Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • Spika wa Bunge la Iran: Uchaguzi ni hatua kubwa katika njia ya kukabiliana na adui

    Spika wa Bunge la Iran: Uchaguzi ni hatua kubwa katika njia ya kukabiliana na adui

    Apr 27, 2017 22:37

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewataka wananchi kushiriki kwa wingi katika uchaguzi wa mwezi ujao na kusema kuwa, uchaguzi ni hatua moja kubwa katika njia ya kukabiliana na adui.

  • Uchaguzi wa rais wa Iran kufanyika katika nchi 102 duniani

    Uchaguzi wa rais wa Iran kufanyika katika nchi 102 duniani

    Apr 24, 2017 10:36

    Tume ya Uchaguzi ya Iran imetangaza kuwa, uchaguzi wa rais wa awamu ya 12 wa Iran utafanyika katika nchi 102 kote duniani.

  • Spika: Kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi kutawezesha kushindwa njama za maadui

    Spika: Kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi kutawezesha kushindwa njama za maadui

    Apr 22, 2017 23:52

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema uchaguzi ni jambo hasasi na jema na akasisitiza kwamba kushiriki kwa wingi wananchi wa Iran katika uchaguzi kutapelekea kushindwa njama za maadui.

  • Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Mahudhurio makubwa ya wananchi katika uchaguzi yatadhihirisha nguvu ya Iran

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Mahudhurio makubwa ya wananchi katika uchaguzi yatadhihirisha nguvu ya Iran

    Apr 21, 2017 11:53

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa katika mji wa Tehran amesema kuwa kushiriki kwa wingi wananchi wa Iran katika uchaguzi ujao, kutaonyesha nguvu na uwezo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Hatua kwa hatua kuelekea kwenye uchaguzi wa rais wa Iran, majina ya wagombea yatangazwa

    Hatua kwa hatua kuelekea kwenye uchaguzi wa rais wa Iran, majina ya wagombea yatangazwa

    Apr 21, 2017 09:57

    Baraza la Kulinda Katiba ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Alkhamisi ya jana lilitangaza majina ya watu sita waliotimiza masharti ya kugombea kiti cha Rais katika uchaguzi ujao na kuyatuma kwa Wizara ya Mambo ya Ndani.

  • Kampeni za uchaguzi wa rais Iran zaanza

    Kampeni za uchaguzi wa rais Iran zaanza

    Apr 21, 2017 03:10

    Baada ya mkuu wa Tume ya Uchaguzi ya Iran, kutangaza majina ya wagombea sita wa uchaguzi wa 12 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kampeni zimeanza rasmi leo Ijumaa.

  • Majina ya wagombea urais Iran yatajwa, kampeni za uchaguzi zaanza

    Majina ya wagombea urais Iran yatajwa, kampeni za uchaguzi zaanza

    Apr 20, 2017 23:45

    Mkuu wa Tume ya Uchaguzi ya Iran, jana usiku alitangaza majina ya wagombea sita wa uchaguzi wa 12 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Mara baada ya kutangaza majina hayo alisema kuwa, kwa mujibu wa kifungu cha 66 cha sheria ya uchaguzi ya Iran, kampeni za uchaguzi wa 12 wa Rais zimeruhusiwa kuanza.

  • Zoezi la kuwachuja wagombea urais Iran laanza

    Zoezi la kuwachuja wagombea urais Iran laanza

    Apr 16, 2017 11:33

    Zoezi la kuwachuja waliojiandikisha kugombea awamu ya 12 ya urais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limeanza leo Jumapili na matokeo yanatazamiwa kutangazwa katika kipindi cha siku tano zijazo.

  • Shakhsia wakubwa wa kisiasa na kidini Iran waandikisha majina yao kugombea urais; yumo Rais Rouhani na Raisi

    Shakhsia wakubwa wa kisiasa na kidini Iran waandikisha majina yao kugombea urais; yumo Rais Rouhani na Raisi

    Apr 14, 2017 11:44

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amesajili jina lake kwenye Tume ya Uchaguzi kama mgombea wa duru ya 12 ya uchaguzi wa rais nchini.

  • Ayatullah Siddiqi: Hujuma ya Marekani huko Syria, ni kinyume cha sheria za kimataifa

    Ayatullah Siddiqi: Hujuma ya Marekani huko Syria, ni kinyume cha sheria za kimataifa

    Apr 14, 2017 10:35

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa katika mji wa Tehran amesema kuwa, shambulizi la Marekani nchini Syria siku ya Ijumaa iliyopita, linakinzana na sheria zote za kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS