Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo
  • Hifadhi
  • iPhone
  • Pakua
  • Frikwensi

Hakika ya Uwahabi

Oct 29, 2022 15:26 UTC
Vipindi Vingine
  • Hadithi ya Uongofu
    Hadithi ya Uongofu
  • Aya na Hadithi
    Aya na Hadithi
  • Leo katika Historia
    Leo katika Historia
  • Chuki dhidi ya Uislamu Magharibi
    Chuki dhidi ya Uislamu Magharibi
  • Ruwaza Njema
    Ruwaza Njema
  • Mapinduzi ya Kiislamu (Katika Nadharia za Sayansi ya Jamii)
    Mapinduzi ya Kiislamu (Katika Nadharia za Sayansi ya Jamii)
  • Wiki ya Umoja
    Wiki ya Umoja

  • 9
    Hakika ya Uwahabi (9)
    Bismillahir Rahmanir Rahim. Tunaanza kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema, Mwenye Kurehemu ambaye ndiye atakayekuwa hakimu wa pekee Siku ya Kiama, Siku ambayo itamtosha kila mtu kujihisabu mwenyewe kuhusiana na matendo aliyotenda na wala hakuna mtendadhambi yeyote atakayekwepa adhabu kali ya Mweyezi Mungu na bila shaka Mwenyezi mungu hatamdhulumu mtu yeyote. Siku hiyo itakuwa ni siku ya adhabu ya kudhalilisha kwa wanafiki.
  • 8
    Hakika ya Uwahabi 8
    Tulisema katika kipindi kilichopita kwamba Mawahabi wanaharamisha kutawasali na Mtume Mtukufu (saw) pamoja na Maimamu watoharifu (as) na hivyo kuharibu majengo yanayojengwa kwenye makaburi yao na wakati huo huo kuhalalisha damu na mali za Waislamu wanaozuru maeneo hayo matakatifu.
  • 7
    Hakika ya Uwahabi 7
    Moja ya itikadi zinazowapelekea Mawahabi kuharamisha ujenzi wa majengo na makuba kwenye makaburi ya Manabii na Maimamu watukufu (as) na kuwakufurisha Waislamu wanaozuru maeneo hayo matakatifu pamoja na kuwatuhumu kuwa ni washirikina ni fikra zao potofu kuhusiana na suala zima la tawassul, au kwa ibara nyingine kutawasali na mawalii wa Mwenyezi Mungu.
  • 6
    Hakika ya Uwahabi 6
    Kama ilivyokuwa katika vipindi vilivyopita, kipindi hiki pia kitaendelea kuchambua na kujadili kwa undani kidogo fikra na mielekeo ya Uwahabi ili tupate kuujua vizuri zaidi na pia wale wanaoufuata.
  • 5
    Hakika ya Uwahabi 5
    Imam Ali (as) anashauri: "Tolea hoja mambo ambayo hayajatokea kwa yale ambayo tayari yametokea na tabiri matukio ambayo hayajatokea kwa kuchunguza yale ambayo tayari yamekwishatokea, maana mambo ya dunia yanafanana…”
  • 4
    Hakika ya Uwahabi 4
    Katika kitabu chake chenye kurasa 1,400 na alichokipa anwani ya "Historia ya Aal Saud", Nasser as-Saeed anafichua siri ambayo pengine hakuna mtu mwingine yeyote aliyeizingatia hapo awali.
  • 3
    Hakika ya Uwahabi 3
    Bismillahir Rahmanir Raheem. Tunamshukuru Mwenyezi Mungu Mtukufu ambaye aliwabainishia wanadamu njia sahihi na ya wazi kuelekea wongofu ambapo baadhi walifuata njia hiyo na wakafaulu na wengine wakakengeuka na kupotea.
  • 2
    Hakika ya Uwahabi 2
    Tunapasa kutambua kwamba fitna ni mbaya kuliko kuua kwa sababu fitna huzuia ustawi wa thamani za binadamu na wakati huo huo kuwanyima manufaa ya maisha yao ya humu duniani na ya huko Akhera.
  • 1
    Hakika ya Uwahabi 1
    Makhawariji walikuwa wakisoma sana Qur’ani Tukufu, lakini pamoja na hayo hawakuzingatia maana yake halisi, hivyo, kusoma kwao Qur’ani na kuswali hakukuwakinga na upotofu uliowakumba. Kiburi walichokuwanacho kiliwapelekea kuwatuhumu Waislamu wengine wote kuwa makafiri na kuwa ni wao tu ndio walikuwa Waislamu wa kweli.
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS