-
Masanduku ya kupigia kura ya uchaguzi wa rais wa Iran yatawekwa London na kwenye miji mingine sita ya UK
May 05, 2017 03:25Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Uingereza umetangaza kuwa ili kuwafanyia wepesi Wairani wanaoishi nchini humo wa kupiga kura za uchaguzi wa 12 wa kumchagua rais wa Iran, mbali na London, masanduku mengine ya kupigia kura yatawekwa kwenye miji mingine sita ya nchi hiyo.
-
Zaidi ya asilimia 70 ya wapiga kura wanatarajiwa kushiriki katika uchaguzi wa Rais Iran
May 04, 2017 10:05Uchunguzi wa maoni unaonesha kuwa, takriban asilimia 70.6 ya wananchi wa Iran waliotimiza masharti ya kupiga kura wanatarajiwa kushiriki katika uchaguzi wa 12 wa Rais humu nchini.
-
Wananchi wa Algeria wajitokeza kuwachagua wawakilishi wao wa Bunge
May 04, 2017 09:44Wananchi wa Algeria waliotimiza masharti ya kupiga kura, leo Alkhamisi wamejitokeza katika vituo vya kupigia kura kwa ajili ya kuwachagua wawakilishi wao wa Bunge lijalo la nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Kiongozi Muadhamu: Uchaguzi unabainisha mshikamano usio na kifani wa wananchi na mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu
May 01, 2017 02:58Ayatullah Sayyed Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu siku ya Jumapili alikutana na wafanyakazi wa sekta mbali mbali humu nchini siku moja kabla ya Mei Mosi, Siku ya Wafanyakazi Duniani.
-
Kiongozi: Kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi kutapunguza shari ya maadui
Apr 30, 2017 11:45Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, kushiriki kwa wingi wananchi wa matabaka yote katika chaguzi za nchini Iran, daima kumekuwa kukipunguza kivuli cha uadui wa maadui wa taifa hili na kwamba mara hii pia kujitokeza kwa wingi wananchi kwenye uchaguzi huo kutapunguza shari za adui.
-
Mdahalo wa kwanza wa wagombea urais Iran wafanyika
Apr 28, 2017 10:23Wagombea sita wa uchaguzi wa rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alasiri ya leo wameshiriki katika mdahalo wa kwanza wa moja kwa moja katika kanali ya kwanza ya televisheni ya taifa.
-
Spika wa Bunge la Iran: Uchaguzi ni hatua kubwa katika njia ya kukabiliana na adui
Apr 27, 2017 22:37Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewataka wananchi kushiriki kwa wingi katika uchaguzi wa mwezi ujao na kusema kuwa, uchaguzi ni hatua moja kubwa katika njia ya kukabiliana na adui.
-
Uchaguzi wa rais wa Iran kufanyika katika nchi 102 duniani
Apr 24, 2017 10:36Tume ya Uchaguzi ya Iran imetangaza kuwa, uchaguzi wa rais wa awamu ya 12 wa Iran utafanyika katika nchi 102 kote duniani.
-
Spika: Kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi kutawezesha kushindwa njama za maadui
Apr 22, 2017 23:52Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema uchaguzi ni jambo hasasi na jema na akasisitiza kwamba kushiriki kwa wingi wananchi wa Iran katika uchaguzi kutapelekea kushindwa njama za maadui.
-
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Mahudhurio makubwa ya wananchi katika uchaguzi yatadhihirisha nguvu ya Iran
Apr 21, 2017 11:53Khatibu wa Swala ya Ijumaa katika mji wa Tehran amesema kuwa kushiriki kwa wingi wananchi wa Iran katika uchaguzi ujao, kutaonyesha nguvu na uwezo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.