Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waziri Mkuu

  • Bunge la Iraq laafiki kujiuzulu Waziri Mkuu Adil Abdul-Mahdi

    Bunge la Iraq laafiki kujiuzulu Waziri Mkuu Adil Abdul-Mahdi

    Dec 01, 2019 13:38

    Bunge la Iraq lililokutana kwa kikao cha dharura kilichofanyika leo limeukubali uamuzi uliochukuliwa na Waziri Mkuu wa nchi hiyo Adil Abdul-Mahdi wa kujiuzulu wadhifa wake huo.

  • Waziri Mkuu wa Iraq atangaza nia ya kujiuzulu kufuatiwa mwito wa Ayatullah Sistani

    Waziri Mkuu wa Iraq atangaza nia ya kujiuzulu kufuatiwa mwito wa Ayatullah Sistani

    Dec 01, 2019 03:05

    Waziri Mkuu wa Iraq Adel Abdul-Mahdi amesema, anakusudia kujiuzulu kuitikia mwito wa kiongozi wa juu wa kidini wa nchi hiyo Ayatulllah Ali Sitani aliyewataka wabunge "kuangalia upya" machaguo yao kuhusiana na mustakabali wa Iraq.

  • Makundi ya kisiasa nchini Iraq yampa Waziri Mkuu muhula wa siku 45 kutekeleza mageuzi

    Makundi ya kisiasa nchini Iraq yampa Waziri Mkuu muhula wa siku 45 kutekeleza mageuzi

    Nov 19, 2019 13:14

    Makundi ya kisiasa nchini Iraq, yamesaini makubaliano maalumu sambamba na kutoa muhula wa siku 45 kwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Adil Abdul-Mahdi wa kutekeleza mageuzi yanayotakiwa na wananchi.

  • Waziri Mkuu wa Iraq: Ziara ya Arubaini, imebeba ujumbe wa kupinga uharibifu na ufisadi

    Waziri Mkuu wa Iraq: Ziara ya Arubaini, imebeba ujumbe wa kupinga uharibifu na ufisadi

    Oct 20, 2019 02:35

    Waziri Mkuu wa Iraq amesisitiza kwamba, mapinduzi ya Imam Hussein (as) ni mapinduzi dhidi ya kukengeuka na kufanya dhulma na kwamba ziara ya Arubaini ya mjukuu huyo wa Matume (saw) imebeba ujumbe wa kupinga uharibifu na ufisadi.

  • Waziri Mkuu wa Ethiopia atunukiwa zawadi ya mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel 2019

    Waziri Mkuu wa Ethiopia atunukiwa zawadi ya mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel 2019

    Oct 11, 2019 15:37

    Waziri Mkuu wa Ethiopia ametunukiwa zawadi ya mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel mwaka 2019 kutokana na juhudi zake za kuhitimisha vita kati ya nchi na Eritrea.

  • Johnson awahutubu wabunge wa Uingereza: Niuzuluni au niacheni nitekeleze Brexit

    Johnson awahutubu wabunge wa Uingereza: Niuzuluni au niacheni nitekeleze Brexit

    Sep 26, 2019 07:34

    Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson amewataka wabunge wa nchi hiyo wamuuzulu au wamwache atekeleze mpango wa kujitoa nchi hiyo katika Umoja wa Ulaya, maarufu kama Brexit kwa kufikia au bila kufikia makubaliano na umoja huo.

  • Mkuu wa Baraza Kuu la Mashia Lebanon: Israel inachezea moto

    Mkuu wa Baraza Kuu la Mashia Lebanon: Israel inachezea moto

    Aug 25, 2019 12:31

    Mkuu wa Baraza Kuu la Mashia nchini Lebanon amesema, kuendeleza utawala wa Kizayuni wa Israel uchokozi dhidi ya Lebanon na Syria ni kuchezea moto, ambao utapelekea kuteketezwa utawala huo.

  • Serikali ya Mpito ya Sudan yatangaza vipaumbele vyake, amani na changamoto za kiuchumi zawekwa mbele

    Serikali ya Mpito ya Sudan yatangaza vipaumbele vyake, amani na changamoto za kiuchumi zawekwa mbele

    Aug 23, 2019 10:40

    Waziri Mkuu wa Serikali ya Mpito ya Sudan ametangaza kuwa, serikali yake itatoa kipaumbele kwa masuala ya kusitisha vita, kuimarisha amani na kukabiliana na changamoto za kiuchumi.

  • Waziri Mkuu wa Iraq asisitiza kuungwa mkono oparesheni dhidi ya ugaidi katika mipaka ya Syria

    Waziri Mkuu wa Iraq asisitiza kuungwa mkono oparesheni dhidi ya ugaidi katika mipaka ya Syria

    Jul 07, 2019 07:48

    Waziri Mkuu wa Iraq amesisitiza kuendelezwa oparsheni za jeshi la ulinzi la nchi hiyo dhidi ya magaidi wa Daesh katika mpaka wa nchi hiyo na Syria.

  • Iraq: Marekani ihitimishe siasa zake za kupenda vita na ifuate njia ya mazungumzo

    Iraq: Marekani ihitimishe siasa zake za kupenda vita na ifuate njia ya mazungumzo

    Jun 03, 2019 04:18

    Rais Barham Ahmed Salih wa Iraq ameitaka serikali ya Marekani kuhitimisha siasa zake za kupenda vita na kuibua mizozo kupitia miamala yake hasi katika eneo la Asia Magharibi na badala yake ifuate mkondo wa mazungumzo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS