Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Ubaguzi wa vikosi vya usalama vya Ufaransa dhidi ya Waislamu na Wafaransa wenye asili ya Afrika

    Ubaguzi wa vikosi vya usalama vya Ufaransa dhidi ya Waislamu na Wafaransa wenye asili ya Afrika

    Jan 27, 2018 08:03

    Vikosi vya usalama vya Ufaransa vimekuwa vikiwabagua Waislamu na raia wa nchi hiyo wenye asili ya Afrika ikiwa ni katika muendelezo wa siasa za vikosi hivyo za kuwabagua raia wa nchi hiyo ya barani Ulaya.

  • Msichana mdogo Muislamu ashambuliwa kutokana na Hijabu yake nchini Canada

    Msichana mdogo Muislamu ashambuliwa kutokana na Hijabu yake nchini Canada

    Jan 13, 2018 07:48

    Polisi wa mjini Toronto Canada wametangaza habari ya kushambuliwa binti mmoja mdogo Muislamu kutokana na kuvaa Hijabu.

  • Hizbullah: Mapambano ndio chaguo pekee la Wapalestina na Waislamu dhidi ya Marekani na Israel

    Hizbullah: Mapambano ndio chaguo pekee la Wapalestina na Waislamu dhidi ya Marekani na Israel

    Jan 01, 2018 04:21

    Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa, njia pekee ya Wapalestina na Waislamu kukabiliana na utawala haramu wa Israel na Marekani ni muqawama na mapambano dhidi ya tawala hizo.

  • Kituo cha Kiislamu nchini Sweden chapigwa bomu na magaidi wanaopinga Uislamu

    Kituo cha Kiislamu nchini Sweden chapigwa bomu na magaidi wanaopinga Uislamu

    Dec 27, 2017 02:41

    Duru za habari nchini Sweden zimetangaza kuwa, kituo cha Kiislamu nchini humo kimeshambuliwa kwa bomu la kutengenezwa kwa mkono.

  • Haniya: Quds ni Mji Mkuu wa Palestina na Waislamu wote

    Haniya: Quds ni Mji Mkuu wa Palestina na Waislamu wote

    Dec 20, 2017 08:13

    Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amesema kuwa, "Quds Tukuf (Jerusalem) ni mji mmoja usioweza kugawanywa pande mbili za Mashariki na Magharibi na ni mji mkuu wa Wapalaestina na Waislamu wote."

  • Hizbullah ya Lebanon: Marekani ni adui mkuu wa Waarabu na Waislamu

    Hizbullah ya Lebanon: Marekani ni adui mkuu wa Waarabu na Waislamu

    Dec 18, 2017 14:34

    Mkuu wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, hii leo ulimwengu umefahamu na kudiriki kwamba, dola la Marekani ndio adui mkuu wa Waarabu na Waislamu.

  • Erdogan ataka Waislamu walio wachache Ugiriki waheshimwe

    Erdogan ataka Waislamu walio wachache Ugiriki waheshimwe

    Dec 09, 2017 07:33

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki ametoa mwito wa kuheshimwa haki za jamii ya Waislamu walio wachache nchini Ugiriki.

  • Viongozi wa Kiislamu Kenya walaani hatua ya Trump dhidi ya Quds

    Viongozi wa Kiislamu Kenya walaani hatua ya Trump dhidi ya Quds

    Dec 09, 2017 02:54

    Viongozi wa Kiislamu nchini Kenya wamelaani uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kuutangaza mji wa Baitul Muqaddas wa Palestina kuwa mji mkuu wa utawala pandikizi wa Israel.

  • Rais wa Iran asisitiza juu ya Waislamu kuwa macho na Ubeberu na Uzayuni

    Rais wa Iran asisitiza juu ya Waislamu kuwa macho na Ubeberu na Uzayuni

    Dec 07, 2017 01:43

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya udharura wa Waiskamu kuwa macho na njama za maadui.

  • UN: Serikali ya Myanmar inafanya mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu

    UN: Serikali ya Myanmar inafanya mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu

    Dec 06, 2017 04:53

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa uhalifu unaofanywa na Mabudha nchini Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya ni mauaji ya kimbari.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS