• Kufa shahidi Hadhrat Ruqayyah binti Hussein (as)

    Kufa shahidi Hadhrat Ruqayyah binti Hussein (as)

    Oct 15, 2019 11:04

    Tarehe 10 Muharram mwaka 61 Hijria ilitokea hamasa na mapambano makubwa yatakayobakia hai katika historia ya mwanadamu. 

  • Upeo wa kimataifa wa Arubaini ya Imam Hussein (as) + Video

    Upeo wa kimataifa wa Arubaini ya Imam Hussein (as) + Video

    Oct 14, 2019 14:20

    Arubaini ya Imam Hussein (as) imekuwa ni ya kimataifa na itaendelea kupanuka zaidi katika upeo huo. Hii ni damu ya Hussein bin Ali (as) ambayo licha ya kupita miaka 1400, ingali inachemka na kuendelea kuwa mpya na hai zaidi siku baada ya nyingine. Huu ndio ujumbe ule ule wa Siku ya Ashura uliopazwa kupitia koo za Aba Abdillah al-Hussein (as) na Bibi Zainab (sa) katika kipindi kigumu zaidi cha upweke wao. Pamoja na hayo, hii leo ujumbe huo umeenea na kufika katika kila pembe ya dunia.

  • Kwa mnasaba wa kukumbuka siku ya kuuawa shahidi Imam Sajjad AS + Sauti

    Kwa mnasaba wa kukumbuka siku ya kuuawa shahidi Imam Sajjad AS + Sauti

    Sep 11, 2019 07:16

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Karibuni katika dakika hizi ambazo ndani yake tutazungumzia kuuawa shahidi Imam Ali bnil Husain Zaynul Abidin AS. Karibuni. ******

  • Jumamosi, Septemba 22, 2018

    Jumamosi, Septemba 22, 2018

    Sep 22, 2018 03:03

    Leo ni Jumamosi tarehe 12 Mfunguo Nne Muharram 1440 Hijria inayosadifiana na tarehe 22 Septemba 2018 Miladia.

  • Ijumaa, Septemba 14, 2018

    Ijumaa, Septemba 14, 2018

    Sep 14, 2018 02:25

    Leo ni Ijumaa tarehe 4 Mfunguo Nne Muharram 1440 Hijria sawa na Septemba 14, mwaka 2018 Milaadia.

  • Arubaini ya Imam Hussein AS kwa Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Arubaini ya Imam Hussein AS kwa Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Nov 03, 2017 06:24

    Assalam Aleikum Warahmatullahi Wabarakatuhu. Karibuni kujiunga nasi katika makala hii inayowajieni kwa munasaba wa siku hizi za Arubaini ya Imam Hussein AS. Makala yetu ya leo itaangazia siri hii kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, Ayatullah Sayyed Ali Khamenei. Karibuni kujiunga nami hadi mwisho.

  • Al-Kaaba na Imam Hussein (as)

    Al-Kaaba na Imam Hussein (as)

    Sep 24, 2017 12:29

    Kaaba ni jina kongwe, tukufu na linalovutia zaidi la nyumba ya ibada ya Mwenyezi Mungu ambayo inapatikana katika mji mtakatifu wa Makka na katika ardhi ya Hijaz.

  • Muharram, Mwezi wa Kujisabilia na Kuuliwa Shahidi

    Muharram, Mwezi wa Kujisabilia na Kuuliwa Shahidi

    Sep 20, 2017 07:48

    Tunaingia katika siku ya kwanza ya mwezi wa Muharram mwaka 1439 Hijria Qamariya.