Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wanawake

  • Zaidi ya nusu ya wanawake nchini Morocco wanakabiliwa na ukatili

    Zaidi ya nusu ya wanawake nchini Morocco wanakabiliwa na ukatili

    May 16, 2019 02:01

    Uchunguzi rasmi uliotangazwa nchini Morocco unaonyesha kwamba, zaidi ya nusu ya wanawake wa nchi hiyo wanakumbwa na ukatili dhidi yao.

  • Tanzania yatakiwa kuangalia upya sheria zinazokandamiza wanawake

    Tanzania yatakiwa kuangalia upya sheria zinazokandamiza wanawake

    Mar 08, 2019 04:28

    Huku Tanzania ikijiunga na nchi nyingine duniani katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake inayoadhimishwa hii leo, serikali ya Dar es Salaam imetakiwa kuangalia upya sera na sheria zinazohusu wanawake ili kuimarisha ustawi wao.

  • Wanawake Wapalestina wanaoshikiliwa katika jela za Israel wanadhalilishwa kijinsia na kuteswa

    Wanawake Wapalestina wanaoshikiliwa katika jela za Israel wanadhalilishwa kijinsia na kuteswa

    Nov 28, 2018 23:39

    Wanawake Wapalestina ambao wameingizwa hivi karibuni katika jela ya utawala haramu wa Kizayuni ya Hasharon, katika eneo la Al-Damun, wamesema kwamba wanakabiliwa na mateso makubwa na kutusiwa huku haki yao ya kupatiwa huduma za kiafya ikipuuzwa na utawala huo.

  • Dakta Mukwege wa Kongo DR ashinda Tuzo ya Amani ya Nobel

    Dakta Mukwege wa Kongo DR ashinda Tuzo ya Amani ya Nobel

    Oct 05, 2018 12:14

    Denis Mukwege, daktari bingwa wa upasuaji raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo pamoja na mwanaharakati wa Iraq, Nadia Murad wametangazwa washindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel kwa mwaka huu 2018.

  • Mashambulizi dhidi ya wanawake wa Kiislamu yaongozeka Ubelgiji

    Mashambulizi dhidi ya wanawake wa Kiislamu yaongozeka Ubelgiji

    Sep 09, 2018 23:40

    Takwimu zinaonesha kuwa, karibu asilimia 76 ya wanawake Waislamu nchini Ubelgiji walishambuliwa na magenge ya watu wanaopinga Uislamu nchini humo katika mwaka uliopita wa 2017.

  • Wazayuni wawapiga na kuwatukana wanawake wa Palestina

    Wazayuni wawapiga na kuwatukana wanawake wa Palestina

    Aug 21, 2018 03:06

    Wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewapiga na kuwashambulia kwa maneno wanawake kadhaa wa Kipalestina.

  • Wanajeshi wa Israel wawapiga wanawake wa Kipalesatina na kuwavua hijabu zao

    Wanajeshi wa Israel wawapiga wanawake wa Kipalesatina na kuwavua hijabu zao

    Jul 05, 2018 03:22

    Wanajeshi wa Israel wametenda jinai nyingine baada ya kuwapiga, kuwadhalilisha na kuwavua hijabu wanawake wa Kipalestina katika kijiji cha Khan al-Ahmar mashariki mwa mji wa Quds.

  • Serikali ya Uswisi yakataa pendekezo la kupiga marufuku burqa

    Serikali ya Uswisi yakataa pendekezo la kupiga marufuku burqa

    Jun 27, 2018 09:15

    Serikali ya Uswisi imepinga kampeni zinazofanyika mashinani za kushinikiza marufuku ya nchi nzima ya vazi la burqa linalovaliwa na baadhi ya wanawake Waislamu nchini humo.

  • Seneti ya Uholanzi yapiga marufuku vazi la burqa

    Seneti ya Uholanzi yapiga marufuku vazi la burqa

    Jun 26, 2018 11:21

    Bunge la Seneti la Uholanzi limepasisha muswada wa sheria inayopiga marufuku vazi la stara la burqa linalovaliwa na baadhi ya wanawake Waislamu nchini humo.

  • Unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake umekita mizizi katika sekta za elimu nchini Marekani

    Unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake umekita mizizi katika sekta za elimu nchini Marekani

    Jun 13, 2018 21:53

    Matokeo mapya kabisa ya uchunguzi yanaonyesha kwamba, nusu ya wanawake wanaofanya kazi katika sekta za elimu na teknolojia nchini Marekani, wako katika hatari kubwa ya kubakwa na kudhalilishwa kijinsia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS