-
Kituo cha mwisho cha jeshi la Marekani nchini Niger chafungwa
Aug 05, 2024 10:21Kambi ya mwisho ya kijeshi ya Marekani nchini Niger imekabidhiwa rasmi leo kwa nchi hiyo ya Afrika.
-
Kupasishwa mpango wa kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini Niger
Jul 06, 2024 06:48Baada ya miezi minne, serikali ya Marekani imetangaza kwamba vikosi vyake vyote vya kijeshi vitaondoka nchini Niger hivi karibuni.
-
Kuongezeka uwepo kijeshi wa Marekani huko Iraq na Syria
Jan 16, 2024 14:27Marekani ilituma wanajeshi huko Iraq mwaka 2003 wakati ilipoivamia na kuikalia kwa mabavu nchi hiyo mwaka 2003; na kuhusu Syria pia Marekani ilituma wanajeshi wake nchini humo mwaka 2014 kwa kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi la Kitakfiri la Daesh (ISIS) katika fremu ya Muungano wa Kimataifa wa eti kukabiliana na ugaidi.
-
Iran: Hatima ileile ya kutoroka Afghanistan itawafika askari wa Marekani waliopiga kambi Iraq na Syria
Nov 30, 2023 07:17Mshauri wa ngazi ya juu wa kijeshi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amepongeza Kambi ya Muqawama katika eneo na kusema "kutoroka" ndio hatima ya mwisho itakayovifika vikosi vamizi vya jeshi la Marekani nchini Syria na Iraq kama ilivyotokea Afghanistan.
-
Kamanda wa jeshi la Iraq: Hatuhitaji wanajeshi wa kigeni wawepo nchini
Sep 28, 2023 14:17Kamanda wa operesheni za pamoja za vikosi vya ulinzi vya Iraq amesema: "nchi hii ina uwezo unaohitajika wa kupambana na magaidi na wala haihitaji kuwepo askari wa kigeni".
-
Kuchapishwa ripoti rasmi ya serikali ya Biden kuhusu kuondoka Afghanistan
Apr 09, 2023 02:14Ikulu ya Rais wa Marekani (White House) Alhamisi iliyopita iliwasilisha ripoti yake rasmi kuhusu namna serikali ya Biden ilivyoondoka kwa madhila na fedheha huko Afghanistan. Ndani ya ripoti hiyo, serikali ya Trump imetajwa mara kwa mara kuwa ndio inayopaswa kulaumiwa kwa jinsi Marekani ilivyondoka huko Afghanistan katika hali ya mivutano.
-
Duru mpya ya oparesheni za kijeshi dhidi ya wanajeshi wa Marekani nchini Syria
Mar 26, 2023 10:20Vituo vya kijeshi vya Marekani nchini Syria vimelengwa kwa makombora, na Marekani nayo kutoa jibu kwa oparesheni hiyo kwa kutekeleza mashambulizi.
-
Jeshi la Marekani limeua raia wasiopungua 71,000 nchini Afghanistan
Oct 07, 2022 11:34Askari wa jeshi vamizi la Marekani wameua raia wasiopungua elfu 71 wa Afghanistan katika kipindi cha miaka ishirini ya kuikalia kwa mabavu ardhi ya nchi hiyo.
-
Onyo la makundi ya mapambano ya Iraq kuhusu kuondoka askari wa Marekani
Nov 22, 2021 02:23Kufuatia uvumi unaoenezwa kuhusu kutotekelezwa ratiba ya kuondoka askari wa Marekani katika ardhi ya Iraq, makundi ya mapambano ya nchi hiyo yametoa onyo kali kuhusu jambo hilo.
-
Mbunge Mmarekani akiri kushindwa vibaya nchi yake huko Afghanistan
Jul 13, 2021 02:34Mbunge mmoja wa chama cha Republican cha Marekani amekiri kuwa Washington imeshindwa vibaya nchni Afghanistan na ametaka wanajeshi wa Marekani warudishwe haraka nchini humo.