• Palestina, Suala Kuu la Umma wa Kiislamu (1)

    Palestina, Suala Kuu la Umma wa Kiislamu (1)

    Nov 19, 2023 06:33

    Katika kikao chake na viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran pamoja na mabalozi wa nchi za Kiislamu tarehe 18 Februari mwaka huu, Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran alisema suala la Palestina ni moja ya masuala muhimu zaidi ya ulimwengu wa Kiislamu. Alisema hali ya kusikitisha na kuhuzunisha ya hivi sasa huko Palestina ni matokeo ya kupuuzwa suala hilo na baadhi ya nchi za Kiislamu.

  • Miaka 40 na juhudi za kuunganisha madhehebu za Kiislamu

    Miaka 40 na juhudi za kuunganisha madhehebu za Kiislamu

    Feb 02, 2019 04:35

    Katika mada ya 11 ya Katiba ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kwa msingi wa Aya ya Qur'ani Tukufu inayosema: Hakika umma wenu huu ni umma mmoja, na Mimi ni Mola wenu, kwa hivyo niabuduni Mimi, serikali ya Jamhuri ya Kiislamu inawajibika kuratibu siasa zake kuu kwa msingi wa kuleta umoja na mshikamano wa kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni kati ya mataifa yote ya Kiislamu.

  • Umoja na Udugu wa Kidini katika Qur'ani na Hadithi

    Umoja na Udugu wa Kidini katika Qur'ani na Hadithi

    Nov 26, 2018 12:37

    Suala la umoja katika umma wa Kiislamu, ni jambo lenye umuhimu mkubwa na ambalo limesisitizwa sana katika Qur'ani na Hadithi. Kinsingi ni kuwa umoja ni nguzo muhimu katika mafundisho ya Qur'ani na pia unachukuliwa kuwa moja ya misingi muhimu katika Hadithi za Mtume Muhammad (saw) na Ahlu Beit wake (as).

  • Wiki ya Umoja wa Kiislamu na Ujumbe wa Mtume (saw)

    Wiki ya Umoja wa Kiislamu na Ujumbe wa Mtume (saw)

    Dec 05, 2017 11:57

    Tumo katika kipindi cha Wiki ya Umoja wa Kiislamu.