• Kurudi nyuma kwa serikali ya Macron dhidi ya upinzani

    Kurudi nyuma kwa serikali ya Macron dhidi ya upinzani

    Jan 05, 2023 22:50

    Serikali ya Ufaransa Jumanne wiki hii ilidokeza uwezekano wa kutazamwa umpya mpango tata wa Rais Emmanuel Macron wa kubadilisha sheria za pensheni. Hatua hiyo inaonekana kuwa ni kusalimu amri mbele ya wapinzani wa mpango huo.

  • Kuendelea mgogoro Tunisia kwa kuvunjika mazungumzo ya serikali na wapinzani

    Kuendelea mgogoro Tunisia kwa kuvunjika mazungumzo ya serikali na wapinzani

    Jun 15, 2022 23:21

    Mgogoro wa kisiasa nchini Tunisia umechukua sura na muelekeo mpana zaidi baada ya kuvunjika mazungumzo baina ya serikali na muungano wa asasi za ajira, ambao ndio mwamvuli mkubwa zaidi wa miungano mbalimbali inayopinga sera za serikali ya sasa ya nchi hiyo; na sasa muungano huo umewatolea mwito wananchi kushiriki kwenye mgomo wa umma wa nchi nzima.

  • Saudia yarefusha kifungo cha mwanachuoni mashuhuri wa upinzani nchini humo

    Saudia yarefusha kifungo cha mwanachuoni mashuhuri wa upinzani nchini humo

    Feb 17, 2022 23:36

    Mamlaka za Saudi Arabia zimerefusha kifungo cha msomi mashuhuri na mpinzani mkuu wa utawala wa Aal-Saud kwa miaka 8 zaidi, huku ufalme huo ukishadidisha ukandamizaji wa jamii za waliowachache nchini humo.

  • Kushadidi hali ya mgogoro huko Sudan

    Kushadidi hali ya mgogoro huko Sudan

    Oct 30, 2021 22:52

    Mgogoro nchini Sudan umezidi kuwa mkubwa. Wanajeshi wangali wanashikilia madaraka; na Abdel Fattah al Burhan Kamanda Mkuu wa Jeshi la nchi hiyo ametangaza kuwa siku kadhaa zijazo atatangaza majina ya Waziri Mkuu Mpya na wajumbe wa Baraza la Uongozi. Hii ni katika hali ambayo wananchi wa Sudan wanaendelea kumiminika mitaani kupinga kuendelea wanajeshi kuiongoza nchi hiyo.

  • Masharti ya Maduro kwa ajili ya kufanya mazungumzo na wapinzani

    Masharti ya Maduro kwa ajili ya kufanya mazungumzo na wapinzani

    Jul 14, 2021 04:08

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela ametangaza kuwa yupo tayari kufanya duru nyingine ya mazungumzo na wapinzani wa serikali iwapo baadhi ya masharti aliyotoa yatatimizwa.

  • Bobi Wine: Jamii ya kimataifa inathamini zaidi biashara kuliko maadili, haki za binadamu

    Bobi Wine: Jamii ya kimataifa inathamini zaidi biashara kuliko maadili, haki za binadamu

    Jun 04, 2021 22:01

    Kiongozi wa upinzani wa Uganda Robert Kyagulanyi Sentamu maarufu kwa jina la Bobi Wine amesema hali ya haki za binadamu nchini Uganda imekuwa mbaya zaidi tangu baada ya uchaguzi wa Januari 14 mwaka huu.

  • Watanzania washiriki kwa wingi katika upigaji kura leo

    Watanzania washiriki kwa wingi katika upigaji kura leo

    Oct 28, 2020 08:57

    Mamilioni ya Watanzania, leo Jumatano, Oktoba 28, 2020 wamejitokeza katika vituo vya kupigia kura kwa ajili ya kuwachagua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Zanzibar, wabunge wa Bunge la Muungano, madiwani na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar.

  • Madai ya kupewa sumu Navalny, kisingizio kipya cha Magharibi kwa ajili ya kuishinikiza Russia

    Madai ya kupewa sumu Navalny, kisingizio kipya cha Magharibi kwa ajili ya kuishinikiza Russia

    Sep 04, 2020 02:52

    Umoja wa Ulaya na Marekani zimekuwa zikiishinikiza Russia kupitia njia ya kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo kwa kuwaunga mkono wapinzani wa serikali ya Moscow na kutumia madai ya kutetea haki za binadamu.

  • Lissu awasili Tanzania, apokewa na wafuasi na viongozi wa Chadema

    Lissu awasili Tanzania, apokewa na wafuasi na viongozi wa Chadema

    Jul 27, 2020 08:35

    Mwanasheria na mwanasiasa mashuhuri wa kambi ya upinzani nchini Tanzania Tundu Antipas Lissu amewasili nchini humo baada ya kuwa nje ya nchi kwa matibabu kwa zaidi ya miaka miwili, baada ya kunusurika kifo kwa shambulio la risasi akiwa Dodoma.

  • Rais Nyusi wa Msumbiji aapishwa, upinzani wasusia

    Rais Nyusi wa Msumbiji aapishwa, upinzani wasusia

    Jan 15, 2020 23:02

    Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji alikula kiapo cha kulitumikia taifa jana Jumatano katika hafla iliyosusiwa na viongozi mashuhuri wa upinzani nchini humo, wanaosisitiza kuwa kuliwepo na udanganyifu katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka uliomalizika wa 2019.