Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vikwazo

  • EU yaongeza vikwazo vyake dhidi ya serikali ya Myanmar

    EU yaongeza vikwazo vyake dhidi ya serikali ya Myanmar

    Dec 10, 2018 23:06

    Baraza la Umoja wa Ulaya limetoa taarifa na kusema kuwa limeamua kuiwekea vikwazo zaidi serikali ya Myanamar kutokana na ukatili na ukandamizaji iliowafanyia Waislamu wa jamii ya Rohingya.

  • Jitihada za Marekani za kuzuia maendeleo ya teknolojia ya China

    Jitihada za Marekani za kuzuia maendeleo ya teknolojia ya China

    Dec 08, 2018 23:22

    Tangu alipochukua madaraka, Rais Donald Trump wa Marekani ameisababishia China changamoto mbalimbali. China inahesabiwa kuwa nguvu kubwa zaidi ya pili ya kiuchumi duniani.

  • Sisitizo la EU la kuhifadhiwa ushirikiano wake wa kiuchumi na Iran

    Sisitizo la EU la kuhifadhiwa ushirikiano wake wa kiuchumi na Iran

    Nov 30, 2018 03:57

    Umoja wa Ulaya mara kwa mara umekuwa ukisisitizia haja ya kuimarishwa uhusiano wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na sababu kuu ni nafasi muhimu na bora ya Iran katika eneo la Mashariki ya Kati ikiwa ni pamoja na nafasi yake bora katika upande wa jiopolitiki, kisiasa, kiuchumi na kinishati. Jambo jingine linalopewa umuhimu na Umoja wa Ulaya ni kulinda mapatano ya nyukilia ya JCPOA.

  • Canada yawawekea vikwazo raia 17 wa Saudia kwa kuhusika na mauji ya Khashoggi

    Canada yawawekea vikwazo raia 17 wa Saudia kwa kuhusika na mauji ya Khashoggi

    Nov 30, 2018 00:59

    Serikali ya Canada imewawekea vikwazo raia 17 wa Saudi Arabia kwa kuhusika katika mauaji ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari aliyekuwa akiuokosoa utawala wa hivi sasa wa nchi hiyo.

  • Marekani yaendelea kuisakama Korea Kaskazini, yamuwekea vikwazo anayeisaidia kununua mafuta

    Marekani yaendelea kuisakama Korea Kaskazini, yamuwekea vikwazo anayeisaidia kununua mafuta

    Nov 20, 2018 11:47

    Katika mwendelezo wa vikwazo vya Marekani dhidi ya Korea Kaskazini, Wizara ya Fedha ya nchi hiyo imemuwekea vikwazo mfanyabiashara mmoja wa Russia kwa tuhuma za kuidhaminia mafuta Pyongyang.

  • Zarif: Vikwazo vya Marekani havitaiburuza mezani Iran

    Zarif: Vikwazo vya Marekani havitaiburuza mezani Iran

    Nov 20, 2018 04:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema vikwazo vya kidhalmu vya Marekani katu haviwezi kuilazimisha Tehran iende kwenye meza ya mazungumzo wala kuifanya isalimu amri mbele ya matakwa ya Washington.

  • Malengo halisi ya vikwazo vya Marekani dhidi ya Russia

    Malengo halisi ya vikwazo vya Marekani dhidi ya Russia

    Nov 18, 2018 03:32

    Uhusiano wa Marekani na Russia tangu baada ya kumalizika Vita Baridi umekuwa na pandashuka nyingi na mivutano ya mara kwa mara. Tangu mwaka 2011 Marekani imekuwa ikiiwekea vikwazo Russia kwa kutumia visingizio mbalimbali.

  • Nchi 13 zinashindana kununua mfungo wa makombora wa Russia wa S-400

    Nchi 13 zinashindana kununua mfungo wa makombora wa Russia wa S-400

    Nov 16, 2018 04:13

    Licha ya Marekani kutishia kuiwekea vikwazo zaidi Russia, tayari mataifa 13 yameonyesha utayarifu wao kwa ajili ya manunuzi ya ngao ya makombora ya S-400 ya nchi hiyo.

  • Marekani yajitoa kimasomaso kwa kuwawekea vikwazo watu waliohusika kumuua Khashoggi

    Marekani yajitoa kimasomaso kwa kuwawekea vikwazo watu waliohusika kumuua Khashoggi

    Nov 16, 2018 04:11

    Wizara ya Hazina ya Marekani na katika hatua yake iliyochelewa, imewawekea vikwazo raia kadhaa wa Saudi Arabia kutokana na mauaji dhidi ya Jamal Khashoggi, mwandishi habari na mkosoaji wa utawala wa Aal-Saud.

  • Mhadhiri wa Chuo Kikuu India: Marekani imeshindwa kikamilifu kuitenga Iran kimataifa

    Mhadhiri wa Chuo Kikuu India: Marekani imeshindwa kikamilifu kuitenga Iran kimataifa

    Nov 11, 2018 01:07

    Mkuu wa Kitengo cha Utafiti wa Bara Ulaya cha Chuo Kikuu cha Jawaharlal Nehru cha New Delhi, India amesema kuwa, hatua ya Marekani ya kuziruhusu nchi kadhaa kuendelea kununua mafuta ya Iran ni ushahidi wa kushindwa kikamilifu njama za Marekani za kuitenga Iran kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS