-
Siku ya Hijabu Duniani yaadhimishwa katika mji mkuu wa Uingereza
Feb 03, 2019 03:44Wanawake Waislamu nchini Uingereza wamekusanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo, London kuadhimisha Siku ya Hijabu Duniani (World Hijab Day).
-
Canada yapinga kuundwa 'Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Chuki dhidi ya Uislamu'
Feb 02, 2019 02:46Waziri Mkuu wa mkoa wa Quebec nchini Canada amepinga mwito wa kuundwa siku ya kitaifa ya kulaani jinai zinazotokana na chuki dhidi ya Uislamu nchini humo.
-
Mbunge mwanamke Muislamu aifanya Kongresi ya Marekani irekebishe sheria iliyodumu kwa miaka 181
Jan 07, 2019 07:47Ilhan Abdullahi Omar, mbunge mwanamke Muislamu katika Kongresi ya Marekani ameleta mabadiliko makubwa kwenye bunge hilo baada ya kuwezesha kurekebishwa sheria iliyodumu kwa muda wa miaka 181 inayopiga marufuku kuvaa kofia au kitambaa cha kichwa ndani ya ukumbi wa bunge hilo.
-
HRW yataka kushtakiwa askari wanaowakandamiza Waislamu Nigeria
Dec 12, 2018 12:40Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limetoa mwito wa kufunguliwa mashitaka wanajeshi wa Nigeria wanaowakandamiza Waislamu wa madhehebu ya Shia.
-
Pompeo atiwa kiwewe na nafasi ya Iran ya kuwaunganisha Waislamu
Nov 27, 2018 07:47Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ameonesha kughadhabishwa na matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwamba taifa hili linanyoosha mkono wa udugu kwa Waislamu wote duniani.
-
Waislamu Canada wataka 'Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Chuki dhidi ya Uislamu'
Nov 23, 2018 07:52Waislamu nchini Canada wamesema jinai zinazotokana na chuki dhidi ya Uislamu zimeshtadi huku wakiitaka serikali izindue mpango mkakati wa kuziunganisha jamii za nchi hiyo.
-
Huenda Kongresi ya Marekani ikalazimika kufuta marufuku ya miaka 181 ya Hijabu
Nov 20, 2018 08:07Mwakilishi wa Minnesota katika Kongresi ya Marekani, Ilhan Omar amesema ataanzisha jitihada za kuhakikisha kuwa sheria ya kupigwa marufuku uvaaji wa mitandio kichwani ikiwemo Hijabu inayovaliwa na wanawake Waislamu katika Bunge la Wawakilishi wa Marekani, inaangaliwa upya.
-
Wanafunzi Waislamu Nigeria waruhusiwa kuvaa Hijabu shuleni Lagos
Nov 15, 2018 15:26Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu Nigeria NSCIA limepongeza agizo la Mahakama ya Juu nchini humo la kuitaka serikali ya jimbo la Lagos kuwaruhusu wanafunzi Waislamu kuvaa Hijabu katika shule za umma katika mji mkuu huo wa kibiashara.
-
Mufti wa Tanzania awahimiza Waislamu kujifunza sayansi + Sauti
Nov 11, 2018 17:33Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakari Zuberi bin Ali amewataka Waislamu wa Tanzania kujiendeleza na kujitanua katika nyanja mbalimbali za kielimu hasa katika sekta ya sayansi na teknologia ili kuiendeleza dini ya Kiislamu kwa njia bora zaidi. Ammari Dachi na taarifa zaidi kutoka Dar es Salaam...
-
Undumakuwili wa Marekani kuhusu mapambano dhidi ya ugaidi kwa mtazamo wa Zarif
Nov 10, 2018 11:20Baada ya mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001 katika miji ya Washington na New York huko Marekani, Rais wa wakati huo wa nchi hiyo, George W. Bush aliwanyooshea kidole cha tuhuma Waislamu na kuiarifisha Marekani kuwa ni mbeba bendera ya kupambana na ugaidi.