Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • Kuendelea juhudi za kumshawishi Jammeh akabidhi madaraka kwa amani Gambia

    Kuendelea juhudi za kumshawishi Jammeh akabidhi madaraka kwa amani Gambia

    Dec 28, 2016 23:14

    Mivutano ya kisiasa ya baada ya uchaguzi wa rais nchini Gambia ingali inaendelea huku Mahakama Kuu ya nchi hiyo ikisubiriwa kutangaza uamuzi wake kuhusiana na malalamiko yaliyowasilishwa na Rais Yahya Jammeh ya kupinga matokeo ya uchaguzi huo.

  • Rais mteule wa Gambia amtaka Yahya Jammeh akabidhi madaraka ya nchi kwa amani

    Rais mteule wa Gambia amtaka Yahya Jammeh akabidhi madaraka ya nchi kwa amani

    Dec 28, 2016 04:26

    Rais mteule wa Gambia ambaye alishinda katika uchaguzi wa mwanzoni mwa mwezi huu amemtaka Rais Yahya Jammeh akabidhi madaraka ya nchi kwa amani pindi muhula wake utakapomalizika mwezi ujao.

  • Uchaguzi wa Rais nchini Somalia waakhirishwa kwa mara ya nne

    Uchaguzi wa Rais nchini Somalia waakhirishwa kwa mara ya nne

    Dec 26, 2016 12:47

    Uchaguzi wa Rais nchini Somalia uliokuwa umepangwa kufanyika Jumatano ijayo ya tarehe 28 ya mwezi huu wa Desemba umeakhirishwa tena.

  • Indhari ya Odinga juu ya kufanyika uchaguzi usio wa kidemokrasia nchini Kenya

    Indhari ya Odinga juu ya kufanyika uchaguzi usio wa kidemokrasia nchini Kenya

    Dec 23, 2016 13:14

    Huku vuta nikuvute baina ya serikali na mrengo wa upinzani nchini Kenya kuhusiana na mchakato wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2017 ukiwa unaendelea, kinara wa muungano wa upinzani wa CORD Raila Odinga ametahadharisha tena juu ya kufanyika uchaguzi usio wa kidemokrasia nchini humo.

  • Viongozi wa kidini Kenya wamtaka Uhuru asiidhinishe marekebisho ya Sheria ya Uchaguzi

    Viongozi wa kidini Kenya wamtaka Uhuru asiidhinishe marekebisho ya Sheria ya Uchaguzi

    Dec 23, 2016 12:55

    Viongozi wa kidini nchini Kenya wamemtaka Rais Uhuru Kenyatta wa nchi hiyo asisaini muswada wa marekebisho ya Sheria ya Uchaguzi ambao uliidhinishwa na Bunge la Kitaifa hapo jana.

  • Mgogoro wa kisiasa Kongo DR wapatiwa ufumbuzi?

    Mgogoro wa kisiasa Kongo DR wapatiwa ufumbuzi?

    Dec 23, 2016 12:54

    Katika hatua ya ghafla na ambayo haikutazamiwa na wengi, pande hasimu za kisiasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimefikia muafaka, ambao utapelekea Rais Joseph Kabila asalie uongozini hadi mwishoni mwa mwaka ujao 2017.

  • Hali ya kulegalega kisiasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Hali ya kulegalega kisiasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Dec 21, 2016 09:52

    Sambamba na kumalizika muhula wa kisheria wa uongozi wa Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, mji mkuu Kinshasa na miji mingine ya nchi hiyo imeshuhudia taswira ya kuimarisha usalama karibu katika kila kona.

  • Umoja wa Mataifa: Watu 20 wameuawa katika maandamano  ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Umoja wa Mataifa: Watu 20 wameuawa katika maandamano ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Dec 21, 2016 03:35

    Mkurugenzi wa Shirika la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema kuwa, kuna ripoti za kuaminika zinazoonyesha kuwa, watu wasiopungua 20 wameuawa jijijni Kinshasa katika mapambano baina yao na vikosi vya usalama.

  • Waangalizi wa ndani Ghana waidhinisha matokeo ya uchaguzi wa Bunge na Rais

    Waangalizi wa ndani Ghana waidhinisha matokeo ya uchaguzi wa Bunge na Rais

    Dec 19, 2016 10:58

    Waangalizi wa ndani katika uchaguzi uliopita wa Bunge na Rais katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika wameunga mkono na kuidhinisha matokeo ya uchaguzi huo.

  • Kuchaguliwa tena Mugabe kugombea urais katika uchaguzi wa 2018 nchini Zimbabwe

    Kuchaguliwa tena Mugabe kugombea urais katika uchaguzi wa 2018 nchini Zimbabwe

    Dec 18, 2016 10:37

    Rais Robert Mugabe wa Zimbambwe amechaguliwa tena kubeba bendera ya chama tawala cha Zanu-PF katika uchaguzi wa rais uliopangwa kufanyika mwaka 2018.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS