-
Senator Mdemocrat wa Marekani: Uwongo wa Trump ni ujumbe kwa Iran kuhusu namna alivyokwama
Mar 30, 2026 07:11Chris Murphy Seneta wa chama cha Democratic nchini Marekani amesema kuwa uongo wa Rais Donald Trump wa nchi hiyo kwamba anafanya mazungumzo na Iran unatoa ujumbe kwa Tehran kwamba amekwama kwenye kinamasi na amezongwa na mashinikizo.
-
Seneta wa Marekani: Trump ni mpumbavu/ Panetta: Utawala wa Iran umekita mizizi, ni imara
Mar 18, 2026 04:55Seneta wa chama cha Democratic cha Marekani amemtaja rais wa nchi hiyo kuwa ni mjinga kwa kufuata kibubusa sera za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Je dunia kweli imekubali uongozi wa Marekani?
Feb 14, 2026 07:12Balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa amedai dunia imekaribisha nafasi ya uongozi wa Marekani.
-
Sababu zilizomfanya Katibu Mkuu wa UN akiri kuwa 'Sheria ya Msituni' ndiyo inayotawala hivi sasa duniani
Jan 29, 2026 03:30Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amekiri kuwa sheria ya msituni ndiyo inayotawala hivi sasa duniani na kusisitiza kwamba kuna udharura wa kufanyika mageuzi katika Baraza la Usalama la umoja huo.
-
UN: Usafirishaji bidhaa duniani kote karibuni hivi utakuwa wa kasi na wa gharama nafuu zaidi
Dec 18, 2025 23:55Usafirishaji wa bidhaa kote duniani unatazamiwa kuwa wa gharama nafuu zaidi, unaofanyika kwa kasi zaidi na kwa urahisi mkubwa, kufuatia kupitishwa makubaliano mapya yanayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa ambayo yanahuisha nyaraka zinazotumika katika usafirishaji wa kimataifa.
-
Gazeti la Austria: Hakuna tukio ambalo limeutikisa zaidi ulimwengu wakati huu kama vita vya Ghaza
Aug 04, 2025 06:33Gazeti la Standard linalochapishwa nchini Austria limeandika: vita vya Ghaza sio vita vya pekee au vya umwagaji mkubwa zaidi wa damu vinavyoendelea hivi sasa duniani, lakini hakuna tukio ambalo limeutikisa zaidi ulimwengu wakati huu kwa kiwango cha vita hivyo.
-
Amnesty International: Mauaji ya kimbari yanafanyika Gaza
Jul 27, 2025 23:12Agnes Calamard Mkuu wa Shirika la Amnsety International Jumamosi usiku alirusha puto la hewa moto katika anga ya Paris ambalo juu yake aliandika maneno yanayosomeka: "Mauaji ya kimbari yanaendelea huko Gaza. Sitisha mauaji hayo."
-
Mabadiliko ya tabianchi; vimbunga vya vumbi vimeathiri watu milioni 330 duniani
Jul 12, 2025 10:39Ripoti mpya ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO) imebainisha kuwa, dhoruba za mchanga na vumbi zinaongoza kwa "vifo vya mapema" kutokana na mabadiliko ya tabianchi, ambapo zaidi ya watu milioni 330 katika nchi 150 wameathirika.
-
Kwa nini watu wengi duniani wana mtazamo hasi kuhusu Marekani?
Jul 09, 2025 23:19Kwa mujibu wa uchunguzi wa maoni uliochapishwa na Kituo cha Utafiti cha Pew, watu wa Canada na Mexico, majirani wawili wa karibu wa Marekani, wanaitambua nchi hiyo kuwa tishio kubwa zaidi kwao.
-
Papa: Inaungulisha nyoyo kuona sheria za kimataifa haziheshimiwi tena
Jun 28, 2025 05:11Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Leo amesema, inaungulisha nyoyo kuona sheria za kimataifa haziheshimiwi tena.