Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Familia ya binti Msomali-Muingereza aliyegharikishwa yataka haki

    Familia ya binti Msomali-Muingereza aliyegharikishwa yataka haki

    Aug 13, 2019 07:29

    Familia ya binti Msomali mwenye uraia wa Uingereza aliyegharikishwa imetaka haki na uadilifu baada ya kubainika kuwa alipoteza maisha kwa njia ya kutatanisha.

  • Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu kwa Mahujaji; kujibari na washirikina fursa kwa ajili ya mataifa madhulumu ya Waislamu

    Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu kwa Mahujaji; kujibari na washirikina fursa kwa ajili ya mataifa madhulumu ya Waislamu

    Aug 11, 2019 10:52

    Marasimu ya kujibari na kujiweka mbalii na washirikina yalifanyika jana Jumamosi katika jangwa la Arafa kwa kusomwa ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu na Waislamu wote.

  • Kupigwa marufuku shughuli za Harakati ya Kiislamu ya Nigeria na taathira zake

    Kupigwa marufuku shughuli za Harakati ya Kiislamu ya Nigeria na taathira zake

    Jul 29, 2019 10:02

    Wakati Waislamu wa Nigeria wakiendeleza jitihada za kuhakikisha kwamba kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo, Sheikh Ibrahim Zakzaky anaachiwa huru, Rais wa nchi hiyo amepiga marufuku shughuli zote za harakati hiyo.

  • Baraza la Kiislamu nchini Ujerumani lalalamikia miamala mibaya ya polisi dhidi ya Waislamu

    Baraza la Kiislamu nchini Ujerumani lalalamikia miamala mibaya ya polisi dhidi ya Waislamu

    Jun 07, 2019 03:07

    Baraza Kuu la Waislamu nchini Ujerumani limekosoa mimala ya ukandamizaji ya maafisa wa polisi wa nchi hiyo kuwalenga Waislamu.

  • Waislamu Uganda kuendelea kushinikiza mfumo wa benki za Kiislamu nchini humo

    Waislamu Uganda kuendelea kushinikiza mfumo wa benki za Kiislamu nchini humo

    Jun 06, 2019 06:18

    Viongozi wa Kiislamu nchini Uganda wamesisitiza kuwa wataendelea kushinikiza utekelezwaji wa mfumo wa benki za Kiislamu nchini humo.

  • Wanazuoni 80 wa Kiislamu wa nchi za Magharibi waitaka Saudia isiwanyonge maulama

    Wanazuoni 80 wa Kiislamu wa nchi za Magharibi waitaka Saudia isiwanyonge maulama

    Jun 05, 2019 04:00

    Wanazuoni 80 wa Kiislamu wanaoishi katika nchi za Magharibi wameuandikia barua utawala wa kifalme wa Saudi Arabia wakiutaka usitekeleze hukumu ya kifo dhidi ya maulama watayu wa nchi hiyo wanaoshikiliwa gerezani.

  • Waislamu walaumiwa kwa kuuana wenyewe kwa wenyewe na kumsahau adui yao + Sauti

    Waislamu walaumiwa kwa kuuana wenyewe kwa wenyewe na kumsahau adui yao + Sauti

    May 27, 2019 16:25

    Waislamu wa zama hizi wamelaumiwa kwa kumalizana wenyewe kwa wenyewe na kumsahau adui yao halisi. Mwandishi wetu wa Kampala Kigozi Ismail na taarifa kamili.

  • Mbunge avaa mtandio Bungeni kupinga marufuku ya hijabu Austria

    Mbunge avaa mtandio Bungeni kupinga marufuku ya hijabu Austria

    May 18, 2019 14:37

    Mbunge mmoja wa kujitegemea huko Austria amevaa mtandio kichwani ndani ya Bunge la nchi hiyo kulalamikia na kupinga muswada tata wa sheria inayotaka kupiga marufuku uvaaji wa hijabu kwa mabinti wa Kiislamu wa shule za msingi katika nchi hiyo ya Ulaya.

  • Wafanyakazi Indonesia wapewa mshahara maradufu Ramadhani

    Wafanyakazi Indonesia wapewa mshahara maradufu Ramadhani

    May 12, 2019 07:39

    Wafanyakazi nchini Indonesia wanatazamia kupewa mshahara mara mbili katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani, ili kuwawezesha kufurahia sikukuu ya Idul Fitr ambayo ni moja ya likizo ndefu zaidi nchini humo.

  • UNHCR, SUPKEM zazindua kampeni ya

    UNHCR, SUPKEM zazindua kampeni ya "Ramadhani kwa ajili ya elimu kwa wakimbizi"

    May 02, 2019 14:25

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) kwa ushirikiano na Baraza Kuu la Waislamu nchini Kenya (SUPKEM) limezindua kampeni ya kuwasaidia maelfu ya vijana wakimbizi nchini humo wanaokosa elimu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS