Nyani walivyomuokoa swala na kifo
https://parstoday.ir/sw/news/uncategorised-i6088-nyani_walivyomuokoa_swala_na_kifo
Dunia ya wanyama ni ya sheria za msituni, mwenye nguvu kumla mwenzake, lakini baadhi ya wakati hutokezea matukio ambayo huwaokoa wanyonge kutoka katika tundu ya sindano kama alivyookoka swala huyu
(last modified 2023-11-27T12:14:11+00:00 )
Apr 30, 2016 07:43 UTC

Dunia ya wanyama ni ya sheria za msituni, mwenye nguvu kumla mwenzake, lakini baadhi ya wakati hutokezea matukio ambayo huwaokoa wanyonge kutoka katika tundu ya sindano kama alivyookoka swala huyu