Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Dunia

  • Senator Mdemocrat wa Marekani: Uwongo wa Trump ni ujumbe kwa Iran kuhusu namna alivyokwama

    Senator Mdemocrat wa Marekani: Uwongo wa Trump ni ujumbe kwa Iran kuhusu namna alivyokwama

    Mar 30, 2026 07:11

    Chris Murphy Seneta wa chama cha Democratic nchini Marekani amesema kuwa uongo wa Rais Donald Trump wa nchi hiyo kwamba anafanya mazungumzo na Iran unatoa ujumbe kwa Tehran kwamba amekwama kwenye kinamasi na amezongwa na mashinikizo.

  • Seneta wa Marekani: Trump ni mpumbavu/ Panetta: Utawala wa Iran umekita mizizi, ni imara

    Seneta wa Marekani: Trump ni mpumbavu/ Panetta: Utawala wa Iran umekita mizizi, ni imara

    Mar 18, 2026 04:55

    Seneta wa chama cha Democratic cha Marekani amemtaja rais wa nchi hiyo kuwa ni mjinga kwa kufuata kibubusa sera za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Je dunia kweli imekubali uongozi wa Marekani?

    Je dunia kweli imekubali uongozi wa Marekani?

    Feb 14, 2026 07:12

    Balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa amedai dunia imekaribisha nafasi ya uongozi wa Marekani.

  • Sababu zilizomfanya Katibu Mkuu wa UN akiri kuwa 'Sheria ya Msituni' ndiyo inayotawala hivi sasa duniani

    Sababu zilizomfanya Katibu Mkuu wa UN akiri kuwa 'Sheria ya Msituni' ndiyo inayotawala hivi sasa duniani

    Jan 29, 2026 03:30

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amekiri kuwa sheria ya msituni ndiyo inayotawala hivi sasa duniani na kusisitiza kwamba kuna udharura wa kufanyika mageuzi katika Baraza la Usalama la umoja huo.

  • UN: Usafirishaji bidhaa duniani kote karibuni hivi utakuwa wa kasi na wa gharama nafuu zaidi

    UN: Usafirishaji bidhaa duniani kote karibuni hivi utakuwa wa kasi na wa gharama nafuu zaidi

    Dec 18, 2025 23:55

    Usafirishaji wa bidhaa kote duniani unatazamiwa kuwa wa gharama nafuu zaidi, unaofanyika kwa kasi zaidi na kwa urahisi mkubwa, kufuatia kupitishwa makubaliano mapya yanayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa ambayo yanahuisha nyaraka zinazotumika katika usafirishaji wa kimataifa.

  • Gazeti la Austria: Hakuna tukio ambalo limeutikisa zaidi ulimwengu wakati huu kama vita vya Ghaza

    Gazeti la Austria: Hakuna tukio ambalo limeutikisa zaidi ulimwengu wakati huu kama vita vya Ghaza

    Aug 04, 2025 06:33

    Gazeti la Standard linalochapishwa nchini Austria limeandika: vita vya Ghaza sio vita vya pekee au vya umwagaji mkubwa zaidi wa damu vinavyoendelea hivi sasa duniani, lakini hakuna tukio ambalo limeutikisa zaidi ulimwengu wakati huu kwa kiwango cha vita hivyo.

  • Amnesty International: Mauaji ya kimbari yanafanyika Gaza

    Amnesty International: Mauaji ya kimbari yanafanyika Gaza

    Jul 27, 2025 23:12

    Agnes Calamard Mkuu wa Shirika la Amnsety International Jumamosi usiku alirusha puto la hewa moto katika anga ya Paris ambalo juu yake aliandika maneno yanayosomeka: "Mauaji ya kimbari yanaendelea huko Gaza. Sitisha mauaji hayo."

  • Mabadiliko ya tabianchi; vimbunga vya vumbi vimeathiri watu milioni 330 duniani

    Mabadiliko ya tabianchi; vimbunga vya vumbi vimeathiri watu milioni 330 duniani

    Jul 12, 2025 10:39

    Ripoti mpya ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO) imebainisha kuwa, dhoruba za mchanga na vumbi zinaongoza kwa "vifo vya mapema" kutokana na mabadiliko ya tabianchi, ambapo zaidi ya watu milioni 330 katika nchi 150 wameathirika.

  • Kwa nini watu wengi duniani wana mtazamo hasi kuhusu Marekani?

    Kwa nini watu wengi duniani wana mtazamo hasi kuhusu Marekani?

    Jul 09, 2025 23:19

    Kwa mujibu wa uchunguzi wa maoni uliochapishwa na Kituo cha Utafiti cha Pew, watu wa Canada na Mexico, majirani wawili wa karibu wa Marekani, wanaitambua nchi hiyo kuwa tishio kubwa zaidi kwao.

  • Papa: Inaungulisha nyoyo kuona sheria za kimataifa haziheshimiwi tena

    Papa: Inaungulisha nyoyo kuona sheria za kimataifa haziheshimiwi tena

    Jun 28, 2025 05:11

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Leo amesema, inaungulisha nyoyo kuona sheria za kimataifa haziheshimiwi tena.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS