-
Mdahalo wa tatu wa wagombea urais Iran kufanyika Ijumaa Alasiri
May 12, 2017 01:14Mdahalo wa tatu na wa mwisho wa wagombea sita wa kiti cha urais wa awamu ya 12 katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran utafanyika leo saa kumi na nusu kwa majira ya Tehran .
-
Zaidi ya Wairani milioni 56 wametimiza masharti ya kupiga kura
May 09, 2017 23:17Kamati ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema Wairani zaidi ya milioni 56 wametimiza masharti yote ya kupiga kura na hivyo wanatazamiwa kushiriki katika uchaguzi ujao wa urais.
-
Kiongozi Muadhamu: Ushiriki wa wananchi katika uchaguzi utadhihirisha adhama ya Iran mbele ya maadui
May 07, 2017 07:59Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, mahudhurio ya wananchi katika medani mbalimbali hususan katika uchaguzi kutakuwa ni kinga na mlinzi wa maslahi ya taifa la Iran na kuwa kutadhihirisha adhama ya Mfumo wa Kiislamu mbele ya macho ya maadui.
-
Ayatullah Kashani atoa wito wa mshikamano na umoja wa kitaifa wakati wa uchaguzi wa Iran
May 05, 2017 09:39Kaimu Khatibu wa Swala ya Ijumaa katika mji wa Tehran ametoa wito wa kudumishwa mshikamano na umoja wa kitaifa wakati huu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inapojiandaa kuelekea katika uchaguzi mkuu.
-
Masanduku ya kupigia kura ya uchaguzi wa rais wa Iran yatawekwa London na kwenye miji mingine sita ya UK
May 05, 2017 03:25Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Uingereza umetangaza kuwa ili kuwafanyia wepesi Wairani wanaoishi nchini humo wa kupiga kura za uchaguzi wa 12 wa kumchagua rais wa Iran, mbali na London, masanduku mengine ya kupigia kura yatawekwa kwenye miji mingine sita ya nchi hiyo.
-
Zaidi ya asilimia 70 ya wapiga kura wanatarajiwa kushiriki katika uchaguzi wa Rais Iran
May 04, 2017 10:05Uchunguzi wa maoni unaonesha kuwa, takriban asilimia 70.6 ya wananchi wa Iran waliotimiza masharti ya kupiga kura wanatarajiwa kushiriki katika uchaguzi wa 12 wa Rais humu nchini.
-
Wananchi wa Algeria wajitokeza kuwachagua wawakilishi wao wa Bunge
May 04, 2017 09:44Wananchi wa Algeria waliotimiza masharti ya kupiga kura, leo Alkhamisi wamejitokeza katika vituo vya kupigia kura kwa ajili ya kuwachagua wawakilishi wao wa Bunge lijalo la nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Kiongozi Muadhamu: Uchaguzi unabainisha mshikamano usio na kifani wa wananchi na mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu
May 01, 2017 02:58Ayatullah Sayyed Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu siku ya Jumapili alikutana na wafanyakazi wa sekta mbali mbali humu nchini siku moja kabla ya Mei Mosi, Siku ya Wafanyakazi Duniani.
-
Kiongozi: Kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi kutapunguza shari ya maadui
Apr 30, 2017 11:45Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, kushiriki kwa wingi wananchi wa matabaka yote katika chaguzi za nchini Iran, daima kumekuwa kukipunguza kivuli cha uadui wa maadui wa taifa hili na kwamba mara hii pia kujitokeza kwa wingi wananchi kwenye uchaguzi huo kutapunguza shari za adui.
-
Mdahalo wa kwanza wa wagombea urais Iran wafanyika
Apr 28, 2017 10:23Wagombea sita wa uchaguzi wa rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alasiri ya leo wameshiriki katika mdahalo wa kwanza wa moja kwa moja katika kanali ya kwanza ya televisheni ya taifa.