Hamjambo na karibuni katiika kipindi chetu cha wiki hii cha Makala ya Wiki kinachobeba anwani: Netanyahu anataka kubadilisha uwanja wa mchezo.
Hamjambo na karibuni kuwa nami katika kipindi chetu cha Makala ya Wiki ambacho kitaangazia vita vya Gaza na kitendawili kinachogubika mustakbali wa mapambano ya uhuru ya Wapalestina katika siku zijazo.
Hamjambo wapendwa wasikilizaji na karibuni kujiunga nasi katika kipindi chetu cha makala ya wiki, ambapo juma hili tutazungumzia uungaji mkono wa Marekani kwa Israel, sababu na kwa nini. Karibuni.
Leo ni Jumapili tarehe 28 Mfunguo Tano Safar 1444 Hijria, mwafaka na tarehe 25 Septemba 2022 Miladia.
Leo ni Jumanne tarehe 15 Shawwal 1443 Hijria sawa na Mei 17 mwaka 2022.
Leo ni Jumamosi tarehe 12 Mfunguo Mosi Shawwal 1443 Hijria, ambayo inasadifiana na tarehe 14 Mei 2022 Miladia.
Leo ni Jumapili tarehe Pili Dhul Qaada 1442 Hijria Qamaria sawa na Juni 9 mwaka 2021 inayosadifiana na 23 Khordad mwaka 1400 Hijria Shamshiya
Zaidi ya Wapalestina 230 wameuawa shahidi katika mashambulizi ya kikatili ya Israel yaliyoanza yapata siku kumi zilizopita. Zaidi ya 63 kati ya waliouliwa shahidi ni watoto na karibu 40 ni wanawake.
Leo ni Jumatatu tarehe 27 Dhulhija 1441 Hijria sawa na Agosti 17 mwaka 2020.
Leo ni Alkhamisi tarehe 20 Ramadhani 1441 Hijria, sawa na tarehe 14 Mei, 2020 Miladia.