Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • Rouhani: Ushiriki mkubwa katika uchaguzi wa Iran utatuma ujumbe wa umoja na izza kwa ulimwengu

    Rouhani: Ushiriki mkubwa katika uchaguzi wa Iran utatuma ujumbe wa umoja na izza kwa ulimwengu

    Apr 11, 2017 12:07

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema ushiriki mkubwa wa wananchi katika uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika mwezi ujao utawadhihirishia walimwengu namna Jamhuri ya Kiislamu ni taifa lenye izza, umoja na mshikamano.

  • Iran kuandaa uchaguzi wa amani na wenye ushiriki mkubwa wa wananchi

    Iran kuandaa uchaguzi wa amani na wenye ushiriki mkubwa wa wananchi

    Apr 11, 2017 03:12

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Iran amesema uchaguzi ujao wa rais na mabaraza ya Kiislamu ya miji na vijiji utakuwa wa amani, salama, wa kisheria na wenye ushiriki mkubwa wa wananchi.

  • Wagombea urais Iran kuanza kujiandikisha leo

    Wagombea urais Iran kuanza kujiandikisha leo

    Apr 10, 2017 23:18

    Mkuu wa Tume ya Uchaguzi ya Iran amesema kuwa, wagombea wa duru ya 12 ya urais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wataanza kujiandikisha rasmi leo Jumanne.

  • Iran iko tayari kwa ajili ya uchaguzi wa 19 Mei

    Iran iko tayari kwa ajili ya uchaguzi wa 19 Mei

    Mar 22, 2017 03:25

    Makamu wa Kwanza Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema serikali imejitayarisha kikamilifu kwa ajili ya kuandaa uchaguzii wa rais na uchaguzi mdogo wa bunge tarehe 19 Mei.

  • Tume ya uchaguzi ya Iran yazindua shughuli zake kwa ajili ya uchaguzi wa Mei mwaka huu

    Tume ya uchaguzi ya Iran yazindua shughuli zake kwa ajili ya uchaguzi wa Mei mwaka huu

    Mar 05, 2017 00:46

    Tume ya Uchaguzi ya Iran alasiri ya jana ilianza rasmi shughuli zake katika ufunguzi uliohudhuriwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Abdolreza Rahmani Fazli.

  • Rais Rouhani kutetea kiti chake katika uchaguzi wa mwezi Mei, asema si ruhusa vikosi, mali za serikali kutumika katika kampeni

    Rais Rouhani kutetea kiti chake katika uchaguzi wa mwezi Mei, asema si ruhusa vikosi, mali za serikali kutumika katika kampeni

    Feb 26, 2017 12:55

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya bunge amesema kuwa, Rais Hassan Rouhani ameamua kutetea kiti chake katika uchaguzi wa Rais unaotarajiwa kufanyika mwezi Mei mwaka huu.

  • Rais Rouhani: Uchaguzi ni nguvu kubwa ya Iran ya Kiislamu mbele ya maadui

    Rais Rouhani: Uchaguzi ni nguvu kubwa ya Iran ya Kiislamu mbele ya maadui

    Feb 25, 2017 04:47

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa uchaguzi ni nguvu kubwa ya Iran ya Kiislamu mkabala wa maadui wake na ameeleza matumaini kwamba, uchaguzi ujao hapa nchini utakuwa na ushindani mkali na kuwaacha bumbuazi maadui na kuwatia matumaini mema marafiki wa Iran kote duniani.

  • Mwanaharakati Zimbabwe asema atachuana na Mugabe uchaguzi wa 2018

    Mwanaharakati Zimbabwe asema atachuana na Mugabe uchaguzi wa 2018

    Feb 19, 2017 04:16

    Kiongozi wa harakati ya malalamiko ya wananchi nchini Zimbabwe ametangaza kuwa atagombea kiti cha rais dhidi ya Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo katika uchaguzi unaotazamiwa kufanyika mwakani.

  • Uchaguzi wa Rais na Bunge Libya kufanyika kabla ya Februari 2018

    Uchaguzi wa Rais na Bunge Libya kufanyika kabla ya Februari 2018

    Feb 15, 2017 04:29

    Uchaguzi wa Rais na Bunge wa Libya umepangwa kufanyika kufikia mwezi Februari mwaka kesho.

  • Uchaguzi wa rais Somalia kufanyika leo, wagombea 22 wanachuana

    Uchaguzi wa rais Somalia kufanyika leo, wagombea 22 wanachuana

    Feb 08, 2017 00:05

    Uchaguzi wa rais nchini Somalia unafanyika leo ukiwashirikisha wagombea 22 baada ya kuakhirishwa mara kadhaa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS