• "Ghuba ya Uajemi" (Persian Gulf); Jina Litakalobaki Milele Katika Kurasa za Historia

    May 01, 2018 08:35

    Ni matumaini yangu kuwa hujambo mpenzi msikilizaji popote pale ulipo. Jumatatu ya tarehe 30 Aprili ilisadifiana na siku ya mwisho ya kuondoka Wareno baada ya kutimuliwa kwenye eneo la maji ya kusini mwa Iran. Kwa mnasaba wa tukio hilo, siku hii inajulikana katika kalenda rasmi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kama "Siku ya Taifa ya Ghuba ya Uajemi". Baada ya utangulizi huo mfupi nakuomba sasa ujiweke tayari kusikiliza yale niliyokuandalia kwa mnasaba wa siku hiyo.

  • Alkhamisi tarehe Mosi Machi 2018

    Alkhamisi tarehe Mosi Machi 2018

    Mar 01, 2018 04:33

    Leo ni Alkhamisi tarehe 12 Jamadithani 1439 Hijria sawa na tarehe Mosi Machi 2018.

  • Sababu za kubakia na kudumu Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran

    Sababu za kubakia na kudumu Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran

    Feb 10, 2018 10:55

    Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa kuadhimisha miaka 39 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yaliyotokea mwaka 1979 kwa uongozi wenye busara wa Imam Ruhullah Khomeini; mapinduzi ambayo yalihitimisha utawala dhalimu na kibarala wa mfalme Shah. 11/02/2018

  • Ujumbe wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa Mwanadamu wa Leo

    Ujumbe wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa Mwanadamu wa Leo

    Feb 09, 2018 05:46

    Licha ya kupita miaka 39 sasa tangu baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran lakini mapinduzi hayo na taathira zake kikanda na kimataifa yangali yanajadiliwa hadi sasa katika duru mbalimbali za kisiasa, vyuo vikuu na vyombo vya habari kote duniani.

  •  Kujiamini na ustawi wa kisayansi Iran

    Kujiamini na ustawi wa kisayansi Iran

    Feb 08, 2018 08:29

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji. Tuko katika siku hizi ambazo ni maarufu kama Alfajiri 10, ambazo ni siku za kuadhimisha ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran mwaka 1979. Tumewaandalia makala kadhaa kwa munasaba huo na leo tutaangazia maendeleo na mafanikio makubwa ya watu wa Iran katika uga wa sayansi kutokana na kujiamini taifa hili la Kiislamu. Karibuni.

  • Marekani na makabiliano ya daima dhidi ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Marekani na makabiliano ya daima dhidi ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 05, 2018 11:07

    Kipindi hiki kimejaribu kutupia jicho kwa ufupi uadui ambao umekuwa ukiendeshwa na Marekani dhidi ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran kwa karibu miaka 40 iliyopita.

  • Jumatatu tarehe 5 Februari, 2018

    Jumatatu tarehe 5 Februari, 2018

    Feb 05, 2018 04:34

    Leo ni Jumatatu tarehe 18 Jamadil Awwal 1439 Hijria sawa na Februari 5, 2018

  • Mapinduzi ya Kiislamu katika mstari wa mbele wa kupinga uistikbari na kuunga mkono mapambano ya Kiislamu

    Mapinduzi ya Kiislamu katika mstari wa mbele wa kupinga uistikbari na kuunga mkono mapambano ya Kiislamu

    Feb 01, 2018 08:12

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika makala hii maalumu niliyowaandalieni kwa munasaba wa siku hizi za maadhimisho ya kuingia katika mwaka wa 40 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ya 1979. Katika makala hii ya leo tutaangazia kadhia ya 'Mapinduzi ya Kiislamu katika mstari wa mbele wa kupinga uiskitabiri wa kimataifa na kuunga mkono muqawama au mapambano ya Kiislamu.

  • Alkhamisi, Januari 25, 2018

    Alkhamisi, Januari 25, 2018

    Jan 25, 2018 03:11

    Leo ni Alkhamisi 7 Jamadil Awwal 1439 Hijria sawa na Januari 25, 2018.

  • Umoja kwa mtazamo wa Imam Khomeini na Kiongozi Muadhamu

    Umoja kwa mtazamo wa Imam Khomeini na Kiongozi Muadhamu

    Dec 04, 2017 17:02

    Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa kumbukumbu na maadhimisho ya Wiki ya Umoja.