-
Spika wa Bunge la Iran: Uchaguzi ni hatua kubwa katika njia ya kukabiliana na adui
Apr 27, 2017 22:37Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewataka wananchi kushiriki kwa wingi katika uchaguzi wa mwezi ujao na kusema kuwa, uchaguzi ni hatua moja kubwa katika njia ya kukabiliana na adui.
-
Uchaguzi wa rais wa Iran kufanyika katika nchi 102 duniani
Apr 24, 2017 10:36Tume ya Uchaguzi ya Iran imetangaza kuwa, uchaguzi wa rais wa awamu ya 12 wa Iran utafanyika katika nchi 102 kote duniani.
-
Spika: Kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi kutawezesha kushindwa njama za maadui
Apr 22, 2017 23:52Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema uchaguzi ni jambo hasasi na jema na akasisitiza kwamba kushiriki kwa wingi wananchi wa Iran katika uchaguzi kutapelekea kushindwa njama za maadui.
-
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Mahudhurio makubwa ya wananchi katika uchaguzi yatadhihirisha nguvu ya Iran
Apr 21, 2017 11:53Khatibu wa Swala ya Ijumaa katika mji wa Tehran amesema kuwa kushiriki kwa wingi wananchi wa Iran katika uchaguzi ujao, kutaonyesha nguvu na uwezo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Hatua kwa hatua kuelekea kwenye uchaguzi wa rais wa Iran, majina ya wagombea yatangazwa
Apr 21, 2017 09:57Baraza la Kulinda Katiba ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Alkhamisi ya jana lilitangaza majina ya watu sita waliotimiza masharti ya kugombea kiti cha Rais katika uchaguzi ujao na kuyatuma kwa Wizara ya Mambo ya Ndani.
-
Kampeni za uchaguzi wa rais Iran zaanza
Apr 21, 2017 03:10Baada ya mkuu wa Tume ya Uchaguzi ya Iran, kutangaza majina ya wagombea sita wa uchaguzi wa 12 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kampeni zimeanza rasmi leo Ijumaa.
-
Majina ya wagombea urais Iran yatajwa, kampeni za uchaguzi zaanza
Apr 20, 2017 23:45Mkuu wa Tume ya Uchaguzi ya Iran, jana usiku alitangaza majina ya wagombea sita wa uchaguzi wa 12 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Mara baada ya kutangaza majina hayo alisema kuwa, kwa mujibu wa kifungu cha 66 cha sheria ya uchaguzi ya Iran, kampeni za uchaguzi wa 12 wa Rais zimeruhusiwa kuanza.
-
Zoezi la kuwachuja wagombea urais Iran laanza
Apr 16, 2017 11:33Zoezi la kuwachuja waliojiandikisha kugombea awamu ya 12 ya urais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limeanza leo Jumapili na matokeo yanatazamiwa kutangazwa katika kipindi cha siku tano zijazo.
-
Shakhsia wakubwa wa kisiasa na kidini Iran waandikisha majina yao kugombea urais; yumo Rais Rouhani na Raisi
Apr 14, 2017 11:44Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amesajili jina lake kwenye Tume ya Uchaguzi kama mgombea wa duru ya 12 ya uchaguzi wa rais nchini.
-
Ayatullah Siddiqi: Hujuma ya Marekani huko Syria, ni kinyume cha sheria za kimataifa
Apr 14, 2017 10:35Khatibu wa Sala ya Ijumaa katika mji wa Tehran amesema kuwa, shambulizi la Marekani nchini Syria siku ya Ijumaa iliyopita, linakinzana na sheria zote za kimataifa.