Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Dunia

  • Je dunia kweli imekubali uongozi wa Marekani?

    Je dunia kweli imekubali uongozi wa Marekani?

    Feb 14, 2026 10:42

    Balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa amedai dunia imekaribisha nafasi ya uongozi wa Marekani.

  • Sababu zilizomfanya Katibu Mkuu wa UN akiri kuwa 'Sheria ya Msituni' ndiyo inayotawala hivi sasa duniani

    Sababu zilizomfanya Katibu Mkuu wa UN akiri kuwa 'Sheria ya Msituni' ndiyo inayotawala hivi sasa duniani

    Jan 29, 2026 07:00

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amekiri kuwa sheria ya msituni ndiyo inayotawala hivi sasa duniani na kusisitiza kwamba kuna udharura wa kufanyika mageuzi katika Baraza la Usalama la umoja huo.

  • UN: Usafirishaji bidhaa duniani kote karibuni hivi utakuwa wa kasi na wa gharama nafuu zaidi

    UN: Usafirishaji bidhaa duniani kote karibuni hivi utakuwa wa kasi na wa gharama nafuu zaidi

    Dec 19, 2025 03:25

    Usafirishaji wa bidhaa kote duniani unatazamiwa kuwa wa gharama nafuu zaidi, unaofanyika kwa kasi zaidi na kwa urahisi mkubwa, kufuatia kupitishwa makubaliano mapya yanayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa ambayo yanahuisha nyaraka zinazotumika katika usafirishaji wa kimataifa.

  • Gazeti la Austria: Hakuna tukio ambalo limeutikisa zaidi ulimwengu wakati huu kama vita vya Ghaza

    Gazeti la Austria: Hakuna tukio ambalo limeutikisa zaidi ulimwengu wakati huu kama vita vya Ghaza

    Aug 04, 2025 10:03

    Gazeti la Standard linalochapishwa nchini Austria limeandika: vita vya Ghaza sio vita vya pekee au vya umwagaji mkubwa zaidi wa damu vinavyoendelea hivi sasa duniani, lakini hakuna tukio ambalo limeutikisa zaidi ulimwengu wakati huu kwa kiwango cha vita hivyo.

  • Amnesty International: Mauaji ya kimbari yanafanyika Gaza

    Amnesty International: Mauaji ya kimbari yanafanyika Gaza

    Jul 28, 2025 02:42

    Agnes Calamard Mkuu wa Shirika la Amnsety International Jumamosi usiku alirusha puto la hewa moto katika anga ya Paris ambalo juu yake aliandika maneno yanayosomeka: "Mauaji ya kimbari yanaendelea huko Gaza. Sitisha mauaji hayo."

  • Mabadiliko ya tabianchi; vimbunga vya vumbi vimeathiri watu milioni 330 duniani

    Mabadiliko ya tabianchi; vimbunga vya vumbi vimeathiri watu milioni 330 duniani

    Jul 12, 2025 14:09

    Ripoti mpya ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO) imebainisha kuwa, dhoruba za mchanga na vumbi zinaongoza kwa "vifo vya mapema" kutokana na mabadiliko ya tabianchi, ambapo zaidi ya watu milioni 330 katika nchi 150 wameathirika.

  • Kwa nini watu wengi duniani wana mtazamo hasi kuhusu Marekani?

    Kwa nini watu wengi duniani wana mtazamo hasi kuhusu Marekani?

    Jul 10, 2025 02:49

    Kwa mujibu wa uchunguzi wa maoni uliochapishwa na Kituo cha Utafiti cha Pew, watu wa Canada na Mexico, majirani wawili wa karibu wa Marekani, wanaitambua nchi hiyo kuwa tishio kubwa zaidi kwao.

  • Papa: Inaungulisha nyoyo kuona sheria za kimataifa haziheshimiwi tena

    Papa: Inaungulisha nyoyo kuona sheria za kimataifa haziheshimiwi tena

    Jun 28, 2025 08:41

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Leo amesema, inaungulisha nyoyo kuona sheria za kimataifa haziheshimiwi tena.

  • Mtaalamu: Mabadiliko ya tabianchi yanaweza kudhoofisha uchumi wa dunia katika siku zijazo

    Mtaalamu: Mabadiliko ya tabianchi yanaweza kudhoofisha uchumi wa dunia katika siku zijazo

    Apr 15, 2025 02:26

    Erhan Aslanoglu, Profesa katika Chuo Kikuu cha Bilgi mjini Istanbul, Uturuki ameeleza kuwa mabadiliko ya tabianchi yatababisha kuzorota kwa uchumi wa dunia katika siku zijazo, kuathiri uzalishaji n.k.

  • Intelijensia ya Russia: US na UK zinapanga mashambulio ya kigaidi dhidi ya vituo vyetu vilivyoko Syria

    Intelijensia ya Russia: US na UK zinapanga mashambulio ya kigaidi dhidi ya vituo vyetu vilivyoko Syria

    Dec 29, 2024 11:03

    Idara ya Intelijensia ya Russia ya Nje ya Nchi (SVR) imetahadharisha kuwa Marekani na Uingereza zinapanga mashambulizi ya kigaidi katika vituo ya kijeshi vya nchi hiyo vilivyoko Syria ili hali ya nchi hiyo isitangamae na amani na uthabiti usirejee nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS