-
Uwezekano wa Jammeh kuondolewa kwenye kiti cha urais kwa nguvu za kijeshi
Dec 17, 2016 03:47Rais wa Senegal amesema kuna uwezekano rais wa Gambia kuondolewa kwa nguvu za jeshi katika kiti cha urais baada ya kukataa kukubali kushindwa katika uchaguzi.
-
Timu ya upatanishi yaelekea Gambia kusuluhisha mzozo wa urais
Dec 13, 2016 04:43Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf anaongoza timu ya upatanishi inayotazamiwa kuelekea nchini Gambia hii leo kujaribu kuupatia ufumbuzi mzozo wa uongozi ulioibuka nchini humo, baada ya Rais Yahya Jammeh kupinga matokoe ya uchaguzi wa rais.
-
Kikao cha viongozi wa IGAD cha kujadili amani ya eneo
Dec 11, 2016 03:38Viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ustawi wa Mashariki mwa Afrika IGAD wamekutana katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa kwa kikao cha 29 cha dharura ambacho kimefanyika kwa uenyekiti wa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Hailemariam Desalegn kujadili amani na uthabiti wa eneo hasa katika nchi za Sudan Kusini na Somalia.
-
Rais mteule Gambia: Jammeh hana mamlaka ya kukataa matokeo ya uchaguzi
Dec 11, 2016 02:29Rais mteule wa Gambia amesema kuwa, Rais Yahya Jammeh ambaye alishindwa katika uchaguzi wa Rais wa Disemba Mosi, hana mamlaka ya kikatiba ya kukataa matokeo ya uchaguzi huo na wala katiba haimruhusu kuitisha uchaguzi mwingine.
-
Yahya Jammeh apinga matokeo ya uchaguzi wa Rais Gambia
Dec 10, 2016 09:22Rais Yahya Jammeh wa Gambia ametangaza kuwa hatambui rasmi matokeo ya uchaguzi wa Rais uliofanyika nchini humo Disemba Mosi, ikiwa imepita karibu wiki moja tangu uchaguzi huo ufanyike na mgombea wa muungano wa upinzani kuibuka mshindi.
-
Kiongozi wa upinzani ashinda uchaguzi wa rais Ghana, Mahama akubali matokeo
Dec 10, 2016 04:04Kiongozi mkongwe wa upinzani nchini Ghana, Nana Akufo-Addo, ameibuka mshindi katika uchaguzi wa rais uliofanyika Jumatano iliyopita na kumshinda Rais wa sasa John Dramani Mahama.
-
Uchaguzi wa Rais Somalia kufanyika Disemba 28
Dec 09, 2016 10:35Viongozi wa kisiasa nchini Somalia wametangaza tarehe mpya ya kufanyika uchaguzi wa rais nchini humo baada ya kuuakhirisha mara tatu sasa.
-
Zoezi la kuhesabu kura Ghana linaendelea; Rais Mahama anaongoza kwa tofauti ndogo
Dec 09, 2016 00:48Zoezi la kuhesabu kura nchini Ghana linaendelea huku taarifa za awali zikionyesha kuwa, mataokeo yasiyo rasmi yanaonyesha kwamba, Rais John Dramani Mahama anaongoza akifuatiwa kwa karibu na kiongozi wa upinzani Nana Akufo-Addo.
-
Wito wa kufanyika mkutano kati ya chama tawala na kambi ya upinzani Congo DR
Dec 07, 2016 23:37Jumuiya za kiraia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zimetoa wito wa kufanyika mkutano baina ya chama tawala na vyama na makundi ya upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
-
Wananchi wa Ghana wapiga kura kumchagua Rais na Wabunge
Dec 07, 2016 10:48Wananchi wa Ghana leo wameelekea kwenye masanduku ya kupigia kura kumchagua Rais Mpya na wawakilishi wa bunge.