Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vita

  • Jarida la Wall Street: Imarati imetuma silaha kwa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) huko Sudan

    Jarida la Wall Street: Imarati imetuma silaha kwa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) huko Sudan

    Aug 11, 2023 07:56

    Jarida la Kimarekani la Wall Street Journal limefichua katika ripoti yake kwamba Umoja wa Falme za Kiarabu unatoa misaada ya kijeshi kwa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF), vinavyopigana na jeshi la Sudan kwa miezi kadhaa sasa.

  • Amnesty International: Uhalifu wa kutisha wa kivita unafanyika nchini Sudan

    Amnesty International: Uhalifu wa kutisha wa kivita unafanyika nchini Sudan

    Aug 04, 2023 12:09

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema katika ripoti yake mpya kwamba uhalifu mkubwa wa kivita unafanywa nchini Sudan, na kwamba raia kote nchini humo wanaishi katika hufo na woga "usiofikirika".

  • Indhari ya Katibu Mkuu wa UN ya kufikia Sudan kwenye ukingo wa vita kamili vya wenyewe kwa wenyewe

    Indhari ya Katibu Mkuu wa UN ya kufikia Sudan kwenye ukingo wa vita kamili vya wenyewe kwa wenyewe

    Jul 11, 2023 11:30

    Mapigano nchini Sudan yanaendelea kupamba moto, na juhudi zilizofanywa hadi sasa za kuleta suluhu na kurejesha amani na utulivu katika nchi hiyo sio tu hazijafanikiwa, lakini pande mbili zinazopigana zimeshadidisha pia mashambulizi yao. Kutokana na hali hiyo, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametahadharisha kuwa, Sudan sasa imeshafika kwenye ukingo wa vita kamili vya wenyewe kwa wenyewe.

  • Wafadhili waahidi kutoa msaada wa dola bilioni 1.5 kwa ajili ya Sudan

    Wafadhili waahidi kutoa msaada wa dola bilioni 1.5 kwa ajili ya Sudan

    Jun 20, 2023 08:05

    Wafadhili wameahidi katika Mkutano wa Geneva wa Kukabiliana na Mgogoro wa Sudan, kutoa msaada wa kibinadamu wa takriban dola bilioni 1.5, wakati huu ambapo hali ya utulivu imetanda kwa kiasi fulani nchini Sudan kwa siku ya pili kutokana na makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyofikiwa baina ya jeshi la Sudan na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF).

  • UN yalaani ukiukwaji wa makubaliano ya kusitisha vita Sudan, mapigano makali yaripotiwa Khartoum

    UN yalaani ukiukwaji wa makubaliano ya kusitisha vita Sudan, mapigano makali yaripotiwa Khartoum

    May 19, 2023 10:31

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa anayehusika na masuala ya kibinadamu, Martin Griffiths, amelaani kile alichokitaja kuwa ukiukwaji wa mara kwa mara na mkubwa wa makubaliano yaliyofikiwa wiki moja baina ya pande zihasimu katika mzozo wa Sudan ya kulinda maisha ya raia, harakati za misaada ya kibinadamu na miundombinu.

  • Mapigano ya kuwania madaraka baina ya majenerali yaingia siku ya pili nchini Sudan

    Mapigano ya kuwania madaraka baina ya majenerali yaingia siku ya pili nchini Sudan

    Apr 16, 2023 10:26

    Mapigano kati ya jeshi la Sudan na Vikosi vya Radiamali ya Haraka yameingia siku ya pili, huku milipuko ikisikika tangu alfajiri ya leo, Jumapili, karibu na Mji wa Michezo, kusini mwa mji mkuu, Khartoum.

  • Kuwa wakimbizi mamilioni ya watu duniani ni matokeo ya vita vya Marekani baada ya Septemba 11

    Kuwa wakimbizi mamilioni ya watu duniani ni matokeo ya vita vya Marekani baada ya Septemba 11

    Apr 10, 2023 11:46

    Vita vilivyoanzishwa na Marekani baada ya mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001 nchini humo yamepelekea zaidi ya watu milioni 37 duniani kuwa wakimbizi.

  • Seneti ya Marekani yafuta kibali cha Pentagon kuhusu oparesheni za kijeshi Iraq

    Seneti ya Marekani yafuta kibali cha Pentagon kuhusu oparesheni za kijeshi Iraq

    Apr 01, 2023 03:13

    Seneti ya Marekani Jumatano wiki hii ilihitimisha kibali ilichokuwa imekitoa kwa Wizara ya Ulinzi ya nchi hiyo (Pentagon) mwaka 1999 na 2002 kwa ajili ya vita huko Iraq na imepasisha uamuzi wa kufutwa kibali cha Pentagon kwa ajili ya kutekeleza oparesheni za kijeshi huko Iraq bila ya kuhitaji idhini ya Kongresi.

  • Maandamano dhidi ya vita katika nchi za Ulaya

    Maandamano dhidi ya vita katika nchi za Ulaya

    Feb 27, 2023 11:44

    Sambamba na kuendelea vita nchini Ukraine na hali mbaya ya kiuchumi na kijamii katika nchi mbalimbali za Ulaya, wananchi barani humo wamefanya maandamano katika nchi kadhaa wakipinga sera za nchi za Magharibi na kuingilia kati vita vya Ukraine.

  • Mwito wa Russia wa kufuatiliwa jinai za Marekani na Uingereza nchini Iraq

    Mwito wa Russia wa kufuatiliwa jinai za Marekani na Uingereza nchini Iraq

    Feb 10, 2023 04:06

    Vasily Nebenzya, mwakilishi wa kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa, Jumatano ya juzi na ikiwa ni siku tatu baada ya kumbukumbu ya mwaka wa uongo mkubwa wa Marekani dhidi ya Iraq alisema kuwa, lazima watenda jinai Wamarekani na Waingereza wapandishwe kizimbani kwa jinai zao nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS