Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Waislamu Ufaransa walaani makala iliyopotosha Qur'ani tukufu

    Waislamu Ufaransa walaani makala iliyopotosha Qur'ani tukufu

    Apr 24, 2018 11:59

    Waislamu nchini Ufaransa wamelaani vikali kitendo cha kuchapishwa makala iliyovunjia heshima na kupotosha kitabu kitakatifu cha Qur'ani nchini humo.

  • Ripoti: Ofisi ya John Bolton imehusika kueneza habari za uongo dhidi ya Waislamu

    Ripoti: Ofisi ya John Bolton imehusika kueneza habari za uongo dhidi ya Waislamu

    Apr 24, 2018 03:00

    Televisheni moja ya nchini Marekani imetangaza kwamba, ofisi ya John R. Bolton, Mshauri wa Usalama wa Taifa wa ikulu ya Marekani White House, ndiyo inayohusika kueneza habari zisizo na ukweli dhidi ya Waislamu duniani.

  • Kushadidi vitendo vya ukandamizaji vya polisi ya Nigeria dhidi ya Waislamu

    Kushadidi vitendo vya ukandamizaji vya polisi ya Nigeria dhidi ya Waislamu

    Apr 18, 2018 03:31

    Polisi nchini Nigeria imeshadidisha vitendo vya ukandamizaji dhidi ya Waislamu wa nchi hiyo kufuatia kuongezeka maandamano na matakwa ya kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Waislamu Uganda watakiwa kushikamana na dini yao + Sauti

    Waislamu Uganda watakiwa kushikamana na dini yao + Sauti

    Apr 15, 2018 02:04

    Waislamu nchini Uganda na duniani kiujumla wametakiwa kushikamana na dini yao kama njia ya kuokoka duniani na Akhera.

  • Magaidi wa Boko Haram wamewateka watoto zaidi ya 1,000 tokea 2013

    Magaidi wa Boko Haram wamewateka watoto zaidi ya 1,000 tokea 2013

    Apr 13, 2018 09:40

    Magaidi wakufurishaji wa kundi la Boko Haram nchini Nigeria wamewateka watoto zaidi ya 1,000 tokea mwaka 2013.

  • Ripoti: Waislamu nchini Marekani wanafungwa vifungo virefu kuliko wengine

    Ripoti: Waislamu nchini Marekani wanafungwa vifungo virefu kuliko wengine

    Apr 06, 2018 23:22

    Utafiti mpya umebainisha kuwa, watuhumiwa wa uhalifu Waislamu au wenye majina ya Kiislamu nchini Marekani wanahukumiwa vifungo virefu zaidi na habari hizo kuvaliwa njuga na vyombo vya habari, kuliko watuhumiwa wasiokuwa Waislamu.

  • Polisi yalaumiwa kwa kutozuia hujuma dhidi ya msikiti na biashara za Waislamu Sri-Lanka

    Polisi yalaumiwa kwa kutozuia hujuma dhidi ya msikiti na biashara za Waislamu Sri-Lanka

    Mar 06, 2018 04:18

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu nchini Sri-Lanka yameikosoa vikali polisi ya nchi hiyo kwa kupuuza mashambulizi dhidi ya msikiti na maduka ya Waislamu yanayofanywa na Mabudha katika wilaya ya Kandy.

  • MSF: Waislamu wa Rohingya wangali wanamiminika Bangladesh

    MSF: Waislamu wa Rohingya wangali wanamiminika Bangladesh

    Feb 20, 2018 23:42

    Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) imetangaza kuwa, mamia ya wakimbizi wa jamii ya Waislamu wa Rohingya wanaokimbia ukatili na mauaji nchini Myanmar wangali wanamiminika katika nchi jirani ya Bangladesh na kwamba mgogoro wa Rohingya bado unaendelea.

  • Kijana mwenye chuki na Uislamu nchini Uingereza awatishia kifo Waislamu

    Kijana mwenye chuki na Uislamu nchini Uingereza awatishia kifo Waislamu

    Feb 20, 2018 01:02

    Ikiwa ni katika kuendelea chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) nchini Uingereza na hujuma dhidi ya misikiti na waumini wa Kiislamu wanaotekeleza ibada ya Sala, kijana mmoja wa nchi hiyo ametishia kwamba atawaua Waislamu.

  • Rais Rouhani asisitiza umuhimu wa umoja wa Waislamu dhidi ya maadui

    Rais Rouhani asisitiza umuhimu wa umoja wa Waislamu dhidi ya maadui

    Feb 16, 2018 10:25

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya umuhimu wa umoja na mshikamano miongoni mwa Waislamu kote duniani, mbele ya utawala wa Kizayuni wa Israel na maadui wengine wa Uislamu na Waislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS