-
Uchaguzi wa Rais wa Iran kufanyika katika nchi 102 duniani
May 18, 2017 10:56Mkuu wa kamati ya kusimamia uchaguzi wa 12 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nje ya nchi amesema kuwa, uchaguzi huo utafanyika katika nchi 102 na kwenye vituo 310 katika nchi mbalimbali duniani.
-
"Zaidi ya asilimia 72 ya wapiga kura kushiriki katika uchaguzi Iran"
May 17, 2017 03:12Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kwa mujibu wa uchunguzi wa kuaminika wa karibuni kabisa wa maoni, zaidi ya asilimia 72 ya watu waliotimiza masharti ya kupiga kura watashiriki katika uchaguzi wa keshokutwa Ijumaa hapa nchini, na kuna uwezekano idadi hiyo ikaongezeka katika kipindi cha siku hizi chache zilizobakia.
-
Balaklanev: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kigezo cha demokrasia Mashariki ya Kati
May 17, 2017 03:11Mkuu wa jamii ya Waislamu wa Kishia nchini Russia amesisitiza kuwa, Iran ndiyo nchi yenye mfumo wa kidemokrasia zaidi katika eneo la Mashariki ya Kati na kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kigezo kilichofanikiwa cha utawala wa wananchi katika ulimwengu wa Kiislamu.
-
Makamu wa Rais wa Iran ajiondoa katika kinyang'anyiro cha urais
May 16, 2017 23:22Es'haq Jahangiri, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran amejiondoa katika mchuano wa kuwania urais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, siku moja baada ya wagombea wengine wawili wa kiti hicho kutangaza kujiondoa kwenye mchuano huo wa Ijumaa ijayo.
-
Waziri wa Ulinzi Iran: Kushiriki kwa wingi Iran katika uchaguzi
May 16, 2017 09:08Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema kujitokeza kwa wingi katika uchaguzi wa Ijumaa ndio kinga kubwa zaidi ya kuyazuia madola ya kibeberu yanayotoa vitisho dhidi ya Iran.
-
Qalibaf ajiondoa katika uchaguzi wa rais Iran, amuunga mkono Raisi
May 15, 2017 09:15Meya wa Tehran Mohammad Baqer Qalibaf amejiondoa katika mchuano wa kuwania urais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Larijani: Kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi ni ngao ya ulinzi kwa Iran
May 14, 2017 11:56Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, kujitokeza kwa wingi wananchi katika uchaguzi wa Ijumaa ijayo ya tarehe 19 Mei 2017 kutaipa kinga madhubuti Iran mbele ya vitisho vya maadui.
-
Larijani: Kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi ni ngao ya ulinzi kwa Iran
May 14, 2017 08:21Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, kujitokeza kwa wingi wananchi katika uchaguzi wa Ijumaa ijayo ya tarehe 19 Mei 2017 kutaipa kinga madhubuti Iran mbele ya vitisho vya maadui.
-
Wagombea urais Iran wafanya mdahalo wa tatu na wa mwisho
May 12, 2017 22:54Wagombea sita wa uchaguzi wa 12 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, jana jioni walifanya mdahalo wa tatu na wa mwisho ambao ulihusiana na suala la uchumi.
-
Ayatullah Kadhim Siddiqi: Uchaguzi ni alama ya uwezo na izza ya taifa la Iran
May 12, 2017 11:45Imamu wa muda wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo mjini Tehran, amesema kuwa ushiriki wa wananchi wa Iran katika nyanja mbalimbali za kisiasa na katika uchaguzi ni dhihirisho la uwezo, izza na imani ya wananchi hao kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu.