Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Waislamu milioni 27 wameuawa katika 'vita dhidi ya ugaidi' vya Marekani

    Waislamu milioni 27 wameuawa katika 'vita dhidi ya ugaidi' vya Marekani

    Nov 22, 2019 10:38

    Msomi na mwanafikra mashuhuri wa Marekani amesema zaidi ya Waislamu milioni 27 wameuawa kutokana na vita vilivyoibuliwa na Marekani kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi, tangu baada ya mashambulizi ya Septemba 11, 2001 hadi sasa.

  • Waislamu ni waathirika wakuu wa ugaidi duniani

    Waislamu ni waathirika wakuu wa ugaidi duniani

    Nov 22, 2019 03:39

    Asasi moja ya Ufaransa imesema Waislamu ni waathirika wakuu wa ugaidi duniani na hilo ni jambo ambalo linapaswa kufahamika vyema barani Ulaya.

  • Jumuiya ya Kiislamu yasisitizia umoja na kuwa macho Waislamu

    Jumuiya ya Kiislamu yasisitizia umoja na kuwa macho Waislamu

    Nov 17, 2019 04:05

    Viongozi wa Kiislamu kutoka nchi mbalimbali duniani walioshiriki mkutano wa 12 wa Baraza Kuu la Jumuiya ya Kimataifa ya Mwamko wa Kiislamu hapa Tehran wamesisitizia udharura wa kudumishwa umoja na mshikamano miongoni mwa Waislamu kote duniani.

  • Waislamu Uingereza waanzisha oparesheni ya kumtimua Boris Johnson

    Waislamu Uingereza waanzisha oparesheni ya kumtimua Boris Johnson

    Nov 13, 2019 10:02

    Kundi moja la Waislamu Uingereza limeanzisha kampeni mpya inayojulikana kama "Oparesheni ya Kura ya Waislamu' kuwatimua wabunge wasio zingatia maslahi yao.

  • Waislamu Ujerumani wazidi kuandamwa na vitendo vya chuki na ubaguzi

    Waislamu Ujerumani wazidi kuandamwa na vitendo vya chuki na ubaguzi

    Nov 02, 2019 23:02

    Mmoja wa viongozi wa Kiislamu nchini Ujerumani amesema kuwa, Waislamu wa nchi hiyo ya bara Ulaya wanazidi kuandamwa na mashambulio ambayo chimbuko lake ni vitendo vya ubaguzi na chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu.

  • Shule za Kiislamu Uingereza zaweka historia, zashika nafasi tatu za juu na kuongoza kwa ubora

    Shule za Kiislamu Uingereza zaweka historia, zashika nafasi tatu za juu na kuongoza kwa ubora

    Nov 02, 2019 04:44

    Shule za Kiislamu za Uingereza zimeweka historia kwa kushika nafasi tatu za kwanza katika orodha ya shule bora zaidi nchini humo.

  • UN yataka kufunguliwa kesi ya jinai zinazofanywa dhidi ya Waislamu Myanmar

    UN yataka kufunguliwa kesi ya jinai zinazofanywa dhidi ya Waislamu Myanmar

    Oct 24, 2019 23:21

    Maafisa wawili wa Umoja wa Mataifa wametoa wito wa kufunguliwa kesi katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ili kushughulikia jinai zinazofanywa na jeshi la Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya katika jimbo la Rakhine nchini humo.

  • India yazidisha hatua kali za usalama kabla ya kuhitimishwa kesi ya Msikiti wa Babri

    India yazidisha hatua kali za usalama kabla ya kuhitimishwa kesi ya Msikiti wa Babri

    Oct 15, 2019 00:35

    Serikali ya India imezidisha hatua kali za usalama katika mji wa Ayodhya, jimbo la Uttar Pradesh huko kaskazini mwa nchi hiyo kabla ya kutolewa uamuzi muhimu sana wa Mahaka Kuu ya nchi hiyo juu ya mzozo wa eneo la Msikiti wa Babri linalogombaniwa baina ya Waislamu na Wahindu.

  • Waislamu Tanzania wajiandaa kufanya Maulidi ya Mtume Muhammad SAW kwa hamasa kubwa zaidi mwaka huu + Sauti

    Waislamu Tanzania wajiandaa kufanya Maulidi ya Mtume Muhammad SAW kwa hamasa kubwa zaidi mwaka huu + Sauti

    Oct 07, 2019 06:03

    Viongozi wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) wametoa ufafanuzi kuhusu maandalizi ya Maulidi ya Kitaifa yanavyoendelea jijini Mwanza na wamejipanga kufanya shughuli mbalimbali za kijamii kuelekea maadhimisho hayo ya kuzaliwa Bwana Mtume Muhammad SAW. Ammar Dachi na taarifa zaidi kutoka Dar es Salaam...

  • Zarif: Iwapo Marekani inataka mazungumzo na Iran lazima itekeleze ahadi zake

    Zarif: Iwapo Marekani inataka mazungumzo na Iran lazima itekeleze ahadi zake

    Sep 29, 2019 03:46

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Iran haitaacha mustakabali wa uchumi na wananchi wake utegemee mkutano wa kimaonyesho na Rais Donald Trump wa Marekani. Ameongeza kuwa, kama ambavyo Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu alivyosema, 'iwapo Mareknai inataka kufanya mazungumzo na Iran, ni lazima kwanza itekeleze ahadi zake na isitishe vikwazo.'

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS