-
Ufaransa yakiri kuhusu utambulisho wa kigaidi wa utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina
May 25, 2021 06:03Jumapili iliyopita Jean-Yves Le Drian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa aliashiria hujuma ya kinyama iliyofanywa karibuni na utawala haramu wa Israel katika miji kadhaa ya Waarabu katika ardhi unazozikalia kwa mabavu na kutahadharisha dhidi ya ubaguzi wa rangi unaotekelezwa na utawala huo dhidi ya Wapalestina.
-
Silaha mpya za Marekani kwa utawala wa Israel; hatua nyingine ya kuendeleza mauaji dhidi ya Wapalestina
May 19, 2021 22:23Sambamba na kufikia kilele jinai za utawala wa kigaidi wa Israel dhidi ya Wapalestina, serikali ya Rais Joe Biden wa Marekani umeamua kuuzia utawala huo silaha mpya na za kisasa kabisa zenye thamani ya dola milioni 735.
-
Upinzani wa Ujerumani na Ufaransa wa kufanyika maandamano dhidi ya Israel; nembo ya uungaji mkono wa Magharibi kwa jinai za Wazayuni
May 15, 2021 05:26Baada ya kuwaka moto wa vita na mapigano baina ya utawala haramu wa Israel na Wapalestina katika siku za hivi karibuni, madola ya Magharibi yamefumbia macho kabisa jinai za Tel-Aviv hususan hujuma na mashambulio ya anga na kulishambulia kwa mabomu eneo la Ukanda wa Gaza.
-
Marekani sababu kuu ya jinai za utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapaletina
May 12, 2021 21:47Gazeti la Marekani la Washington Post limeashiria mashambulio na jinai za hivi karibuni za utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina katika mji mtakatifu wa Quds (Jerusalem) na kusema kuwa sio utawala huo tu ndio unazuia kufikiwa lengo lao tukufu la kuwa na nchi huru bali Marekani pia imekuwa na mchango mkubwa katika masaibu na matatizo ambayo yamewasibu kwa miongo kadhaa sasa.
-
HRW: Israel inatenda jinai dhidi ya binadamu na ubaguzi aina ya 'Apartheid' kuwakandamiza Wapalestina
Apr 28, 2021 00:31Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel unatenda "jinai dhidi ya binadamu na ubaguzi aina ya apartheid na ukandamizaji" dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina, na kusisitiza kuwa, kuna ulazima kwa jamii ya kimataifa kutathmini upya uhusiano wake na utawala huo.
-
Arab League yakiri kwamba kadhia ya Palestina imedharauliwa kwa makusudi
Jan 27, 2021 03:56Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu amelaumu vikali misimamo ya baadhi ya nchi kuhusu kadhia ya Palestina na kulalamika kuwa, taifa la Palestina limedharauliwa kwa makusudi.
-
Lawama na ukosoaji dhidi ya Marekani kwa kuyatuhumu mashirika matatu ya haki za binadamu kuwa eti yana chuki na Mayahudi
Oct 23, 2020 09:42Katika kipindi cha miaka minne ya utawala wake, Rais Donald Trump wa Marekani amechukua hatua nyingi kwa madhumuni ya kuitetea na kuiunga mkono Israel na kuyapiga vita mashirika ya kimataifa ambayo yamechukua msimamo wa kuwatetea na kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina dhidi ya jinai wanazofanyiwa na utawala huo wa Kizayuni.
-
Kuongezeka mashinikizo ya kimataifa dhidi ya utawala wa Kizayuni; upinzani wa Ulaya kwa mpango wa kumegwa ardhi zaidi za Palestina
Jul 16, 2020 03:29Utawala haramu wa Kizayuni umekusudia kumega asilimia 30 ya ardhi za Palestina za Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan ulizozivamia na kuanza kuzikalia kwa mabavu mwaka 1967 na kuziunganisha na ardhi zingine ulizozipa jina la Israel, ukiwa ni muendelezo wa malengo yake ya muda mrefu ya kuikalia kwa mabavu Palestina yote.
-
Sanders asusia mkutano wa loby ya Wayahudi wa Marekani, AIPAC
Feb 24, 2020 03:57Seneta wa jimbo la Vermont nchini Marekani anayeongoza katika mbio za kuwakilisha chama cha Democratic katika uchaguzi ujao wa rais nchini humo ametangaza kuwa hatashiriki katika mkutano wa kila mwaka wa lobi na kundi la mashinikizo la Wayahudi wa Marekani, "AIPAC.
-
Wapalestina wakariri upinzani wao kwa "Muamala wa Karne wa Marekani"
Jan 27, 2020 23:17Vyama na makundi ya Palestina yamekariri upinzani wao kwa mpango uliopendekezwa na Marekani uliopewa jina la "Muamala wa Karne" eti kwa ajili ya kutatua mzozo kati ya Wapalestina na Israel ambao Rais Donald Trump amepanga kuuzindua wiki hii.