• Vita vya Marekani na Uingereza dhidi ya Yemen (2) + Video

    Vita vya Marekani na Uingereza dhidi ya Yemen (2) + Video

    Feb 19, 2024 18:08

    Tumeisikia Marekani ikiitangaza Harakati ya Wahouthi wa Yemen ya Ansarullah kuwa ni shirika la kigaidi, kwa sababu tu ya jitihada zake za kuzuia mauaji ya kimbari yanayofanywa na Israel.

  • Akhlaqi Katika Uislamu (54)

    Akhlaqi Katika Uislamu (54)

    Apr 11, 2023 07:07

    Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yako mpendwa msikilizaji popote pale ulipo wakati huu. Nakukaribisha kusikiliza sehemu ya 54 ya kipindi cha Akhlaqi Katika Uislamu nikiwa na matumaini kuwa, mimi pamoja na wewe tutanufaika na yale tutakayoyasikia katika kipindi hiki ambacho kwa leo kitazungumzia nafasi ya suluhu katika mafundisho ya dini tukufu ya Uislamu. Endelea kuwa nami basi hadi tamati ya mazungumzo yetu.

  • Jumatano tarehe 26 Januari 2022

    Jumatano tarehe 26 Januari 2022

    Jan 26, 2022 04:11

    Leo ni Jumatano tarehe 23 Jamadithani 1443 Hijria inayosadifiana na tarehe 26 Januari 2022.

  • Amani na Usalama katika Mtazamo wa Uislamu

    Amani na Usalama katika Mtazamo wa Uislamu

    Sep 25, 2016 12:58

    Hamjambo wasikilizaji wapenzi na karibuni kuwa nasi katika kipindi cha wiki hii cha Makala ya Wiki ambacho kitazungumzia usalama na amani katika mtazamo wa Uislamu kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Amani.