-
Wafanyakazi Indonesia wapewa mshahara maradufu Ramadhani
May 12, 2019 03:09Wafanyakazi nchini Indonesia wanatazamia kupewa mshahara mara mbili katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani, ili kuwawezesha kufurahia sikukuu ya Idul Fitr ambayo ni moja ya likizo ndefu zaidi nchini humo.
-
UNHCR, SUPKEM zazindua kampeni ya "Ramadhani kwa ajili ya elimu kwa wakimbizi"
May 02, 2019 09:55Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) kwa ushirikiano na Baraza Kuu la Waislamu nchini Kenya (SUPKEM) limezindua kampeni ya kuwasaidia maelfu ya vijana wakimbizi nchini humo wanaokosa elimu.
-
Kongamano la mustakbali wa Waislamu linaloshirikisha nchi 25 laendelea Uganda + Sauti
Apr 27, 2019 02:21Kongamano kuhusu mustakbali wa vijana wa Kiislamu barani Afrika linaendelea katika mji mkuu wa Uganda Kampala. Viongozi wa Kiislamu kutoka zaidi ya nchi 25 wanashiriki mkutano huo. Mwandishi wetu wa Kampala, Kigozi Ismail ana maelezo zaidi...
-
Polisi yawazuilia watoto wa wanachama wa Harakati ya Kiislamu Nigeria
Apr 18, 2019 22:31Polisi nchini Nigeria imewatia mbaroni na kuwazuilia makumi ya watoto wa wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo.
-
António Guterres atahadharisha kuhusu kuzidi kuenea chuki dhidi ya Waislamu
Apr 02, 2019 21:43Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ametahadharisha kuhusu hatari ya kuenea chuki dhidi ya Waislamu duniani baada ya shambulio la kigaidi lililotokea katika misikiti miwili ya mji wa Christchurch nchini New Zealand.
-
Facebook, You Tube zashtakiwa kwa kurusha mubashara mauaji ya Waislamu New Zealand
Mar 26, 2019 03:07Baraza la Waislamu nchini Ufaransa (CFCM) limeifungulia mashitaka mitandao ya kijamii ya Facebook na You Tube kwa kurusha hewani mubashara mauaji ya kutisha ya Waislamu nchini New Zealand.
-
Iran yaungana na dunia kulaani mashambulizi ya kigaidi dhidi ya misikiti New Zealand
Mar 15, 2019 12:26Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kulaani mashambulio ya kigaidi yaliyofanywa dhidi ya misikiti miwili katika mji wa Christchurch nchini New Zealand, amezitaka nchi za Magharibi kuacha unafiki wa kuunga mkono propaganda chafu dhidi ya Waislamu kwa kisingizio cha 'uhuru wa kujieleza'.
-
Uchunguzi: Waislamu wanabaguliwa zaidi katika jamii ya Marekani
Mar 09, 2019 21:47Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni uliofanyika nchini Marekani yanaonesha kuwa, Waislamu wanabaguliwa zaidi katika jamii ya nchi hiyo ikilinganishwa na makundi mengine ya kidini.
-
Kuendelea mashinikizo dhidi ya mbunge mwanamke Muislamu wa Kongresi ya Marekani
Mar 04, 2019 04:07Katika muendelezo wa mashinikizo dhidi ya Ilhan Omar, mbunge Muislamu wa Baraza la Wawakilishi la Marekani, kwa mara nyingine, wafuasi na waungaji mkono wa Rais Donald Trump wa Marekani wamemtusi mbunge huyo kwa kubandika picha zinazomtambulisha yeye kama gaidi.
-
Iran yazilaumu nchi zinazounga mkono vikwazo vya Marekani dhidi yake
Mar 03, 2019 12:22Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya sheria na ya kimataifa amesema kuwa nchi ambazo zinaunga mkono vikwazo vya Marekani dhidi ya taifa la Iran zinavunja roho ya mshikamano kati ya Waislamu.