-
Kuna hatari mamilioni ya Waislamu India wakafikwa na maafa ya Waislamu wa Myanmar
May 31, 2018 20:23Zaidi ya watu milioni 7 wakiwemo wanawake milioni mbili na laki tisa walioolewa wametakiwa kuthibitisha uraia wao nchini India.
-
Wanawake Waislamu Denmark wapigwa marufuku kuvaa niqabu
May 31, 2018 20:22Serikali ya Denmark imepiga marufuku vazi la burqa au niqabu linalovaliwa na baadhi ya wanawake wa Kiislamu.
-
Ukosoaji wa UN kwa serikali ya Ufaransa kwa kuamiliana vibaya na Waislamu wa nchi hiyo
May 29, 2018 03:47Umoja wa Mataifa umeikosoa serikali ya Ufaransa kwa namna inavyoamiliana na Waislamu na inavyokabiliana na ugaidi na athari za hatua zake hizo ambazo zinatia wasiwasi kwa kutishia uhuru wa mtu binafsi.
-
Wafungwa Waislamu Marekani wanyimwa chakula, walazimishwa kula nyama ya nguruwe
May 24, 2018 10:08Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) limewasilisha faili la kesi mahakamani kuwashtaki maafisa wa Idara ya Magereza ya Alaska, kwa kuwanyima chakula wafungwa Waislamu mbali na kuwalazimisha kula nyama ya nguruwe katika mwezi huu wa Ramadhani.
-
Waziri wa Uhajiri wa Denmark atoa matamshi ya kuuvunjia heshima mwezi mtukufu wa Ramadhani
May 22, 2018 03:31Waziri wa Uhajiri, Mshikamano na Maskani wa Denmark ametoa matamshi ya chuki na uadui dhidi ya Uislamu kwa kuwataka Waislamu wa nchi hiyo wanapoanza kufunga na katika kipindi chote cha mwezi mtukufu wa Ramadhani wachukue likizo makazini akidai kwamba amali za mwezi huo ni "hatari" kwa watu wote nchini humo.
-
Waislamu, Wakristo Uganda walalamikia kutozwa ushuru Misahafu, Biblia
May 15, 2018 09:44Viongozi wa kidini nchini Uganda wamekosoa vikali hatua ya Mamlaka ya Kukusanya Ushuru nchini humo URA kuanza kutoza ushuru wa forodha suhula za kidini zinazoingizwa nchini humo kama nakala za Qurani na Biblia.
-
Waislamu wa Marekani wana hatari ya kunyanyaswa zaidi mwezi wa Ramadhani
May 10, 2018 10:01Baraza la Uhusiano wa Marekani na Uislamu limetaka kuchukuliwa hatua za lazima za kuimarisha usalama kwa ajili ya kuwalinda Waislamu ambao wana hatari ya kukumbwa na mashambulizi na unyanyasaji zaidi katika kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
Upinzani Uganda waijia juu serikali kwa mauaji ya viongozi wa Kiislamu
May 04, 2018 02:54Viongozi wa upinzani nchini Uganda wameitaka serikali ya Kampala kutoa ripoti kuhusu mauaji na kamatakamata dhidi ya viongozi na wahubiri wa Kiislamu katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
Viongozi wa Kiislamu Ufaransa wakosoa wito wa 'kufutwa' baadhi ya aya za Qurani
Apr 28, 2018 03:26Viongozi wa Kiislamu nchini Ufaransa wamekosoa vikali ombi lililowasilishwa na shakhsia 300 wa Ufaransa waliotaka kuondolewa baadhi ya aya katika kitabu kitakatifu cha Qur'ani kwa madai kuwa ni za kichochezi na zilizopitwa na wakati.
-
Siasa za Trump zaendelea kuchochea ukati dhidi ya Waislamu Marekani
Apr 24, 2018 22:02Uchunguzi uliofanyika hivi karibuni umeonesha kuwa, kuongezeka kwa ukatili na jinai zinazotokana na chuki dhidi ya Waislamu nchini Marekani kuna mfungamano na siasa za Rais wa sasa wa nchi hiyo, Donald Trump.