-
Ayatullah Kermani apongeza ushiriki mkubwa wa wananchi wa Iran katika uchaguzi wa leo
May 19, 2017 11:54Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo mjini Tehran amepongeza ushiriki mkubwa wa wananchi katika upigaji kura wa uchaguzi wa rais leo na kusema kuwa, suala hilo ni jambo muhimu.
-
Waziri wa Usalama wa Taifa nchini Iran: Harakati zote za adui zinafuatiliwa kwa karibu
May 19, 2017 11:53Waziri wa Usalama wa Taifa wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, askari wa usalama wa nchi hii watatoa jibu kwa njama yoyote ya maadui.
-
Uchaguzi; hamasa nyengine ya kihistoria iliyoonyeshwa na wananchi wa Iran
May 19, 2017 10:14Uchaguzi wa 12 wa rais, uchaguzi wa tano wa Mabaraza ya Kiislamu ya Miji na Vijiji na uchaguzi mdogo wa bunge la 10 la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zilifanyika kuanzia saa mbili asubuhi ya leo Ijumaa katika vituo 63,500 vya upigaji kura nchini kote.
-
Rouhani asema mahudhurio makubwa yataimarisha izza, usalama wa Iran
May 19, 2017 03:15Rais Hassan Rouhani wa Iran ametoa wito kwa wananchi kushiriki kwa wingi katika uchaguzi wa rais unaofanyika hii leo hapa nchini akisisitiza kuwa, mahudhurio makubwa katika zoezi hilo yataimarisha izza na usalama wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Kiongozi Muadhamu awataka wananchi wa Iran wajitokeze kwa wingi katika uchaguzi wa leo
May 19, 2017 00:09Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza juu ya udharura wa wananchi wa Iran kujitokeza kwa wingi katika uchaguzi wa leo.
-
Wananchi wa Iran leo wanashiriki katika uchaguzi wa Urais
May 18, 2017 23:52Wananchi wa Iran waliotimiza masharti ya kupiga kura leo wanaelekea katika masanduku ya kupigia kura kwa ajili ya kumchagua Rais wa nchi.
-
Uchaguzi wa Rais wa Iran kufanyika katika nchi 102 duniani
May 18, 2017 10:56Mkuu wa kamati ya kusimamia uchaguzi wa 12 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nje ya nchi amesema kuwa, uchaguzi huo utafanyika katika nchi 102 na kwenye vituo 310 katika nchi mbalimbali duniani.
-
"Zaidi ya asilimia 72 ya wapiga kura kushiriki katika uchaguzi Iran"
May 17, 2017 03:12Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kwa mujibu wa uchunguzi wa kuaminika wa karibuni kabisa wa maoni, zaidi ya asilimia 72 ya watu waliotimiza masharti ya kupiga kura watashiriki katika uchaguzi wa keshokutwa Ijumaa hapa nchini, na kuna uwezekano idadi hiyo ikaongezeka katika kipindi cha siku hizi chache zilizobakia.
-
Balaklanev: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kigezo cha demokrasia Mashariki ya Kati
May 17, 2017 03:11Mkuu wa jamii ya Waislamu wa Kishia nchini Russia amesisitiza kuwa, Iran ndiyo nchi yenye mfumo wa kidemokrasia zaidi katika eneo la Mashariki ya Kati na kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kigezo kilichofanikiwa cha utawala wa wananchi katika ulimwengu wa Kiislamu.
-
Makamu wa Rais wa Iran ajiondoa katika kinyang'anyiro cha urais
May 16, 2017 23:22Es'haq Jahangiri, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran amejiondoa katika mchuano wa kuwania urais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, siku moja baada ya wagombea wengine wawili wa kiti hicho kutangaza kujiondoa kwenye mchuano huo wa Ijumaa ijayo.