-
Kukiri EU kosa lake la kuiahidi Ukraine kujiunga na NATO
Mar 14, 2022 02:53Josep Borrell Fontelles, Mkuu wa Sera za Kigeni za Umoja wa Ulaya amekiri kuwa kitendo cha umoja huo cha kuipa ahadi Ukraine ya kuiunga na Jeshi la Nchi za Magharibi NATO, lilikuwa kosa.
-
Kuwepo kwa wapiganaji wa kigeni katika vita vya Ukraine; mwelekeo na sura mpya
Mar 12, 2022 10:43Sambamba na kuendelea vita huko Ukraine, kuwepo kwa vikosi na wapiganaji wa kigeni kumevipa vita hivyo sura na mwelekeo mpya. Ni baada ya Rais Vladimir Putin wa Russia kuafiki suala la kuwezesha wapiganaji na vikosi vya kujitolea vinavyounga mkono nchi hiyo kushiriki katika vita vya Ukraine.
-
Serikali ya Iran: Vita si suluhisho la mgogoro wowote ule
Feb 25, 2022 06:56Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, vita si suluhisho la tatizo lolote lile. Amesema hayo ikiwa ni kutangaza msimamo wa serikali ya Iran kuhusu vita baina ya Russia na Ukraine huko mashariki mwa Ulaya.
-
Putin asisitiza, Russia haina nia ya kuingia vitani na Ukraine
Feb 17, 2022 02:48Rais Vladimir Putin wa Rassia aliuambia mkutano wa waandishi wa habari siku ya Jumanne baada ya kukutana na Kansela wa Ujerumani, Olaf Scholz, huko Kremlin kwamba ametoa wito kwa nchi za Magharibi kujiepusha kupeleka silaha za kivita kwenye mipaka ya Russia na kwamba zinapaswa kusitisha upanuzi wa shirika la NATO upande wa Mashariki.
-
Kuongezeka indhari kuhusu uwezekano wa kutokea vita mashariki mwa Ulaya
Feb 12, 2022 10:13Nchi za Magharibi zinaendelea kutoa tahadhari mbalimbali kuhusu uwezekano wa Russia kuishambulia Ukraine kufuatia kuongezeka mivutano huko Ulaya Mashariki kati ya Moscow na Kiev.
-
“Huenda Trump akaitumbukiza Marekani katika vita vya pili vya ndani”
Feb 02, 2022 02:33Mchambuzi mmoja wa masuala ya siasa amesema yumkini aliyekuwa rais wa Marekani, Donald Trump akaitumbukiza nchi hiyo katika vita vya pili vya wenyewe kwa wenyewe.
-
Poland yaonya: Ulaya ipo katika ncha ya kutumbukia vitani
Jan 14, 2022 03:07Waziri wa Mambo ya Nje wa Poland ametahadharisha kuwa, bara Ulaya lipo katika hatari kubwa ya kutumbukia kwenye vita wakati huu, kuliko ilivyokuwa miongo mitatu iliyopita.
-
Marekani yaendelea kushirikiana na Saudi Arabia katika vita vya Yemen
Dec 05, 2021 02:37Mashambulio ya mabomu dhidi ya Yemen yanayofanywa na jeshi la muungano unaoongozwa na Saudi Arabia yanaendelea huku nchi za Magharibi, zinazotoa nara za kutetea haki za binadamu hususan Marekani, zikiendelea kuisaidia Saudi Arabia katika kutenda jinai dhidi ya wananchi wa Yemen.
-
UN na AU zatoa wito wa kusitishwa mapigano nchini Ethiopia, onyo la kukaririwa hali ya Kabul latolewa
Dec 04, 2021 02:36Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika zimetoa wito wa kusitishwa mapigano nchini Ethiopia, huku afisa wa Umoja wa Mataifa akionya dhidi ya kukaririwa hali iliyoshudiwa Kabul nchini Afghanistan baada ya Taliban kuidhibiti nchini hiyo, huko Addis Ababa.
-
Rais Lukashenko: Marekani inataka kuanzisha vita Belarus
Nov 27, 2021 04:37Rais Alexander Lukashenko wa Belarus amesema Marekani inatumia mgogoro wa wakimbizi kutaka kuibua makabiliano baina ya nchi mbili hizo.