-
Mashambulizi dhidi ya wanawake wa Kiislamu yaongozeka Ubelgiji
Sep 09, 2018 23:40Takwimu zinaonesha kuwa, karibu asilimia 76 ya wanawake Waislamu nchini Ubelgiji walishambuliwa na magenge ya watu wanaopinga Uislamu nchini humo katika mwaka uliopita wa 2017.
-
Waislamu Uingereza wataka hatua kali zichukuliwe dhidi ya Boris Johnson
Aug 13, 2018 22:23Waislamu wa Uingereza wametaka uchunguzi kamili ufanyika kuhusu waziri wa zamani wa mambo ya nje wa nchi hiyo, Boris Johnson ambaye amewakashifu Waislamu.
-
CAIR: Uhalifu unaotokana na chuki dhidi ya Waislamu umeongezeka California Marekani
Aug 11, 2018 22:04Baraza la Uhusiano wa Kiislamu nchini Marekani (CAIR) limetangaza kuwa, vitendo vya uhalifu vinavyotokana na chuki dhidi ya Waislamu vimeongezeka katika jimbo la California nchini humo.
-
Kuthibiti kutokuwa na hatia wafuasi wa Sheikh Zakzaky wa Harakati ya Kiislamu Nigeria
Aug 01, 2018 21:54Hatimaye, baada ya miaka miwili, Mahakama ya Juu ya katika jimbo la Kaduna nchini Nigeria, baada ya kusikiliza kesi dhidi ya wafuasi 100 wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imeamua kuwaachilia huru.
-
Rais wa Ufilipino aidhinisha kuundwa eneo lenye mamlaka ya ndani la Waislamu nchini humo
Jul 27, 2018 03:15Rais Rodrigo Duterte wa Ufilipino amesaini muswada wa sheria inayoruhusu kuundwa eneo jipya lenye mamlaka ya ndani la Waislamu kusini mwa nchi hiyo.
-
Waislamu Warohingya wanauawa kwa umati na kubakwa Myanmar
Jul 21, 2018 02:57Shirika moja la kimataifa la madaktari wataalamu limesema limekusanya ushahidi unaoonyesha wazi kuwa Waislamu Warohingya wanauawa kwa umati na kubakwa nchini Myanmar.
-
Waislamu wa Bosnia wazika mabaki ya wenzao 35 waliouawa Srebrenica
Jul 11, 2018 09:15Maelfu ya Waislamu wa Bosnia Herzegovina wamekusanyika hii leo katika mji wa Srebrenica kuadhimisha miaka 23, tangu yafanyike mauaji mabaya zaidi ya umati katika nchi hiyo ya Ulaya, baada ya Vita vya Pili vya Dunia.
-
Serikali ya Uswisi yakataa pendekezo la kupiga marufuku burqa
Jun 27, 2018 09:15Serikali ya Uswisi imepinga kampeni zinazofanyika mashinani za kushinikiza marufuku ya nchi nzima ya vazi la burqa linalovaliwa na baadhi ya wanawake Waislamu nchini humo.
-
Waislamu Afrika Kusini walaani mauaji ya kikatili msikitini
Jun 15, 2018 11:07Baraza la Kisheria la Waislamu la Afrika Kusini (MJC) limelaani vikali shambulizi la kikatili lililotokea Alhamisi katika eneo la Malmesbury karibu na mji wa Cape Town, na kusababisha vifo vya waumini wawili wa Kiislamu na wengine wawili kujeruhiwa.
-
Waislamu Austria walaani azma ya serikali ya kutaka kufunga misikiti nchini
Jun 11, 2018 02:46Waislamu nchini Austria wamekosoa vikali mpango wa serikali wa kufunga misikiti saba na kuwatimua makumi ya Maimamu na familia zao kutokana na kile inachodai ni mkakati wa kuzuia 'Uislamu wa kisiasa' katika nchi hiyo ya Ulaya.