Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • Somalia na uchaguzi ulioko mbele yake

    Somalia na uchaguzi ulioko mbele yake

    Feb 01, 2017 00:50

    Baada ya tarehe 8 Februari kutangazwa kuwa ndio siku ya kufanyika uchaguzi wa Rais nchini Somalia, Tume ya Uchaguzi ya nchi hiyo imetangaza kuwa, watu 24 watachuana kuwania kiti hicho cha urais.

  • Somalia yatangaza tarehe mpya ya uchaguzi wa rais

    Somalia yatangaza tarehe mpya ya uchaguzi wa rais

    Jan 26, 2017 10:14

    Kwa mara nyingine tena Somalia imetangaza tarehe mpya ya kufanyika uchaguzi wa rais licha ya mji mkuu wa nchi hiyo kutikiswa na shambulizi la kigaidi hapo jana.

  • Pigo la kwanza kwa Joice Mujuru katika uchaguzi mdogo wa bunge nchini Zimbabwe

    Pigo la kwanza kwa Joice Mujuru katika uchaguzi mdogo wa bunge nchini Zimbabwe

    Jan 23, 2017 23:25

    Katika hali ambayo, Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amesisitiza kuwa, atasimama kuwania tena kiti cha urais katika uchaguzi wa hapo mwakani, vyama vya siasa vya upinzani vya nchi hiyo vinajiandaa kwa ajili ya kukabiliana naye.

  • Mpambano wa mapema baina ya Trump na vyombo vya habari

    Mpambano wa mapema baina ya Trump na vyombo vya habari

    Jan 23, 2017 04:41

    Rais mpya wa Marekani na timu yake wameanza vita na mpambano na vyombo vya habari katika siku hizi za mwanzoni kabisa mwa kushika hatamu za uongozi wa nchi hiyo.

  • Gambia yasubiri rais mpya kuiongoza nchi

    Gambia yasubiri rais mpya kuiongoza nchi

    Jan 21, 2017 09:53

    Hatimaye baada ya nchi kadhaa za magharibi mwa Afrika kutuma wanajeshi wake huko Gambia, Yahya Jammeh ametangaza kuondoka madarakani katika fursa ya mwisho.

  • Juhudi za kufanyika makabidhiano ya madaraka kwa njia ya amani nchini Gambia

    Juhudi za kufanyika makabidhiano ya madaraka kwa njia ya amani nchini Gambia

    Jan 18, 2017 10:01

    Katika kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Gambia, Rais Yahya Jammeh wa nchi hiyo sanjari na kulaani uingiliaji wa kigeni katika mambo ya ndani ya nchi hiyo, ametangaza hali ya hatari nchini humo.

  • Umoja wa Afrika waitishia Gambia

    Umoja wa Afrika waitishia Gambia

    Jan 14, 2017 09:51

    Mgogoro wa kisiasa nchini Gambia umekuwa tata zaidi katika kukaribia tarehe ya kuapichwa rais mpya wa nchi hiyo. Kuhusiana na suala hilo Umoja wa Afrika (AU) umemtishia Rais wa Gambia kuwa hautamtambua rasmi kuwa rais halali tangu tarehe iliyoanishwa kwa ajili ya kufanyika sherehe za kumuapisha rais mteule wa nchi hiyo.

  • Dakta Shein amjibu Maalim Seif, asema madai yake ni ya kipropaganda

    Dakta Shein amjibu Maalim Seif, asema madai yake ni ya kipropaganda

    Jan 10, 2017 04:48

    Rais wa Zanzibar Dakta Ali Mohamed Shein amewataka wananchi visiwani humo kuacha kusikiliza kile alichokitaja kuwa maneno ya propaganda kutoka kwa wapinzani kwa kuwa katu hakuna Rais mwingine atakayeongoza Zanzibar wakati yeye yupo madarakani.

  • Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Gambia akimbia nchi baada ya kutishiwa maisha

    Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Gambia akimbia nchi baada ya kutishiwa maisha

    Jan 04, 2017 03:40

    Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi nchini Gambia amekimbia nchi akihofiwa usalama wake.

  • Makundi ya kisiasa Kongo yafikia muafaka wa kuhitimisha mgogoro nchini humo

    Makundi ya kisiasa Kongo yafikia muafaka wa kuhitimisha mgogoro nchini humo

    Dec 31, 2016 09:31

    Imetangazwa kuwa Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo atang'atuka madarakani kabla ya kufanyika uchaguzi ujao hiyo ikiwa ni baada ya kufikiwa muafaka wa kisiasa kwa ajili ya kuhitimisha mgogoro wa kisiasa nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS