Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • Kiongozi Muadhamu awataka wananchi wa Iran wajitokeze kwa wingi katika uchaguzi wa leo

    Kiongozi Muadhamu awataka wananchi wa Iran wajitokeze kwa wingi katika uchaguzi wa leo

    May 19, 2017 00:09

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza juu ya udharura wa wananchi wa Iran kujitokeza kwa wingi katika uchaguzi wa leo.

  • Wananchi wa Iran leo wanashiriki katika uchaguzi wa Urais

    Wananchi wa Iran leo wanashiriki katika uchaguzi wa Urais

    May 18, 2017 23:52

    Wananchi wa Iran waliotimiza masharti ya kupiga kura leo wanaelekea katika masanduku ya kupigia kura kwa ajili ya kumchagua Rais wa nchi.

  • Uchaguzi wa Rais wa Iran kufanyika katika nchi 102 duniani

    Uchaguzi wa Rais wa Iran kufanyika katika nchi 102 duniani

    May 18, 2017 10:56

    Mkuu wa kamati ya kusimamia uchaguzi wa 12 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nje ya nchi amesema kuwa, uchaguzi huo utafanyika katika nchi 102 na kwenye vituo 310 katika nchi mbalimbali duniani.

  • "Zaidi ya asilimia 72 ya wapiga kura kushiriki katika uchaguzi Iran"

    May 17, 2017 03:12

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kwa mujibu wa uchunguzi wa kuaminika wa karibuni kabisa wa maoni, zaidi ya asilimia 72 ya watu waliotimiza masharti ya kupiga kura watashiriki katika uchaguzi wa keshokutwa Ijumaa hapa nchini, na kuna uwezekano idadi hiyo ikaongezeka katika kipindi cha siku hizi chache zilizobakia.

  • Balaklanev: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kigezo cha demokrasia Mashariki ya Kati

    Balaklanev: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kigezo cha demokrasia Mashariki ya Kati

    May 17, 2017 03:11

    Mkuu wa jamii ya Waislamu wa Kishia nchini Russia amesisitiza kuwa, Iran ndiyo nchi yenye mfumo wa kidemokrasia zaidi katika eneo la Mashariki ya Kati na kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kigezo kilichofanikiwa cha utawala wa wananchi katika ulimwengu wa Kiislamu.

  • Makamu wa Rais wa Iran ajiondoa katika kinyang'anyiro cha urais

    Makamu wa Rais wa Iran ajiondoa katika kinyang'anyiro cha urais

    May 16, 2017 23:22

    Es'haq Jahangiri, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran amejiondoa katika mchuano wa kuwania urais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, siku moja baada ya wagombea wengine wawili wa kiti hicho kutangaza kujiondoa kwenye mchuano huo wa Ijumaa ijayo.

  • Waziri wa Ulinzi Iran: Kushiriki kwa wingi Iran katika uchaguzi

    Waziri wa Ulinzi Iran: Kushiriki kwa wingi Iran katika uchaguzi

    May 16, 2017 09:08

    Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema kujitokeza kwa wingi katika uchaguzi wa Ijumaa ndio kinga kubwa zaidi ya kuyazuia madola ya kibeberu yanayotoa vitisho dhidi ya Iran.

  • Qalibaf ajiondoa katika uchaguzi wa rais Iran, amuunga mkono Raisi

    Qalibaf ajiondoa katika uchaguzi wa rais Iran, amuunga mkono Raisi

    May 15, 2017 09:15

    Meya wa Tehran Mohammad Baqer Qalibaf amejiondoa katika mchuano wa kuwania urais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Larijani: Kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi ni ngao ya ulinzi kwa Iran

    Larijani: Kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi ni ngao ya ulinzi kwa Iran

    May 14, 2017 11:56

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, kujitokeza kwa wingi wananchi katika uchaguzi wa Ijumaa ijayo ya tarehe 19 Mei 2017 kutaipa kinga madhubuti Iran mbele ya vitisho vya maadui.

  • Larijani: Kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi ni ngao ya ulinzi kwa Iran

    Larijani: Kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi ni ngao ya ulinzi kwa Iran

    May 14, 2017 08:21

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, kujitokeza kwa wingi wananchi katika uchaguzi wa Ijumaa ijayo ya tarehe 19 Mei 2017 kutaipa kinga madhubuti Iran mbele ya vitisho vya maadui.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS