Wananchi wa miji tofauti ya dunia kwa mara nyingine wameandamana kuwatetea wananchi madhulumu wa Palestina na kulaani jinai za utawala ghasibu wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
Kaboni nyeusi imetajwa kusababisha ongezeko la joto kwa wati zisizopungua 0.6 kwa kila mita mraba moja katika uso wa dunia. Haya yamebainishwa na Mhadhiri wa masuala ya uhandisi wa mazingira katika Chuo Kikuu cha Istanbul Uturuki.
Wananchi katika nchi mbalimbali kwa mara nyingine tena wamefanya maandamano na mikusanyiko mbalimbali katika kuwaunga mkono na kuonyesha mshikamano kwa raia madhulumu wa Palestina.
Kwa mara ya kwanza, Ujerumani imetwaa ubingwa wa Kombe la Dunia kwa vijana wa kiume wenye chini ya umri wa miaka 17.
Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Kitaifa la Russia amekosoa vikali siasa za uhasama za Marekani ulimwenguni.
Katibu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia amesema dunia ya sasa haivumilii tena sera za kufuata amri za Marekani na inaelekea kwenye mfumo wa kambi kadhaa, mchakato ambao haukubaliwi na nchi za Magharibi.
Rais wa Russia ameeleza kuwa katika hali ambayo Wamagharibi wanalenga kuzidisha hali ya wasiwasi na ukosefu wa usalama duniani; nchi huru kuanzia Asia hadi Afrika zinapaswa kusaidia katika usanifu usiogawanyika wa usalama duniani.
Zaidi ya shakhsia 200 duniani wamewatolea wito viongozi wa dunia kuchukua hatua ili kukabiliana na ubaguzi katika ugavi wa chanjo za kujikinga na corona.
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amekosoa vikali kampeni ya kuhamasisha watu kubadilisha jinsia zao, na kuitaja nadharia hiyo kama moja ya ukoloni hatari zaidi wa kiidiolojia uliopo duniani hivi sasa.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuhusu taathira za mabadiliko ya tabianchi kuwa, athari za ongezeko la joto duniani zitakuwa haribifu; ambapo maeneo kadhaa ya dunia yatashindwa kukaliwa na watu.