-
Tume ya uchaguzi ya Iran yazindua shughuli zake kwa ajili ya uchaguzi wa Mei mwaka huu
Mar 05, 2017 00:46Tume ya Uchaguzi ya Iran alasiri ya jana ilianza rasmi shughuli zake katika ufunguzi uliohudhuriwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Abdolreza Rahmani Fazli.
-
Rais Rouhani kutetea kiti chake katika uchaguzi wa mwezi Mei, asema si ruhusa vikosi, mali za serikali kutumika katika kampeni
Feb 26, 2017 12:55Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya bunge amesema kuwa, Rais Hassan Rouhani ameamua kutetea kiti chake katika uchaguzi wa Rais unaotarajiwa kufanyika mwezi Mei mwaka huu.
-
Rais Rouhani: Uchaguzi ni nguvu kubwa ya Iran ya Kiislamu mbele ya maadui
Feb 25, 2017 04:47Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa uchaguzi ni nguvu kubwa ya Iran ya Kiislamu mkabala wa maadui wake na ameeleza matumaini kwamba, uchaguzi ujao hapa nchini utakuwa na ushindani mkali na kuwaacha bumbuazi maadui na kuwatia matumaini mema marafiki wa Iran kote duniani.
-
Mwanaharakati Zimbabwe asema atachuana na Mugabe uchaguzi wa 2018
Feb 19, 2017 04:16Kiongozi wa harakati ya malalamiko ya wananchi nchini Zimbabwe ametangaza kuwa atagombea kiti cha rais dhidi ya Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo katika uchaguzi unaotazamiwa kufanyika mwakani.
-
Uchaguzi wa Rais na Bunge Libya kufanyika kabla ya Februari 2018
Feb 15, 2017 04:29Uchaguzi wa Rais na Bunge wa Libya umepangwa kufanyika kufikia mwezi Februari mwaka kesho.
-
Uchaguzi wa rais Somalia kufanyika leo, wagombea 22 wanachuana
Feb 08, 2017 00:05Uchaguzi wa rais nchini Somalia unafanyika leo ukiwashirikisha wagombea 22 baada ya kuakhirishwa mara kadhaa.
-
Somalia na uchaguzi ulioko mbele yake
Feb 01, 2017 00:50Baada ya tarehe 8 Februari kutangazwa kuwa ndio siku ya kufanyika uchaguzi wa Rais nchini Somalia, Tume ya Uchaguzi ya nchi hiyo imetangaza kuwa, watu 24 watachuana kuwania kiti hicho cha urais.
-
Somalia yatangaza tarehe mpya ya uchaguzi wa rais
Jan 26, 2017 10:14Kwa mara nyingine tena Somalia imetangaza tarehe mpya ya kufanyika uchaguzi wa rais licha ya mji mkuu wa nchi hiyo kutikiswa na shambulizi la kigaidi hapo jana.
-
Pigo la kwanza kwa Joice Mujuru katika uchaguzi mdogo wa bunge nchini Zimbabwe
Jan 23, 2017 23:25Katika hali ambayo, Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amesisitiza kuwa, atasimama kuwania tena kiti cha urais katika uchaguzi wa hapo mwakani, vyama vya siasa vya upinzani vya nchi hiyo vinajiandaa kwa ajili ya kukabiliana naye.
-
Mpambano wa mapema baina ya Trump na vyombo vya habari
Jan 23, 2017 04:41Rais mpya wa Marekani na timu yake wameanza vita na mpambano na vyombo vya habari katika siku hizi za mwanzoni kabisa mwa kushika hatamu za uongozi wa nchi hiyo.