-
Wakristo Marekani wajifunza Uislamu makanisani
Apr 18, 2016 22:41Licha ya kuongezeka vitendo vya chuki dhidi ya Waislamu nchini Marekani, baadhi ya makanisa ya nchi hiyo yameamua kuitisha vikao mbalimbali vya kujifunza na kuutambua vizuri Uislamu.
-
al-Azhar yalaani vikali hujuma za Wahindu dhidi ya Waislamu nchini India
Apr 08, 2016 09:21Chuo Kikuu cha Kiislamu nchini Misri cha Al-Azhar kimelaani vikali hujuma na mashambulio dhidi ya Waislamu nchini India yanayofanywa na Wahindu kwa kisingizio cha kutumia nyama ya ng'ombe.
-
Wanafunzi wanaume Waislamu Uswisi wasameheka kuwapa mkono walimu wao wa Kike
Apr 05, 2016 11:30Wanafunzi Waislamu wa Manispaa ya Therwil katika jimbo la Basel nchini Uswisi hawatohitajika tena kuwapa mikono walimu wao wa kike kufuatia uamuzi uliotolewa Mamlaka za Elimu katika eneo hilo.
-
Obama: Waislamu ni wahanga wa ugaidi
Mar 30, 2016 22:05Rais Barack Obama wa Marekani amekiri kwamba Waislamu ni wahanga wa ugaidi.
-
Kukandamizwa Waislamu Marekani kunafanywa kwa uratibu wa serikali na Wazayuni
Mar 30, 2016 11:30Imam wa Msikiti wa al-Islam mjini Washington, Marekani amesema serikali ya nchi hiyo na Wazayuni wana muelekeo wa pamoja na wanashrikiana katika kuwakandamiza Waislamu wa nchi hiyo.
-
Idadi ya Waislamu yaongezeka Uganda, ya Wakatoliki yadidimia
Mar 27, 2016 22:29Imearifiwa kuwa idadi ya watu wanaojiunga na dini tukufu ya Kiislamu nchini Uganda inazidi kuongezeka kwa kasi huku idadi ya wanaojiunga na Kanisa Katoliki ikizidi kupungua.
-
Wabangali waandamana kulaani njama za kufuta Uislamu kuwa dini rasmi
Mar 26, 2016 03:42Maelfu ya wananchi wa Bangladesh wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo kukosoa kile walichokitaja kuwa njama za baadhi ya watu wanaojiita 'mashuhuri' nchini humo kutaka Uislamu usitambuliwe kuwa dini rasmi ya nchi hiyo.
-
Sanders: Matamshi ya Trump kuhusu Waislamu yanakera
Mar 24, 2016 03:34Mgombea tiketi ya chama cha Democratic kwa ajili ya kinyang'anyiro cha uchaguzi wa rais nchini Marekani, Bernie Sanders amekosoa vikali matamshi yanayotolewa na mgombea mwenzake wa chama cha Republican, Donald Trump dhidi ya Waislamu akisema mashambulizi dhidi ya Waislamu wote duniani kwa kutumia kisingizio cha matukio kama yale ya hivi majuzi mjini Brussels yanakasirisha na yanapingana na katiba ya Marekani.
-
Mgombea mwingine wa rais Marekani afuata nyayo za Trump
Mar 23, 2016 02:57Mgombea wa kiti cha rais kupitia chama cha Republican Ted Cruz amependekeza kuazishwa msako mkali dhidi ya wafuasi wa dini ya Kiislamu eti kwa shabaha ya kuwazuia ‘wasiingie kwenye kundi la wenye misimamo iliyofurutu ada’.
-
Mabudha wa Myanmar waendelea kutenda jinai na mauaji dhidi ya Waislamu
Mar 22, 2016 00:06Hali ya Waislamu wa Myanmar imeripoti kuwa inaendelea kutia wasiwasi licha ya ushindi wa chama cha National League for Democracy kinachoongozwa na Aung San Suu Kyi ambao umekomesha utawala wa kipindi kirefu wa kijeshi nchini humo.