Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vita

  • Ujumbe mbalimbali wa operesheni ya kulipiza kisasi ya jeshi la Yemen dhidi ya Saudia

    Ujumbe mbalimbali wa operesheni ya kulipiza kisasi ya jeshi la Yemen dhidi ya Saudia

    Jun 25, 2020 09:39

    Brigedia Jenerali Yahya Saree, Msemaji wa Majeshi ya Yemen, Jumanne tarehe 23 Juni alitangaza habari ya kufanyika operesheni kubwa ya kijeshi ya kulipiza kisasi cha jinai zinazofanywa na Saudi Arabia dhidi ya wananchi wa Yemen.

  • Vita vya maneno vyashtadi kati ya Imarati na Uturuki

    Vita vya maneno vyashtadi kati ya Imarati na Uturuki

    May 02, 2020 01:36

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki imeitaka Imarati kukomesha misimamo yake ya uhasama dhidi ya nchi hiyo.

  • Kushadidi vita nchini Libya katika kivuli cha virusi vya Corona

    Kushadidi vita nchini Libya katika kivuli cha virusi vya Corona

    Apr 14, 2020 11:13

    Licha ya kuibuka virusi vya Corona na kuenea kote ulimwenguni na hilo kupelekea kusitishwa vita na mapigano katika maeneo mengi ya dunia, lakini nchini Libya kwa sasa vita vimeshika kasi.

  • Wasi wasi wa Umoja wa Ulaya kuhusu kuendelea mapigano nchini Yemen, undumakuwili wa EU

    Wasi wasi wa Umoja wa Ulaya kuhusu kuendelea mapigano nchini Yemen, undumakuwili wa EU

    Apr 01, 2020 09:41

    Tangu mwezi Machi 2015, Saudi Arabia iliunda muungano kwa kushirikiana na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na kuanzisha vita vya kidhalimu dhidi ya watu wa Yemen na hadi sasa makumi ya maelfu ya raia wa nchi hiyo wameshauawa shahidi na kujeruhiwa.

  • Tripoli yaitaka Khartoum kuwaondoa mamluki wa Kisudani nchini Libya

    Tripoli yaitaka Khartoum kuwaondoa mamluki wa Kisudani nchini Libya

    Mar 21, 2020 11:47

    Mjumbe katika Baraza la Utawala la Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa nchini Libya, Muhammad Ammari amesema Libya ingali inasubiri ufafanuzi wa Serikali ya Sudan kuhusu uwepo wa mamluki wa Kisudani katika safu za wapiganaji wa jenerali muasi, Khalifa Haftar wanaoendelea kuhujumu mji wa Tripoli.

  • Makamanda wa jeshi la Ethiopia wasema wako tayari kukabiliana na hujuma yoyote ya Misri

    Makamanda wa jeshi la Ethiopia wasema wako tayari kukabiliana na hujuma yoyote ya Misri

    Mar 14, 2020 12:38

    Mkuu wa majeshi ya Ethiopia amesema kuwa jeshi la nchi hiyo liko tayari kukabiliana na hujuma ya aina yoyote ya kijeshi itakayolenga bwawa la al Nahdha na kujibu hujuma hiyo.

  • Indhari ya UN kuhusu kubadilika mzozo wa Libya kuwa vita vya kieneo

    Indhari ya UN kuhusu kubadilika mzozo wa Libya kuwa vita vya kieneo

    Mar 02, 2020 00:20

    Licha ya mazungumzo na juhudi za kimataifa katika wiki za hivi karibuni kwa ajili ya kuhitimisha vita nchini Libya, lakini mapigano yamezidi kuongezeka na sasa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika imegeuka kuwa ulingo wa vita vya niaba.

  • Saudia imeshindwa katika vita dhidi ya Yemen

    Saudia imeshindwa katika vita dhidi ya Yemen

    Feb 16, 2020 11:00

    Kuvunjika makubaliano ya Riyadh, kuondoka kikamilifu askari wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kutoka Yemen na kutunguliwa ndege ya kivita aina ya Tornado ya muungano vamizi wa Saudia, kabla ya jambo lolote lile, ni mambo yanayoashiria kushindwa serikali ya Riyadh katika vita vyake vya kichokozi dhidi ya Yemen.

  • Vijana wa Sudan wasimulia jinsi Abu Dhabi ilivyowapeleka kupigana vita Libya

    Vijana wa Sudan wasimulia jinsi Abu Dhabi ilivyowapeleka kupigana vita Libya

    Feb 16, 2020 02:51

    Vijana wa Kisudan waliorejea makwao hivi karibuni wamesimulia jinsi walivyohadaiwa na kampuni ya Black Shield Security Services iliyowaahaidi kuwapa kazi za ulinzi na badala yake walijikuta wakipewa mafunzo ya kijeshi yasiyooana na kazi zao na kupelekwa bila ya kujua huko Libya na Yemen kupigana vita.

  • Ripoti ya Independent: Kengele za vita zasikika zaidi katika milango ya Libya

    Ripoti ya Independent: Kengele za vita zasikika zaidi katika milango ya Libya

    Jan 29, 2020 15:05

    Ripoti iliyotolewa na gazeti la Independent la Uingereza imefichua kuwa, mapatano tete ya kusitisha vita yaliyofikiwa hivi karibuni baina ya madola makubwa mjini Berlin huko Ujerumani yanaelekea kuporomoka kutokana na mashambulizi ya anga yanayoshuhudiwa sasa nchini Libya na vitisho vinavyoendelea kutolewa na pande hasimu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS