Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Ukosoaji wa UN kwa serikali ya Ufaransa kwa kuamiliana vibaya na Waislamu wa nchi hiyo

    Ukosoaji wa UN kwa serikali ya Ufaransa kwa kuamiliana vibaya na Waislamu wa nchi hiyo

    May 29, 2018 08:17

    Umoja wa Mataifa umeikosoa serikali ya Ufaransa kwa namna inavyoamiliana na Waislamu na inavyokabiliana na ugaidi na athari za hatua zake hizo ambazo zinatia wasiwasi kwa kutishia uhuru wa mtu binafsi.

  • Wafungwa Waislamu Marekani wanyimwa chakula, walazimishwa kula nyama ya nguruwe

    Wafungwa Waislamu Marekani wanyimwa chakula, walazimishwa kula nyama ya nguruwe

    May 24, 2018 14:38

    Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) limewasilisha faili la kesi mahakamani kuwashtaki maafisa wa Idara ya Magereza ya Alaska, kwa kuwanyima chakula wafungwa Waislamu mbali na kuwalazimisha kula nyama ya nguruwe katika mwezi huu wa Ramadhani.

  • Waziri wa Uhajiri wa Denmark atoa matamshi ya kuuvunjia heshima mwezi mtukufu wa Ramadhani

    Waziri wa Uhajiri wa Denmark atoa matamshi ya kuuvunjia heshima mwezi mtukufu wa Ramadhani

    May 22, 2018 08:01

    Waziri wa Uhajiri, Mshikamano na Maskani wa Denmark ametoa matamshi ya chuki na uadui dhidi ya Uislamu kwa kuwataka Waislamu wa nchi hiyo wanapoanza kufunga na katika kipindi chote cha mwezi mtukufu wa Ramadhani wachukue likizo makazini akidai kwamba amali za mwezi huo ni "hatari" kwa watu wote nchini humo.

  • Waislamu, Wakristo Uganda walalamikia kutozwa ushuru Misahafu, Biblia

    Waislamu, Wakristo Uganda walalamikia kutozwa ushuru Misahafu, Biblia

    May 15, 2018 14:14

    Viongozi wa kidini nchini Uganda wamekosoa vikali hatua ya Mamlaka ya Kukusanya Ushuru nchini humo URA kuanza kutoza ushuru wa forodha suhula za kidini zinazoingizwa nchini humo kama nakala za Qurani na Biblia.

  • Waislamu wa Marekani wana hatari ya kunyanyaswa zaidi mwezi wa Ramadhani

    Waislamu wa Marekani wana hatari ya kunyanyaswa zaidi mwezi wa Ramadhani

    May 10, 2018 14:31

    Baraza la Uhusiano wa Marekani na Uislamu limetaka kuchukuliwa hatua za lazima za kuimarisha usalama kwa ajili ya kuwalinda Waislamu ambao wana hatari ya kukumbwa na mashambulizi na unyanyasaji zaidi katika kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani.

  • Upinzani Uganda waijia juu serikali kwa mauaji ya viongozi wa Kiislamu

    Upinzani Uganda waijia juu serikali kwa mauaji ya viongozi wa Kiislamu

    May 04, 2018 07:24

    Viongozi wa upinzani nchini Uganda wameitaka serikali ya Kampala kutoa ripoti kuhusu mauaji na kamatakamata dhidi ya viongozi na wahubiri wa Kiislamu katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Viongozi wa Kiislamu Ufaransa wakosoa wito wa 'kufutwa' baadhi ya aya za Qurani

    Viongozi wa Kiislamu Ufaransa wakosoa wito wa 'kufutwa' baadhi ya aya za Qurani

    Apr 28, 2018 07:56

    Viongozi wa Kiislamu nchini Ufaransa wamekosoa vikali ombi lililowasilishwa na shakhsia 300 wa Ufaransa waliotaka kuondolewa baadhi ya aya katika kitabu kitakatifu cha Qur'ani kwa madai kuwa ni za kichochezi na zilizopitwa na wakati.

  • Siasa za Trump zaendelea kuchochea ukati dhidi ya Waislamu Marekani

    Siasa za Trump zaendelea kuchochea ukati dhidi ya Waislamu Marekani

    Apr 25, 2018 02:32

    Uchunguzi uliofanyika hivi karibuni umeonesha kuwa, kuongezeka kwa ukatili na jinai zinazotokana na chuki dhidi ya Waislamu nchini Marekani kuna mfungamano na siasa za Rais wa sasa wa nchi hiyo, Donald Trump.

  • Waislamu Ufaransa walaani makala iliyopotosha Qur'ani tukufu

    Waislamu Ufaransa walaani makala iliyopotosha Qur'ani tukufu

    Apr 24, 2018 16:29

    Waislamu nchini Ufaransa wamelaani vikali kitendo cha kuchapishwa makala iliyovunjia heshima na kupotosha kitabu kitakatifu cha Qur'ani nchini humo.

  • Ripoti: Ofisi ya John Bolton imehusika kueneza habari za uongo dhidi ya Waislamu

    Ripoti: Ofisi ya John Bolton imehusika kueneza habari za uongo dhidi ya Waislamu

    Apr 24, 2018 07:30

    Televisheni moja ya nchini Marekani imetangaza kwamba, ofisi ya John R. Bolton, Mshauri wa Usalama wa Taifa wa ikulu ya Marekani White House, ndiyo inayohusika kueneza habari zisizo na ukweli dhidi ya Waislamu duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS