Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Wafanyakazi Indonesia wapewa mshahara maradufu Ramadhani

    Wafanyakazi Indonesia wapewa mshahara maradufu Ramadhani

    May 12, 2019 03:09

    Wafanyakazi nchini Indonesia wanatazamia kupewa mshahara mara mbili katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani, ili kuwawezesha kufurahia sikukuu ya Idul Fitr ambayo ni moja ya likizo ndefu zaidi nchini humo.

  • UNHCR, SUPKEM zazindua kampeni ya

    UNHCR, SUPKEM zazindua kampeni ya "Ramadhani kwa ajili ya elimu kwa wakimbizi"

    May 02, 2019 09:55

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) kwa ushirikiano na Baraza Kuu la Waislamu nchini Kenya (SUPKEM) limezindua kampeni ya kuwasaidia maelfu ya vijana wakimbizi nchini humo wanaokosa elimu.

  • Kongamano la mustakbali wa Waislamu linaloshirikisha nchi 25 laendelea Uganda + Sauti

    Kongamano la mustakbali wa Waislamu linaloshirikisha nchi 25 laendelea Uganda + Sauti

    Apr 27, 2019 02:21

    Kongamano kuhusu mustakbali wa vijana wa Kiislamu barani Afrika linaendelea katika mji mkuu wa Uganda Kampala. Viongozi wa Kiislamu kutoka zaidi ya nchi 25 wanashiriki mkutano huo. Mwandishi wetu wa Kampala, Kigozi Ismail ana maelezo zaidi...

  • Polisi yawazuilia watoto wa wanachama wa Harakati ya Kiislamu Nigeria

    Polisi yawazuilia watoto wa wanachama wa Harakati ya Kiislamu Nigeria

    Apr 18, 2019 22:31

    Polisi nchini Nigeria imewatia mbaroni na kuwazuilia makumi ya watoto wa wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo.

  • António Guterres atahadharisha kuhusu kuzidi kuenea chuki dhidi ya Waislamu

    António Guterres atahadharisha kuhusu kuzidi kuenea chuki dhidi ya Waislamu

    Apr 02, 2019 21:43

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ametahadharisha kuhusu hatari ya kuenea chuki dhidi ya Waislamu duniani baada ya shambulio la kigaidi lililotokea katika misikiti miwili ya mji wa Christchurch nchini New Zealand.

  • Facebook, You Tube zashtakiwa kwa kurusha mubashara mauaji ya Waislamu New Zealand

    Facebook, You Tube zashtakiwa kwa kurusha mubashara mauaji ya Waislamu New Zealand

    Mar 26, 2019 03:07

    Baraza la Waislamu nchini Ufaransa (CFCM) limeifungulia mashitaka mitandao ya kijamii ya Facebook na You Tube kwa kurusha hewani mubashara mauaji ya kutisha ya Waislamu nchini New Zealand.

  • Iran yaungana na dunia kulaani mashambulizi ya kigaidi dhidi ya misikiti New Zealand

    Iran yaungana na dunia kulaani mashambulizi ya kigaidi dhidi ya misikiti New Zealand

    Mar 15, 2019 12:26

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kulaani mashambulio ya kigaidi yaliyofanywa dhidi ya misikiti miwili katika mji wa Christchurch nchini New Zealand, amezitaka nchi za Magharibi kuacha unafiki wa kuunga mkono propaganda chafu dhidi ya Waislamu kwa kisingizio cha 'uhuru wa kujieleza'.

  • Uchunguzi: Waislamu wanabaguliwa zaidi katika jamii ya Marekani

    Uchunguzi: Waislamu wanabaguliwa zaidi katika jamii ya Marekani

    Mar 09, 2019 21:47

    Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni uliofanyika nchini Marekani yanaonesha kuwa, Waislamu wanabaguliwa zaidi katika jamii ya nchi hiyo ikilinganishwa na makundi mengine ya kidini.

  • Kuendelea mashinikizo dhidi ya mbunge mwanamke Muislamu wa Kongresi ya Marekani

    Kuendelea mashinikizo dhidi ya mbunge mwanamke Muislamu wa Kongresi ya Marekani

    Mar 04, 2019 04:07

    Katika muendelezo wa mashinikizo dhidi ya Ilhan Omar, mbunge Muislamu wa Baraza la Wawakilishi la Marekani, kwa mara nyingine, wafuasi na waungaji mkono wa Rais Donald Trump wa Marekani wamemtusi mbunge huyo kwa kubandika picha zinazomtambulisha yeye kama gaidi.

  • Iran yazilaumu nchi zinazounga mkono vikwazo vya Marekani dhidi yake

    Iran yazilaumu nchi zinazounga mkono vikwazo vya Marekani dhidi yake

    Mar 03, 2019 12:22

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya sheria na ya kimataifa amesema kuwa nchi ambazo zinaunga mkono vikwazo vya Marekani dhidi ya taifa la Iran zinavunja roho ya mshikamano kati ya Waislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS