Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Ugaidi unaenea kutokana na hitilafu za kimadhehebu, kikaumu katika nchi za Kiislamu

    Ugaidi unaenea kutokana na hitilafu za kimadhehebu, kikaumu katika nchi za Kiislamu

    May 02, 2016 23:28

    Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema, ugaidi unaenea Mashariki ya Kati kutokana na hitilafu za kikaumu na kimadhehebu katika nchi za Kiislamu.

  • Mji mmoja nchini Bulgaria wapiga marufuku vazi la Burqa

    Mji mmoja nchini Bulgaria wapiga marufuku vazi la Burqa

    Apr 28, 2016 10:46

    Mji wa Pazardzhik nchini Bulgaria umepiga marufuku vazi la stara la burqa linalovaliwa na wanawake wa Kiislamu.

  • Ireland yaweka sheria ya kuwawajibisha mawakili Waislamu kuapa kwa kutumia Qur'ani

    Ireland yaweka sheria ya kuwawajibisha mawakili Waislamu kuapa kwa kutumia Qur'ani

    Apr 24, 2016 23:35

    Jamii ya wanasheria nchini Ireland, imewawajibisha mawakili na washauri wa sheria Waislamu kutumia Qur'ani Tukufu wakati wa kula kiapo.

  • Mwito wa Umoja wa Mataifa kwa serikali ya Myanmar

    Mwito wa Umoja wa Mataifa kwa serikali ya Myanmar

    Apr 22, 2016 00:08

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki moon amemtaka mjumbe maalumu wa umoja huo nchini Myanmar atafute njia za kutatua mgogoro wa Waislamu wa kabila la Rohingya na kuwaondolea masaibu yao, baada ya kufa maji - siku chache zilizopita - makumi ya Waislamu hao kutokana na mateso wanayofanyiwa na mabudha wenye chuki kali za kidini.

  • Wakristo Marekani wajifunza Uislamu makanisani

    Wakristo Marekani wajifunza Uislamu makanisani

    Apr 18, 2016 22:41

    Licha ya kuongezeka vitendo vya chuki dhidi ya Waislamu nchini Marekani, baadhi ya makanisa ya nchi hiyo yameamua kuitisha vikao mbalimbali vya kujifunza na kuutambua vizuri Uislamu.

  • al-Azhar yalaani vikali hujuma za Wahindu dhidi ya Waislamu nchini India

    al-Azhar yalaani vikali hujuma za Wahindu dhidi ya Waislamu nchini India

    Apr 08, 2016 09:21

    Chuo Kikuu cha Kiislamu nchini Misri cha Al-Azhar kimelaani vikali hujuma na mashambulio dhidi ya Waislamu nchini India yanayofanywa na Wahindu kwa kisingizio cha kutumia nyama ya ng'ombe.

  • Wanafunzi wanaume Waislamu Uswisi wasameheka kuwapa mkono walimu wao wa Kike

    Wanafunzi wanaume Waislamu Uswisi wasameheka kuwapa mkono walimu wao wa Kike

    Apr 05, 2016 11:30

    Wanafunzi Waislamu wa Manispaa ya Therwil katika jimbo la Basel nchini Uswisi hawatohitajika tena kuwapa mikono walimu wao wa kike kufuatia uamuzi uliotolewa Mamlaka za Elimu katika eneo hilo.

  • Obama: Waislamu ni wahanga wa ugaidi

    Obama: Waislamu ni wahanga wa ugaidi

    Mar 30, 2016 22:05

    Rais Barack Obama wa Marekani amekiri kwamba Waislamu ni wahanga wa ugaidi.

  • Kukandamizwa Waislamu Marekani kunafanywa kwa uratibu wa serikali na Wazayuni

    Kukandamizwa Waislamu Marekani kunafanywa kwa uratibu wa serikali na Wazayuni

    Mar 30, 2016 11:30

    Imam wa Msikiti wa al-Islam mjini Washington, Marekani amesema serikali ya nchi hiyo na Wazayuni wana muelekeo wa pamoja na wanashrikiana katika kuwakandamiza Waislamu wa nchi hiyo.

  • Idadi ya Waislamu yaongezeka Uganda, ya Wakatoliki yadidimia

    Idadi ya Waislamu yaongezeka Uganda, ya Wakatoliki yadidimia

    Mar 27, 2016 22:29

    Imearifiwa kuwa idadi ya watu wanaojiunga na dini tukufu ya Kiislamu nchini Uganda inazidi kuongezeka kwa kasi huku idadi ya wanaojiunga na Kanisa Katoliki ikizidi kupungua.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS