Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • Waziri wa Ulinzi Iran: Kushiriki kwa wingi Iran katika uchaguzi

    Waziri wa Ulinzi Iran: Kushiriki kwa wingi Iran katika uchaguzi

    May 16, 2017 09:08

    Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema kujitokeza kwa wingi katika uchaguzi wa Ijumaa ndio kinga kubwa zaidi ya kuyazuia madola ya kibeberu yanayotoa vitisho dhidi ya Iran.

  • Qalibaf ajiondoa katika uchaguzi wa rais Iran, amuunga mkono Raisi

    Qalibaf ajiondoa katika uchaguzi wa rais Iran, amuunga mkono Raisi

    May 15, 2017 09:15

    Meya wa Tehran Mohammad Baqer Qalibaf amejiondoa katika mchuano wa kuwania urais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Larijani: Kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi ni ngao ya ulinzi kwa Iran

    Larijani: Kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi ni ngao ya ulinzi kwa Iran

    May 14, 2017 11:56

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, kujitokeza kwa wingi wananchi katika uchaguzi wa Ijumaa ijayo ya tarehe 19 Mei 2017 kutaipa kinga madhubuti Iran mbele ya vitisho vya maadui.

  • Larijani: Kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi ni ngao ya ulinzi kwa Iran

    Larijani: Kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi ni ngao ya ulinzi kwa Iran

    May 14, 2017 08:21

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, kujitokeza kwa wingi wananchi katika uchaguzi wa Ijumaa ijayo ya tarehe 19 Mei 2017 kutaipa kinga madhubuti Iran mbele ya vitisho vya maadui.

  • Wagombea urais Iran wafanya mdahalo wa tatu na wa mwisho

    Wagombea urais Iran wafanya mdahalo wa tatu na wa mwisho

    May 12, 2017 22:54

    Wagombea sita wa uchaguzi wa 12 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, jana jioni walifanya mdahalo wa tatu na wa mwisho ambao ulihusiana na suala la uchumi.

  • Ayatullah Kadhim Siddiqi: Uchaguzi ni alama ya uwezo na izza ya taifa la Iran

    Ayatullah Kadhim Siddiqi: Uchaguzi ni alama ya uwezo na izza ya taifa la Iran

    May 12, 2017 11:45

    Imamu wa muda wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo mjini Tehran, amesema kuwa ushiriki wa wananchi wa Iran katika nyanja mbalimbali za kisiasa na katika uchaguzi ni dhihirisho la uwezo, izza na imani ya wananchi hao kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu.

  • Mdahalo wa tatu wa wagombea urais Iran kufanyika Ijumaa Alasiri

    Mdahalo wa tatu wa wagombea urais Iran kufanyika Ijumaa Alasiri

    May 12, 2017 01:14

    Mdahalo wa tatu na wa mwisho wa wagombea sita wa kiti cha urais wa awamu ya 12 katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran utafanyika leo saa kumi na nusu kwa majira ya Tehran .

  • Zaidi ya Wairani milioni 56 wametimiza masharti ya kupiga kura

    Zaidi ya Wairani milioni 56 wametimiza masharti ya kupiga kura

    May 09, 2017 23:17

    Kamati ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema Wairani zaidi ya milioni 56 wametimiza masharti yote ya kupiga kura na hivyo wanatazamiwa kushiriki katika uchaguzi ujao wa urais.

  • Kiongozi Muadhamu: Ushiriki wa wananchi katika uchaguzi utadhihirisha adhama ya Iran mbele ya maadui

    Kiongozi Muadhamu: Ushiriki wa wananchi katika uchaguzi utadhihirisha adhama ya Iran mbele ya maadui

    May 07, 2017 07:59

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, mahudhurio ya wananchi katika medani mbalimbali hususan katika uchaguzi kutakuwa ni kinga na mlinzi wa maslahi ya taifa la Iran na kuwa kutadhihirisha adhama ya Mfumo wa Kiislamu mbele ya macho ya maadui.

  • Ayatullah Kashani atoa wito wa mshikamano na umoja wa kitaifa wakati wa uchaguzi wa Iran

    Ayatullah Kashani atoa wito wa mshikamano na umoja wa kitaifa wakati wa uchaguzi wa Iran

    May 05, 2017 09:39

    Kaimu Khatibu wa Swala ya Ijumaa katika mji wa Tehran ametoa wito wa kudumishwa mshikamano na umoja wa kitaifa wakati huu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inapojiandaa kuelekea katika uchaguzi mkuu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS