-
CAIR: Uhalifu unaotokana na chuki dhidi ya Waislamu umeongezeka California Marekani
Aug 12, 2018 02:34Baraza la Uhusiano wa Kiislamu nchini Marekani (CAIR) limetangaza kuwa, vitendo vya uhalifu vinavyotokana na chuki dhidi ya Waislamu vimeongezeka katika jimbo la California nchini humo.
-
Kuthibiti kutokuwa na hatia wafuasi wa Sheikh Zakzaky wa Harakati ya Kiislamu Nigeria
Aug 02, 2018 02:24Hatimaye, baada ya miaka miwili, Mahakama ya Juu ya katika jimbo la Kaduna nchini Nigeria, baada ya kusikiliza kesi dhidi ya wafuasi 100 wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imeamua kuwaachilia huru.
-
Rais wa Ufilipino aidhinisha kuundwa eneo lenye mamlaka ya ndani la Waislamu nchini humo
Jul 27, 2018 07:45Rais Rodrigo Duterte wa Ufilipino amesaini muswada wa sheria inayoruhusu kuundwa eneo jipya lenye mamlaka ya ndani la Waislamu kusini mwa nchi hiyo.
-
Waislamu Warohingya wanauawa kwa umati na kubakwa Myanmar
Jul 21, 2018 07:27Shirika moja la kimataifa la madaktari wataalamu limesema limekusanya ushahidi unaoonyesha wazi kuwa Waislamu Warohingya wanauawa kwa umati na kubakwa nchini Myanmar.
-
Waislamu wa Bosnia wazika mabaki ya wenzao 35 waliouawa Srebrenica
Jul 11, 2018 13:45Maelfu ya Waislamu wa Bosnia Herzegovina wamekusanyika hii leo katika mji wa Srebrenica kuadhimisha miaka 23, tangu yafanyike mauaji mabaya zaidi ya umati katika nchi hiyo ya Ulaya, baada ya Vita vya Pili vya Dunia.
-
Serikali ya Uswisi yakataa pendekezo la kupiga marufuku burqa
Jun 27, 2018 13:45Serikali ya Uswisi imepinga kampeni zinazofanyika mashinani za kushinikiza marufuku ya nchi nzima ya vazi la burqa linalovaliwa na baadhi ya wanawake Waislamu nchini humo.
-
Waislamu Afrika Kusini walaani mauaji ya kikatili msikitini
Jun 15, 2018 15:37Baraza la Kisheria la Waislamu la Afrika Kusini (MJC) limelaani vikali shambulizi la kikatili lililotokea Alhamisi katika eneo la Malmesbury karibu na mji wa Cape Town, na kusababisha vifo vya waumini wawili wa Kiislamu na wengine wawili kujeruhiwa.
-
Waislamu Austria walaani azma ya serikali ya kutaka kufunga misikiti nchini
Jun 11, 2018 07:16Waislamu nchini Austria wamekosoa vikali mpango wa serikali wa kufunga misikiti saba na kuwatimua makumi ya Maimamu na familia zao kutokana na kile inachodai ni mkakati wa kuzuia 'Uislamu wa kisiasa' katika nchi hiyo ya Ulaya.
-
Kuna hatari mamilioni ya Waislamu India wakafikwa na maafa ya Waislamu wa Myanmar
Jun 01, 2018 00:53Zaidi ya watu milioni 7 wakiwemo wanawake milioni mbili na laki tisa walioolewa wametakiwa kuthibitisha uraia wao nchini India.
-
Wanawake Waislamu Denmark wapigwa marufuku kuvaa niqabu
Jun 01, 2018 00:52Serikali ya Denmark imepiga marufuku vazi la burqa au niqabu linalovaliwa na baadhi ya wanawake wa Kiislamu.