-
Jumanne tarehe 15 Februari 2022
Feb 15, 2022 02:20Leo ni Jumanne tarehe 13 Rajab 1443 Hijria inayosadifiana na Februari 15 mwaka 2022.
-
Putin akosoa hujuma dhidi ya Uislamu katika nchi za Magharibi
Dec 24, 2021 15:55Rais wa Russia amekosoa hatua za kuhujumu na kupiga ita Uislamu na matukufu ya din hiyo katika nchi za Magharibi.
-
Wiki ya Umoja na vizingiti vinavyozuia kupatikana umoja wa nchi za Kiislamu
Oct 26, 2021 02:30Tarehe 12 hadi 17 Rabiul Awwal sawa na tarehe 19 hadi 24 Oktoba zimetengwa na kutangazwa rasmi kuwa Wiki ya Umoja wa Kiislamu na Jumapili ya juzi ndiyo iliyokuwa siku ya mwisho ya wiki hiyo muhimu katika ulimwengu wa Kiislamu.
-
Jumatatu tarehe 25 Oktoba 2021
Oct 25, 2021 02:30Leo ni Jumatatu tarehe 18 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1443 Hjria sawa na Oktoba 25 mwaka 2021.
-
Spika wa Bunge la Iran awapongeza maspika wa nchi za Kiislamu kwa mnasaba wa Maulidi ya Mtume (saw)
Oct 24, 2021 08:15Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amewatumia ujumbe maspika wenzake katika nchi za Kiislamu akiwapa mkono wa kheri na baraka kwa mnasaba wa maadhimisho na sherehe za Maulidi ya Mtume Muhammad (saw).
-
Iran yaadhimisha siku ya kuzaliwa Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu, Muhammad (saw)
Oct 24, 2021 03:26Leo tarehe 17 Mfunguo Sita Rabiu Awwal 1443 Hijria inasadifiana na siku aliyozaliwa Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu, Muhammad bin Abdullah (saw) na mjukuu wake mwema, Imam Ja'far al Swadiq (as).
-
Kumbukumbu ya kuzaliwa Mtume Muhammad SAW
Oct 23, 2021 12:31Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni katika kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa Maulidi na kumbukumbu ya kuzaliwa mbora wa viumbe Mtukufu Mtume Muhammad SAW.
-
"Kuzikurubisha pamoja madhehebu za Kiislamu ni hatua ya kistratajia"
Oct 19, 2021 13:39Rais wa Iran amesema wazo la kuzikurubisha pamoja madhehebu za Kiislamu lililobuniwa na Imam Khomeini (MA), Mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ni hatua ya kistratajia katika ulimwengu wa Kiislamu.
-
Jumanne tarehe 19 Oktoba 2021
Oct 19, 2021 08:14Leo ni Jumanne tarehe 12 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1443 Hijria sawa na Oktoba 19 mwaka 2021.
-
Jumanne tarehe 5 Oktoba 2021
Oct 05, 2021 02:18Leo ni Jumanne tarehe 28 Safar 1443 Hijria inayosadifiana na tarehe 5 Oktoba 2021.