Leo ni Jumatatu tarehe 25 Rajab 1440 Hijria sawa na tarehe Mosi Aprili 2019 Milaadia.
Ujana ni kipindi kinachong'aa cha maisha ya mwanadamu ambacho japokuwa si kirefu lakini athari zake zinabakia muda mrefu na huwa na taahira kubwa katika maisha ya kiumbe huyo.
Leo ni Jumanne tarehe 23 Shawwal 1438 Hijria sawa na Julai 18, 2017
Leo ni Jumanne tarehe 13 Rajab 1438 Hijria sawa na Aprili 11, 2017 Milaadia.