Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wanajeshi wa Marekani

  • Kituo cha mwisho cha jeshi la Marekani nchini Niger chafungwa

    Kituo cha mwisho cha jeshi la Marekani nchini Niger chafungwa

    Aug 05, 2024 10:21

    Kambi ya mwisho ya kijeshi ya Marekani nchini Niger imekabidhiwa rasmi leo kwa nchi hiyo ya Afrika.

  • Kupasishwa mpango wa kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini Niger

    Kupasishwa mpango wa kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini Niger

    Jul 06, 2024 06:48

    Baada ya miezi minne, serikali ya Marekani imetangaza kwamba vikosi vyake vyote vya kijeshi vitaondoka nchini Niger hivi karibuni.

  • Kuongezeka uwepo kijeshi wa Marekani huko Iraq na Syria

    Kuongezeka uwepo kijeshi wa Marekani huko Iraq na Syria

    Jan 16, 2024 14:27

    Marekani ilituma wanajeshi huko Iraq mwaka 2003 wakati ilipoivamia na kuikalia kwa mabavu nchi hiyo mwaka 2003; na kuhusu Syria pia Marekani ilituma wanajeshi wake nchini humo mwaka 2014 kwa kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi la Kitakfiri la Daesh (ISIS) katika fremu ya Muungano wa Kimataifa wa eti kukabiliana na ugaidi.

  • Iran: Hatima ileile ya kutoroka Afghanistan itawafika askari wa Marekani waliopiga kambi Iraq na Syria

    Iran: Hatima ileile ya kutoroka Afghanistan itawafika askari wa Marekani waliopiga kambi Iraq na Syria

    Nov 30, 2023 07:17

    Mshauri wa ngazi ya juu wa kijeshi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amepongeza Kambi ya Muqawama katika eneo na kusema "kutoroka" ndio hatima ya mwisho itakayovifika vikosi vamizi vya jeshi la Marekani nchini Syria na Iraq kama ilivyotokea Afghanistan.

  • Kamanda wa jeshi la Iraq: Hatuhitaji wanajeshi wa kigeni wawepo nchini

    Kamanda wa jeshi la Iraq: Hatuhitaji wanajeshi wa kigeni wawepo nchini

    Sep 28, 2023 14:17

    Kamanda wa operesheni za pamoja za vikosi vya ulinzi vya Iraq amesema: "nchi hii ina uwezo unaohitajika wa kupambana na magaidi na wala haihitaji kuwepo askari wa kigeni".

  • Kuchapishwa ripoti rasmi ya serikali ya Biden kuhusu kuondoka Afghanistan

    Kuchapishwa ripoti rasmi ya serikali ya Biden kuhusu kuondoka Afghanistan

    Apr 09, 2023 02:14

    Ikulu ya Rais wa Marekani (White House) Alhamisi iliyopita iliwasilisha ripoti yake rasmi kuhusu namna serikali ya Biden ilivyoondoka kwa madhila na fedheha huko Afghanistan. Ndani ya ripoti hiyo, serikali ya Trump imetajwa mara kwa mara kuwa ndio inayopaswa kulaumiwa kwa jinsi Marekani ilivyondoka huko Afghanistan katika hali ya mivutano.

  • Duru mpya ya oparesheni za kijeshi dhidi ya wanajeshi wa Marekani nchini Syria

    Duru mpya ya oparesheni za kijeshi dhidi ya wanajeshi wa Marekani nchini Syria

    Mar 26, 2023 10:20

    Vituo vya kijeshi vya Marekani nchini Syria vimelengwa kwa makombora, na Marekani nayo kutoa jibu kwa oparesheni hiyo kwa kutekeleza mashambulizi.

  • Jeshi la Marekani limeua raia wasiopungua 71,000 nchini Afghanistan

    Jeshi la Marekani limeua raia wasiopungua 71,000 nchini Afghanistan

    Oct 07, 2022 11:34

    Askari wa jeshi vamizi la Marekani wameua raia wasiopungua elfu 71 wa Afghanistan katika kipindi cha miaka ishirini ya kuikalia kwa mabavu ardhi ya nchi hiyo.

  • Onyo la makundi ya mapambano ya Iraq kuhusu kuondoka askari wa Marekani

    Onyo la makundi ya mapambano ya Iraq kuhusu kuondoka askari wa Marekani

    Nov 22, 2021 02:23

    Kufuatia uvumi unaoenezwa kuhusu kutotekelezwa ratiba ya kuondoka askari wa Marekani katika ardhi ya Iraq, makundi ya mapambano ya nchi hiyo yametoa onyo kali kuhusu jambo hilo.

  • Mbunge Mmarekani akiri kushindwa vibaya nchi yake huko Afghanistan

    Mbunge Mmarekani akiri kushindwa vibaya nchi yake huko Afghanistan

    Jul 13, 2021 02:34

    Mbunge mmoja wa chama cha Republican cha Marekani amekiri kuwa Washington imeshindwa vibaya nchni Afghanistan na ametaka wanajeshi wa Marekani warudishwe haraka nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS