-
Hofu ya Waislamu Italia baada ya kuchaguliwa serikali ya mrengo wa kulia
Sep 26, 2018 10:23Waislamu nchini Italia wameelezea wasiwasi wao kutokana na kuchaguliwa serikali yenye misimamo mikali ya mrengo wa kulia katika nchi hiyo ya Ulaya.
-
Amnesty: China imetenganisha malaki ya familia za Waislamu
Sep 24, 2018 10:32Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International sambamba na kulaani ukandamizaji unaofanywa na vyombo vya usalama dhidi ya Waislamu nchini China, limesema kuwa mamia ya maelfu ya familia za Waislamu nchini humo zimelazimika kutengana na jamaa zao kutokana na dhulma hizo za serikali.
-
Mashambulizi dhidi ya wanawake wa Kiislamu yaongozeka Ubelgiji
Sep 09, 2018 23:40Takwimu zinaonesha kuwa, karibu asilimia 76 ya wanawake Waislamu nchini Ubelgiji walishambuliwa na magenge ya watu wanaopinga Uislamu nchini humo katika mwaka uliopita wa 2017.
-
Waislamu Uingereza wataka hatua kali zichukuliwe dhidi ya Boris Johnson
Aug 13, 2018 22:23Waislamu wa Uingereza wametaka uchunguzi kamili ufanyika kuhusu waziri wa zamani wa mambo ya nje wa nchi hiyo, Boris Johnson ambaye amewakashifu Waislamu.
-
CAIR: Uhalifu unaotokana na chuki dhidi ya Waislamu umeongezeka California Marekani
Aug 11, 2018 22:04Baraza la Uhusiano wa Kiislamu nchini Marekani (CAIR) limetangaza kuwa, vitendo vya uhalifu vinavyotokana na chuki dhidi ya Waislamu vimeongezeka katika jimbo la California nchini humo.
-
Kuthibiti kutokuwa na hatia wafuasi wa Sheikh Zakzaky wa Harakati ya Kiislamu Nigeria
Aug 01, 2018 21:54Hatimaye, baada ya miaka miwili, Mahakama ya Juu ya katika jimbo la Kaduna nchini Nigeria, baada ya kusikiliza kesi dhidi ya wafuasi 100 wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imeamua kuwaachilia huru.
-
Rais wa Ufilipino aidhinisha kuundwa eneo lenye mamlaka ya ndani la Waislamu nchini humo
Jul 27, 2018 03:15Rais Rodrigo Duterte wa Ufilipino amesaini muswada wa sheria inayoruhusu kuundwa eneo jipya lenye mamlaka ya ndani la Waislamu kusini mwa nchi hiyo.
-
Waislamu Warohingya wanauawa kwa umati na kubakwa Myanmar
Jul 21, 2018 02:57Shirika moja la kimataifa la madaktari wataalamu limesema limekusanya ushahidi unaoonyesha wazi kuwa Waislamu Warohingya wanauawa kwa umati na kubakwa nchini Myanmar.
-
Waislamu wa Bosnia wazika mabaki ya wenzao 35 waliouawa Srebrenica
Jul 11, 2018 09:15Maelfu ya Waislamu wa Bosnia Herzegovina wamekusanyika hii leo katika mji wa Srebrenica kuadhimisha miaka 23, tangu yafanyike mauaji mabaya zaidi ya umati katika nchi hiyo ya Ulaya, baada ya Vita vya Pili vya Dunia.
-
Serikali ya Uswisi yakataa pendekezo la kupiga marufuku burqa
Jun 27, 2018 09:15Serikali ya Uswisi imepinga kampeni zinazofanyika mashinani za kushinikiza marufuku ya nchi nzima ya vazi la burqa linalovaliwa na baadhi ya wanawake Waislamu nchini humo.