisho.
-
Ndege za Abiria za Iran Air zaendelea kuruka licha ya vikwazo vya Marekani
Dec 16, 2018 23:10Ndege za Shirika la Ndege la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran maarufu kama Iran Air zinaendelea kuruka katika anga za kimataifa pamoja na kuwepo vikwazo vya kidhalimu vya Marekani.
-
Rouhani: Iran inaendelea kuuza mafuta yake duniani hata baada ya vikwazo vya Marekani
Dec 11, 2018 12:27Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uuzaji mafuta ghafi ya petroli ya Iran katika soko la dunia unaendelea hata baada ya kuanza kutekelezwa awamu ya pili ya vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran ambavyo vilianza Novemba Nne.