-
Mkuu wa Haki za Binadamu UN alaani ukatili wa Israel huko Ghaza
Apr 27, 2018 09:22Mkuu wa masuala ya haki za binadamu katika Umoja wa Mataifa ameulaani vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kutumia nguvu ziada dhidi ya waandamanaji Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza jambo ambalo limepelekea makumi kuuawa katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita.
-
Ndege za Israel zawavurumishia mabomu Wapalestina Ukanda wa Ghaza
Jun 27, 2017 03:27Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel zimevurumisha makombora kadhaa katika Ukanda wa Ghaza wakati Wapalestina katika eneo hilo wakiwa wanasherehekea siku kuu ya Idul Fitr.
-
Israel yawateka nyara wanaharakati wanawake wakielekea Gaza
Oct 06, 2016 12:16Jeshi la majini la utawala wa Kizayuni wa Israel limewateka nyara wanaharakati wanawake wa Marekani akiwemo Ann Wright, mwanadiplomasia mashuhuri na mtetezi wa haki za binadamu, wakiwa kwenye boti wakielekea katika Ukanda wa Gaza.
-
UNICEF: Israel imeua watoto 25 wa Kipalestina katika muda wa miezi 3
May 15, 2016 23:26Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umesema watoto 25 wa Kipalestina waliuawa katika kipindi cha miezi mitatu ya mwisho ya mwaka 2015, wakati ilipoanza Intifadha ya Quds dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Hizbullah yachunguza namna alivyouawa kamanda wake
May 13, 2016 03:17Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon ya Hizbullah imesema imeanzisha uchunguzi kubaini namna kamanda wake mwandamizi alivyouawa katika kile kilichotajwa kuwa hujuma ya jeshi la utawala haramu wa Israel.
-
Hamas: Hujuma mpya ya Israel Ukanda wa Gaza itapata jibu kali
May 06, 2016 23:50Naibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameuonya Utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya mashambulizi yake mapya katika Ukanda wa Gaza huku uvamizi huo mpya wa Tel Aviv katika eneo hilo ukiingia siku yake ya nne Jumamosi.
-
Jeshi la Israel laanzisha mashambulizi dhidi ya kambi za Hamas, Gaza
May 04, 2016 22:14Jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel limeshambulia kwa makombora minara ya kijeshi inayomilikiwa na harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas katika Ukanda wa Gaza.