-
Gambia yasubiri rais mpya kuiongoza nchi
Jan 21, 2017 09:53Hatimaye baada ya nchi kadhaa za magharibi mwa Afrika kutuma wanajeshi wake huko Gambia, Yahya Jammeh ametangaza kuondoka madarakani katika fursa ya mwisho.
-
Juhudi za kufanyika makabidhiano ya madaraka kwa njia ya amani nchini Gambia
Jan 18, 2017 10:01Katika kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Gambia, Rais Yahya Jammeh wa nchi hiyo sanjari na kulaani uingiliaji wa kigeni katika mambo ya ndani ya nchi hiyo, ametangaza hali ya hatari nchini humo.
-
Umoja wa Afrika waitishia Gambia
Jan 14, 2017 09:51Mgogoro wa kisiasa nchini Gambia umekuwa tata zaidi katika kukaribia tarehe ya kuapichwa rais mpya wa nchi hiyo. Kuhusiana na suala hilo Umoja wa Afrika (AU) umemtishia Rais wa Gambia kuwa hautamtambua rasmi kuwa rais halali tangu tarehe iliyoanishwa kwa ajili ya kufanyika sherehe za kumuapisha rais mteule wa nchi hiyo.
-
Dakta Shein amjibu Maalim Seif, asema madai yake ni ya kipropaganda
Jan 10, 2017 04:48Rais wa Zanzibar Dakta Ali Mohamed Shein amewataka wananchi visiwani humo kuacha kusikiliza kile alichokitaja kuwa maneno ya propaganda kutoka kwa wapinzani kwa kuwa katu hakuna Rais mwingine atakayeongoza Zanzibar wakati yeye yupo madarakani.
-
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Gambia akimbia nchi baada ya kutishiwa maisha
Jan 04, 2017 03:40Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi nchini Gambia amekimbia nchi akihofiwa usalama wake.
-
Makundi ya kisiasa Kongo yafikia muafaka wa kuhitimisha mgogoro nchini humo
Dec 31, 2016 09:31Imetangazwa kuwa Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo atang'atuka madarakani kabla ya kufanyika uchaguzi ujao hiyo ikiwa ni baada ya kufikiwa muafaka wa kisiasa kwa ajili ya kuhitimisha mgogoro wa kisiasa nchini humo.
-
Kuendelea juhudi za kumshawishi Jammeh akabidhi madaraka kwa amani Gambia
Dec 28, 2016 23:14Mivutano ya kisiasa ya baada ya uchaguzi wa rais nchini Gambia ingali inaendelea huku Mahakama Kuu ya nchi hiyo ikisubiriwa kutangaza uamuzi wake kuhusiana na malalamiko yaliyowasilishwa na Rais Yahya Jammeh ya kupinga matokeo ya uchaguzi huo.
-
Rais mteule wa Gambia amtaka Yahya Jammeh akabidhi madaraka ya nchi kwa amani
Dec 28, 2016 04:26Rais mteule wa Gambia ambaye alishinda katika uchaguzi wa mwanzoni mwa mwezi huu amemtaka Rais Yahya Jammeh akabidhi madaraka ya nchi kwa amani pindi muhula wake utakapomalizika mwezi ujao.
-
Uchaguzi wa Rais nchini Somalia waakhirishwa kwa mara ya nne
Dec 26, 2016 12:47Uchaguzi wa Rais nchini Somalia uliokuwa umepangwa kufanyika Jumatano ijayo ya tarehe 28 ya mwezi huu wa Desemba umeakhirishwa tena.
-
Indhari ya Odinga juu ya kufanyika uchaguzi usio wa kidemokrasia nchini Kenya
Dec 23, 2016 13:14Huku vuta nikuvute baina ya serikali na mrengo wa upinzani nchini Kenya kuhusiana na mchakato wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2017 ukiwa unaendelea, kinara wa muungano wa upinzani wa CORD Raila Odinga ametahadharisha tena juu ya kufanyika uchaguzi usio wa kidemokrasia nchini humo.