-
Jumamosi 03 Mei, 2025
May 03, 2025 02:15Leo ni Jumamosi 5 Mfunguo Pili Dhul-Qaadah 1446 Hijria mwafaka na 3 Mei 2025 Miladia
-
Kumbukumbu ya Siku ya Kuanzishwa Harakati ya Kupambana na Ujinga nchini Iran
Dec 31, 2022 13:20Moja kati ya haki za msingi za binadamu katika jamii yoyote ile ni kujua kusoma na kuandika.
-
Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama
Feb 24, 2021 08:46Tarehe 21 mwezi huu wa Februari ilisadifiana na Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama. Lugha, wapenzi wasikilizaji, ni kitu muhimu sana katika maisha ya kiumbe mwanadamu.
-
Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama
Feb 21, 2020 10:06Tarehe 21 Februari inasadifiana na Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama.
-
Mwaka 2019 na kujiondoka Marekani na Israel katika shirika la UNESCO
Jan 09, 2019 08:48Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel tarehe Mosi mwezi huu wa Januari 2019 zilijiondoa rasmi katika Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) zikilalamikia kile kilichotajwa ni mwelekeo wa jumuiya hiyo dhidi ya Israel.
-
UNESCO: Al Khalil (Hebron) ni turathi ya kimataifa ya Palestina
Jul 26, 2017 10:10Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limeuweka mji wa al Khalil na Haram ya Nabii Ibrahim (as) katika orodha ya turathi za kimataifa zinazokabiliwa na hatari ya kutoweka na limelaani vikali hatua za utawala ghasibu wa Israel katika eneo hilo.
-
UNESCO yapinga njama za kuiyahudisha Baitul Muqaddas
Nov 09, 2016 11:16Eneo la Baitul Muqaddas (Jerusalem) na Haram tukufu ya Msikiti wa al Aqsa limekuwa likizusha hitilafu na migogoro kwa miaka mingi.
-
Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Umaskini
Oct 20, 2016 10:33Tarehe 17 Oktoba ambayo mwaka huu imesadifiana na siku ya Jumatatu, huadhimishwa kila mwaka kwa jina la Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Umaskini.
-
Palmyra, Lulu ya Jangwani, kabla na baada ya kuhujumiwa na ISIS
Apr 20, 2016 06:15Jeshi la Syria hivi karibuni liliukomboa mji wa kale wa Palmyra au Tadmur kutoka kwa kundi la magaidi wakufurishaji wa ISIS au Daesh. Makala yetu ya leo itaangazia kwa kifupi kuhusu mji huo muhimu na wa kihistoria nchini Syria