Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Dunia

  • Maandamano ya kuiunga mkono Palestina yaendelea katika miji tofauti duniani

    Maandamano ya kuiunga mkono Palestina yaendelea katika miji tofauti duniani

    May 01, 2024 06:50

    Wananchi wa miji tofauti ya dunia kwa mara nyingine wameandamana kuwatetea wananchi madhulumu wa Palestina na kulaani jinai za utawala ghasibu wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Kaboni nyeusi; sio tu inachafua mazingira, lakini pia inasababisha ongezeko la joto duniani

    Kaboni nyeusi; sio tu inachafua mazingira, lakini pia inasababisha ongezeko la joto duniani

    Mar 28, 2024 06:58

    Kaboni nyeusi imetajwa kusababisha ongezeko la joto kwa wati zisizopungua 0.6 kwa kila mita mraba moja katika uso wa dunia. Haya yamebainishwa na Mhadhiri wa masuala ya uhandisi wa mazingira katika Chuo Kikuu cha Istanbul Uturuki.

  • Maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina yaendelea kushuhudiwa katika nchi mbalimbali

    Maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina yaendelea kushuhudiwa katika nchi mbalimbali

    Mar 18, 2024 03:03

    Wananchi katika nchi mbalimbali kwa mara nyingine tena wamefanya maandamano na mikusanyiko mbalimbali katika kuwaunga mkono na kuonyesha mshikamano kwa raia madhulumu wa Palestina.

  • Kombe la Dunia U17; Ujerumani bingwa

    Kombe la Dunia U17; Ujerumani bingwa

    Dec 03, 2023 10:59

    Kwa mara ya kwanza, Ujerumani imetwaa ubingwa wa Kombe la Dunia kwa vijana wa kiume wenye chini ya umri wa miaka 17.

  • Ukosoaji wa Russia kwa siasa za uadui za Marekani ulimwenguni

    Ukosoaji wa Russia kwa siasa za uadui za Marekani ulimwenguni

    Oct 21, 2023 07:24

    Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Kitaifa la Russia amekosoa vikali siasa za uhasama za Marekani ulimwenguni.

  • Russia: Dunia haiwezi tena kuvumilia sera za kutii amri za Marekani

    Russia: Dunia haiwezi tena kuvumilia sera za kutii amri za Marekani

    Jul 25, 2023 07:08

    Katibu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia amesema dunia ya sasa haivumilii tena sera za kufuata amri za Marekani na inaelekea kwenye mfumo wa kambi kadhaa, mchakato ambao haukubaliwi na nchi za Magharibi.

  • Putin:Sera za Magharibi zimesababisha ukosefu wa amani duniani

    Putin:Sera za Magharibi zimesababisha ukosefu wa amani duniani

    May 24, 2023 10:50

    Rais wa Russia ameeleza kuwa katika hali ambayo Wamagharibi wanalenga kuzidisha hali ya wasiwasi na ukosefu wa usalama duniani; nchi huru kuanzia Asia hadi Afrika zinapaswa kusaidia katika usanifu usiogawanyika wa usalama duniani.

  • Shakhsia zaidi ya 200 duniani wataka kukabiliana na ubaguzi katika ugavi wa chanjo ya corona

    Shakhsia zaidi ya 200 duniani wataka kukabiliana na ubaguzi katika ugavi wa chanjo ya corona

    Mar 13, 2023 02:36

    Zaidi ya shakhsia 200 duniani wamewatolea wito viongozi wa dunia kuchukua hatua ili kukabiliana na ubaguzi katika ugavi wa chanjo za kujikinga na corona.

  • Papa akosoa idiolojia ya watu kubadilisha jinsia zao

    Papa akosoa idiolojia ya watu kubadilisha jinsia zao

    Mar 12, 2023 09:49

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amekosoa vikali kampeni ya kuhamasisha watu kubadilisha jinsia zao, na kuitaja nadharia hiyo kama moja ya ukoloni hatari zaidi wa kiidiolojia uliopo duniani hivi sasa.

  • Indhari ya UN: Sehemu kadhaa za dunia zitashindwa kukaliwa na watu

    Indhari ya UN: Sehemu kadhaa za dunia zitashindwa kukaliwa na watu

    Jan 16, 2023 03:09

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuhusu taathira za mabadiliko ya tabianchi kuwa, athari za ongezeko la joto duniani zitakuwa haribifu; ambapo maeneo kadhaa ya dunia yatashindwa kukaliwa na watu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS