-
Kushadidi vitendo vya ukandamizaji vya polisi ya Nigeria dhidi ya Waislamu
Apr 18, 2018 08:01Polisi nchini Nigeria imeshadidisha vitendo vya ukandamizaji dhidi ya Waislamu wa nchi hiyo kufuatia kuongezeka maandamano na matakwa ya kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky.
-
Waislamu Uganda watakiwa kushikamana na dini yao + Sauti
Apr 15, 2018 06:34Waislamu nchini Uganda na duniani kiujumla wametakiwa kushikamana na dini yao kama njia ya kuokoka duniani na Akhera.
-
Magaidi wa Boko Haram wamewateka watoto zaidi ya 1,000 tokea 2013
Apr 13, 2018 14:10Magaidi wakufurishaji wa kundi la Boko Haram nchini Nigeria wamewateka watoto zaidi ya 1,000 tokea mwaka 2013.
-
Ripoti: Waislamu nchini Marekani wanafungwa vifungo virefu kuliko wengine
Apr 07, 2018 03:52Utafiti mpya umebainisha kuwa, watuhumiwa wa uhalifu Waislamu au wenye majina ya Kiislamu nchini Marekani wanahukumiwa vifungo virefu zaidi na habari hizo kuvaliwa njuga na vyombo vya habari, kuliko watuhumiwa wasiokuwa Waislamu.
-
Polisi yalaumiwa kwa kutozuia hujuma dhidi ya msikiti na biashara za Waislamu Sri-Lanka
Mar 06, 2018 07:48Mashirika ya kutetea haki za binadamu nchini Sri-Lanka yameikosoa vikali polisi ya nchi hiyo kwa kupuuza mashambulizi dhidi ya msikiti na maduka ya Waislamu yanayofanywa na Mabudha katika wilaya ya Kandy.
-
MSF: Waislamu wa Rohingya wangali wanamiminika Bangladesh
Feb 21, 2018 03:12Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) imetangaza kuwa, mamia ya wakimbizi wa jamii ya Waislamu wa Rohingya wanaokimbia ukatili na mauaji nchini Myanmar wangali wanamiminika katika nchi jirani ya Bangladesh na kwamba mgogoro wa Rohingya bado unaendelea.
-
Kijana mwenye chuki na Uislamu nchini Uingereza awatishia kifo Waislamu
Feb 20, 2018 04:32Ikiwa ni katika kuendelea chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) nchini Uingereza na hujuma dhidi ya misikiti na waumini wa Kiislamu wanaotekeleza ibada ya Sala, kijana mmoja wa nchi hiyo ametishia kwamba atawaua Waislamu.
-
Rais Rouhani asisitiza umuhimu wa umoja wa Waislamu dhidi ya maadui
Feb 16, 2018 13:55Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya umuhimu wa umoja na mshikamano miongoni mwa Waislamu kote duniani, mbele ya utawala wa Kizayuni wa Israel na maadui wengine wa Uislamu na Waislamu.
-
Rais Rouhani asisitiza umuhimu wa umoja wa Waislamu dhidi ya maadui
Feb 16, 2018 13:54Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya umuhimu wa umoja na mshikamano miongoni mwa Waislamu kote duniani, mbele ya utawala wa Kizayuni wa Israel na maadui wengine wa Uislamu na Waislamu.
-
Mgombea Mwislamu wa umeya, Marekani atishiwa kifo
Feb 15, 2018 16:05Mgombea wa kike anayewania kuwa meya wa kwanza Mwislamu nchini Marekani amesema ametishiwa kuuawa kama ataendelea kuwa mgombea katika kinyang'anyiro hicho.