Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wanawake

  • Wanawake Waislamu Denmark wapigwa marufuku kuvaa niqabu

    Wanawake Waislamu Denmark wapigwa marufuku kuvaa niqabu

    May 31, 2018 20:22

    Serikali ya Denmark imepiga marufuku vazi la burqa au niqabu linalovaliwa na baadhi ya wanawake wa Kiislamu.

  • Amnesty na HRW zaitaka Saudia iwaachie huru wanaharakati 7 wanawake

    Amnesty na HRW zaitaka Saudia iwaachie huru wanaharakati 7 wanawake

    May 20, 2018 02:47

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu ya Amnesty International na Human Rights Watch yameutaka utawala wa Aal-Saud uwaachie huru wanaharakati saba wa kike walioongoza kampeni za kutaka kuruhusiwa wanawake kuendesha magari nchini Saudi Arabia.

  • Saudia yawakamata wanaharakati waliopigania haki ya wanawake kuendesha gari nchini humo

    Saudia yawakamata wanaharakati waliopigania haki ya wanawake kuendesha gari nchini humo

    May 18, 2018 10:16

    Utawala wa Aal-Saud umewatia mbaroni wanaharakati kadhaa wengi wao wakiwa wa kike, walioongoza kampeni za kutaka kuruhusiwa wanawake kuendesha magari nchini Saudi Arabia.

  • Wanawake wahajiri wa Kiafrika wanadhalilishwa kingono katika jela zinazosimamiwa na Saudia na UAE, Aden

    Wanawake wahajiri wa Kiafrika wanadhalilishwa kingono katika jela zinazosimamiwa na Saudia na UAE, Aden

    Apr 19, 2018 03:21

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR yameripoti kuwa wanawake wahajiri wa Kiafrika wanakashifiwa na kudhalilishwa kingono katika mji wa Aden kusini mwa Yemen ambao unadhibitiwa na vikosi vya Imarati (UAE) na Saudi Arabia.

  • Al Wifaq yasisitiza kuachiwa huru wanawake wanaoshikiliwa katika jela za utawala wa Aal Khalifa

    Al Wifaq yasisitiza kuachiwa huru wanawake wanaoshikiliwa katika jela za utawala wa Aal Khalifa

    Apr 12, 2018 02:47

    Jumuiya ya Kiislamu ya al Wifaq ya nchini Bahrain imetaka kuachiwa huru wanawake waliofungwa katika jela za utawala wa Aal Khalifa ambao walitiwa mbaroni kwa sababu tu ya kuwasilisha maoni na fikra zao.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Kuwepo Iran katika eneo hili hakuipendezi hata kidogo Marekani

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Kuwepo Iran katika eneo hili hakuipendezi hata kidogo Marekani

    Mar 09, 2018 02:55

    Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amebainisha wazi kwamba taifa la Iran liko tayari muda wote kumpigisha magoti adui yake na kusisitiza kuwa, uwepo wa Iran katika eneo hili hauihusu kivyovyote vile Marekani.

  • Museveni: Wanaume wanaowapiga wake zao ni wapumbavu

    Museveni: Wanaume wanaowapiga wake zao ni wapumbavu

    Mar 08, 2018 12:55

    Nchi za Afrika zimejiunga na ulimwengu katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake, huku Rais Yoweri Museveni wa Uganda akiwataja kama wapumbavu, wanaume wanaowapiga wake zao.

  • Ripoti: Israel imewateka nyara wanawake 15,000 wa Kipalestina

    Ripoti: Israel imewateka nyara wanawake 15,000 wa Kipalestina

    Mar 07, 2018 10:45

    Huku dunia ikiadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake hapo kesho, ripoti mpya ya shirika moja la Palestina inaonyesha kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umewatia mbaroni wanawake wasiopungua 15,000 wa Kipalestina tokea mwaka 1967 hadi sasa.

  • Al Shabab inawatumia wanawake kama majasusi katika eneo la Pwani Kenya

    Al Shabab inawatumia wanawake kama majasusi katika eneo la Pwani Kenya

    Dec 19, 2017 04:42

    Imebainika kuwa wanamgambo wa kundi la al Shabab lenye makao yake nchini Somalia wanatumia mbinu mpya kushambulia kambi za usalama katika maeneo yaliyoainishwa katika oparesheni ya usalama inayoendelea kufanywa na mawakala kadha wa usalama kwa jina la "Linda Boni" huko katika kaunti za Lamu, Tana River na Garissa.

  • HRW: Polisi wa Kenya waliwabaka wanawake wakati wa uchaguzi

    HRW: Polisi wa Kenya waliwabaka wanawake wakati wa uchaguzi

    Dec 14, 2017 12:23

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limesema makumi ya wanawake walibakwa na maafisa wa polisi wakati wa msimu wa uchaguzi mkuu mwaka huu nchini Kenya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS