Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wanawake

  • Iran ina azma ya kuwawezesha wanawake na wasichana

    Iran ina azma ya kuwawezesha wanawake na wasichana

    Oct 22, 2021 03:45

    Balozi na Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina azma ya kufanya kilicho dharura ili kuwawezesha wanawake na wasichana."

  • Familia za wanafunzi waliotekwa nyara Nigeria zaitaka serikali kuwakomboa

    Familia za wanafunzi waliotekwa nyara Nigeria zaitaka serikali kuwakomboa

    Jun 02, 2021 07:02

    Familia za wanafunzi waliotekwa nyara na magenge ya wahalifu nchini Nigeria na vilevile jumuiya za kimataifa za kutetea haki za binadamu zimeitaka serikali ya Nigeria kuchukua hatua madhubuti za kukomboa karibu wanafunzi 200 wa shule moja ya Kiislamu waliotekwa nyara na magenge ya wahalifu katikati mwa Nigeria.

  • Ayatullah Khamenei: Uislamu na Jamhuri ya Kiislamu vinamtazama mwanamke kwa jicho la heshima

    Ayatullah Khamenei: Uislamu na Jamhuri ya Kiislamu vinamtazama mwanamke kwa jicho la heshima

    Feb 03, 2021 07:52

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria tofauti za kimsingi za mtazamo wa Uislamu na ulimwengu wa Magharibi mwa mwanamke na kusema kuwa,Uislamu na Jamhuri ya Kiislamu vinamtazama mwanamke kwa jicho la heshima ilihali mtazamo ulionea Magharibi kuhusu mwanamke ni wa kumtazama kiumbe huyu kama bidhaa na wenzo.

  • Malalamiko ya wanawake dhidi ya Trump na mustakbali wa rais huyo wa Marekani

    Malalamiko ya wanawake dhidi ya Trump na mustakbali wa rais huyo wa Marekani

    Oct 19, 2020 02:47

    Katika siku zilizopita, wanawake nchini Marekani walifanya maandamano katika majimbo mbalimbali ya nchi hiyo likiwemo la Washington ili kutangaza upinzani wao kwa siasa za rais wa nchi hiyo, Donald Trump. Shabaha ya maandamano hayo ilikuwa ni kupinga ubaguzi wa rangi na ukandamizaji dhidi ya wanawake. Waendeshaji wa maandamano hayo waliahidi kuendelea na operesheni hiyo waliyoipa jina la maandamano 429 katika mikoa 50 ya Marekani.

  • Pakistan yamkamata mtuhumiwa wa pili baada ya mwanamke kubakwa na genge la watu

    Pakistan yamkamata mtuhumiwa wa pili baada ya mwanamke kubakwa na genge la watu

    Oct 13, 2020 22:54

    Mshukiwa wa pili amewekwa kizuizini nchini Pakistan baada ya kukamatwa na polisi kufuatia ubakaji wa genge la watu dhidi ya mwanamke mmoja ambao umeibua maandamano kote nchini humo.

  • UN: Thuluthi moja ya wanawake wanakabiliwa na dhulma za kijinsia

    UN: Thuluthi moja ya wanawake wanakabiliwa na dhulma za kijinsia

    Nov 25, 2019 08:42

    Umoja wa Mataifa umesema katika kila wanawake watatu, mmoja amekabiliwa na dhulma za kijinsia au kunajisiwa.

  • UNFPA yataka dhuluma dhidi ya wanawake katika jamii zikomeshwe

    UNFPA yataka dhuluma dhidi ya wanawake katika jamii zikomeshwe

    Nov 14, 2019 10:58

    Mmoja kati ya wanawake watatu duniani hukumbana na dhuluma za kijinsia kutoka kwa wapenzi au waume zao.

  • Ramaphosa atangaza mpango wa kuwalinda wanawake wa Afrika Kusini

    Ramaphosa atangaza mpango wa kuwalinda wanawake wa Afrika Kusini

    Sep 19, 2019 21:57

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ametangaza sababu zilizomfanya aitishe kikao maalumu cha Bunge akisisitiza kuwa, mgogoro wa kuteswa na kunyanyaswa kupindukia wanawake nchini humo ndiko kulikomlazimisha aitishe kikao hicho.

  • Umaarufu wa Trump wazidi kupungua kote Marekani

    Umaarufu wa Trump wazidi kupungua kote Marekani

    Aug 31, 2019 11:38

    Umaarufu wa Rais Donald Trump wa Marekani unazidi kupungua kwa kasi nchini humo huku uchaguzi mkuu wa 2020 ukikaribia. Kwa mujibu wa uchunguzi wa maoni uliofanyika hivi karibuni, umaarufu wa Trump umepungua miongoni mwa wanawake wa Marekani.

  • Independent: Wanawake wamepuuzwa katika mfumo mpya wa utawala Sudan

    Independent: Wanawake wamepuuzwa katika mfumo mpya wa utawala Sudan

    Aug 05, 2019 07:42

    Gazeti la Independent linalochapishwa nchini Uingereza limendika kuwa, mfumo mpya wa utawala nchini Sudan umepuuza nafasi na mchango mkubwa wa wanawake katika mapinduzi yaliyouondoa madarakani utawala wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Omar al Bashir.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS