Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wanajeshi wa Marekani

  • Askari 5 wa Marekani wauawa na kujeruhiwa na al-Shabaab Somalia

    Askari 5 wa Marekani wauawa na kujeruhiwa na al-Shabaab Somalia

    Jun 09, 2018 08:05

    Askari mmoja wa Marekani ameuawa huku wengine wanne wakijeruhiwa katika operesheni ya pamoja ya vikosi vya US na askari wa Umoja wa Afrika dhidi ya ngome ya wanamgambo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab nchini Somalia.

  • Russia: Kampeni ya US huko Afghanistan imefeli, iondoe askari wake

    Russia: Kampeni ya US huko Afghanistan imefeli, iondoe askari wake

    Aug 15, 2017 07:13

    Mjumbe maalumu wa Rais wa Russia nchini Afghanistan amesema kampeni na uwepo wa vikosi vya Marekani nchini Afghanistan haujawa na tija yeyote hadi sasa na kwa msingi huo Washington inafaa kuwaondoa wanajeshi wake nchini humo mara moja.

  • Askari 3 wa Marekani wauawa na kujeruhiwa na al-Shabaab Somalia

    Askari 3 wa Marekani wauawa na kujeruhiwa na al-Shabaab Somalia

    May 06, 2017 04:12

    Askari mmoja wa Marekani ameuawa kwa kufyatuliwa risasi katika operesheni ya pamoja ya US na jeshi la Somalia dhidi ya ngome ya wanamgambo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab.

  • Iraq yaikatalia Marekani kuweka kambi zake za kijeshi nchini humo

    Iraq yaikatalia Marekani kuweka kambi zake za kijeshi nchini humo

    Mar 29, 2017 13:54

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq amesema kuwa nchi yake haiwezi kuiruhusu Marekani kuweka kambi zake za kijeshi katika ardhi ya nchi hiyo.

  • Madai ya makosa ya kibinadamu, mbinu kuu ya kuhalalisha jinai za Marekani

    Madai ya makosa ya kibinadamu, mbinu kuu ya kuhalalisha jinai za Marekani

    Dec 01, 2016 12:08

    Tume ya uchunguzi ya Wizara ya Ulinzi ya Marekani Pentagon imekiri rasmi kuwa ndege za kivita za nchi hiyo zilishambulia maeneo ya wanajeshi wa Syria huko Deir ez-Zor, mashariki mwa nchi hiyo.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS